Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 9,524
- 13,682
Pumbavu!Kama sheria hujui si unyamaze uwaachie wachangie wanaojua mkuu!!??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pumbavu!Kama sheria hujui si unyamaze uwaachie wachangie wanaojua mkuu!!??
Mama yako!Pumbavu!
mahakamani hasa za mwanzo na wilaya zina shida sanaBado, tunataka na mawizarani na idara na mashirika mengine ya kiserikali.
Tuanzie na ufisadi uliopo mahakamani na polisi, ziundwe task force huru za kuchunguza na kuchukuwa hatua serikalini.
Ianzwe Mahakama yenyewe.
Asali tamuAliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Bima la Taifa (NIC), Samuel Kamanga na wenzake sita wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam wakikabiliwa na mashitaka 365 yakiwemo ya kughushi na kutakatisha fedha.
Wakisomewa mashitaka hayo mbele ya Hakimu Mkazi Kisutu, Evodia Kyaruzi na Wakili wa Serikali Mwandamizi Grace Mwanga pamoja na Ipyana Mwakatobe wamesema watuhumiwa hao wanatuhumiwa kuhujumu uchumi kiasi cha shilingi bilioni 1.8 ambacho ni mali ya shirika la NIC.
Katika mashitaka hayo 365, yapo ya kughushi nyaraka mbalimbali, kutakatisha fedha, kuongoza genge la uhalifu, kuchepusha fedha, kuwasilisha nyaraka za uongo na kulisababishia hasara shirika hilo.
Washitakiwa wengine ni Tabu Kingu, Victor Mleleu, Peter Nzunda, Kenan Mpalanguro, Lusubilo Sambo na Mafworo Ngereji.
Kutokana na muda wa mahakama kuisha, washitakiwa hao wamesomewa mashitaka 101 pekee, huku mashtaka mengine wakitarajia kusomewa Jumatatu Juni 5, mwaka huu.
na akina Mdude na Sabaya tuJela inawaogopa mafisadi,jela ni kwa ajili ya watu masikini
Kuchunguza hizo taasisi ulizozitaja,unahitaji kuleta team ya watu kutoka Nje ya Nchi ndiyo unaweza pata report ya uhakika,lakini ukitoa watu humu Nchini,utapata report ya kupikwa tu na watu wataendelea na Maisha yao Kama kawaida!!Bado, tunataka na mawizarani na idara na mashirika mengine ya kiserikali.
Tuanzie na ufisadi uliopo mahakamani na polisi, ziundwe task force huru za kuchunguza na kuchukuwa hatua serikalini.
Ianzwe Mahakama yenyewe.
Tuna tatizo kubwa sana la ufisadi Tanzania na tunakoelekea ni kubaya zaidi, kama hatuwa za makusudi hazijachukuliwa.Kuchunguza hizo taasisi ulizozitaja,unahitaji kuleta team ya watu kutoka Nje ya Nchi ndiyo unaweza pata report ya uhakika,lakini ukitoa watu humu Nchini,utapata report ya kupikwa tu na watu wataendelea na Maisha yao Kama kawaida!!
😅😅😅Unaonesha huelewi unachokisoma, ushahidi wanini unaoutaka?
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
😅😅😅 ko365 ya nyo...
Uliisoma kwenye ripoti ya CAG au uliisikia kwenye vichwa vya habari vya magazeti?Fraud ya NHIF ni bilioni 28... kwahiyo kama hatashitakiwa mtu NHIF binafsi naamini hata hawa wataachiwa Tu
Deal la wakili msomi hilo, ngoja kwanza tuoneSerikali wanashida sana kufrem kesi...yaani 1.8bilioni inakuaje na kesi 300+? Alafu zinapanguliwa na mtu kulipa faini ya 5milioni
Mambo mrembo....🌹Bado, tunataka na mawizarani na idara na mashirika mengine ya kiserikali.
Tuanzie na ufisadi uliopo mahakamani na polisi, ziundwe task force huru za kuchunguza na kuchukuwa hatua serikalini.
Ianzwe Mahakama yenyewe.
Waliingia 18 za walamba asalina akina Mdude na Sabaya tu
Tanzania mtu akiiba mabillioni huwa hafungwi kwani atazisambaza hizo halafu husikii tena hiyo kesi!’Fraud ya NHIF ni bilioni 28... kwahiyo kama hatashitakiwa mtu NHIF binafsi naamini hata hawa wataachiwa Tu huru
😅😅😅ikala kwaoWaliingia 18 za walamba asali
Wingi si hojaUkishaona kesi ina mashataka sijui 100 au 400 jua hao watu watashinda hiyo kesi na kuachiwa huru
[emoji1] typing errorNdugu umeshatupia "Konyagi" nini kumkichwa!!??
Yani wote hapo wagalatia. Kobaaz mmoja tu. Hongereni kina Accumen Mo Covax adriz Dalmine kimsboyAliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Bima la Taifa (NIC), Samuel Kamanga na wenzake sita wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam wakikabiliwa na mashitaka 365 yakiwemo ya kughushi na kutakatisha fedha.
Wakisomewa mashitaka hayo mbele ya Hakimu Mkazi Kisutu, Evodia Kyaruzi na Wakili wa Serikali Mwandamizi Grace Mwanga pamoja na Ipyana Mwakatobe wamesema watuhumiwa hao wanatuhumiwa kuhujumu uchumi kiasi cha shilingi bilioni 1.8 ambacho ni mali ya shirika la NIC.
Katika mashitaka hayo 365, yapo ya kughushi nyaraka mbalimbali, kutakatisha fedha, kuongoza genge la uhalifu, kuchepusha fedha, kuwasilisha nyaraka za uongo na kulisababishia hasara shirika hilo.
Washitakiwa wengine ni Tabu Kingu, Victor Mleleu, Peter Nzunda, Kenan Mpalanguro, Lusubilo Sambo na Mafworo Ngereji.
Kutokana na muda wa mahakama kuisha, washitakiwa hao wamesomewa mashitaka 101 pekee, huku mashtaka mengine wakitarajia kusomewa Jumatatu Juni 5, mwaka huu.