Upigaji: Vigogo wa Shirika la Bima la Taifa wakabiliwa na mashitaka 365

Upigaji: Vigogo wa Shirika la Bima la Taifa wakabiliwa na mashitaka 365

Yani wote hapo wagalatia. Kobaaz mmoja tu. Hongereni kina Accumen Mo Covax adriz Dalmine kimsboy

Wagalatia tumrudieni Yesu natufanye toba jamani.

Kutoka moyoni kabisa bila unafiki nawapa hongera.
Hakuna dini inasapot uwizi na dhulma ,ukiona mtu awe muislamu au mkristo anafanya utapeli ,wizi au dhulma ni kwamba kaendea njia ya shetani.
 
Yani wote hapo wagalatia. Kobaaz mmoja tu. Hongereni kina Accumen Mo Covax adriz Dalmine kimsboy

Wagalatia tumrudieni Yesu natufanye toba jamani.

Kutoka moyoni kabisa bila unafiki nawapa hongera.
Wizi ni tabia ya mtu japo Kuna mchungaji aliwahi kusema yeye anapenda kufanya kazi na vijana wa kiislamu sababu mara chache kufanya dhuluma na Wizi.
 
Mafisadi hayafungwi kwakuwa yana pesa mingi yatatoka hata yakiwa na kesi elfu 1 ,penye hudhia penyeza rupia.
 
Back
Top Bottom