Mkuu utasikia mtoto wa flani very smart ๐๐๐๐๐[emoji1] typing error
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu utasikia mtoto wa flani very smart ๐๐๐๐๐[emoji1] typing error
Ova
Hakuna dini inasapot uwizi na dhulma ,ukiona mtu awe muislamu au mkristo anafanya utapeli ,wizi au dhulma ni kwamba kaendea njia ya shetani.Yani wote hapo wagalatia. Kobaaz mmoja tu. Hongereni kina Accumen Mo Covax adriz Dalmine kimsboy
Wagalatia tumrudieni Yesu natufanye toba jamani.
Kutoka moyoni kabisa bila unafiki nawapa hongera.
Nguruwe jike! Sasa sijui mama yako atakuwaje!Mama yako!
Atakuwa nguruwe ndume!Nguruwe jike! Sasa sijui mama yako atakuwaje!
Wizi ni tabia ya mtu japo Kuna mchungaji aliwahi kusema yeye anapenda kufanya kazi na vijana wa kiislamu sababu mara chache kufanya dhuluma na Wizi.Yani wote hapo wagalatia. Kobaaz mmoja tu. Hongereni kina Accumen Mo Covax adriz Dalmine kimsboy
Wagalatia tumrudieni Yesu natufanye toba jamani.
Kutoka moyoni kabisa bila unafiki nawapa hongera.
Oohh sikia tu ...wako segerea dhamana hamna.....kesi mbaya sana wastaafu hawaUmewaona wamekamatwa