Upigaji: Vigogo wa Shirika la Bima la Taifa wakabiliwa na mashitaka 365

Bado, tunataka na mawizarani na idara na mashirika mengine ya kiserikali.

Tuanzie na ufisadi uliopo mahakamani na polisi, ziundwe task force huru za kuchunguza na kuchukuwa hatua serikalini.

Ianzwe Mahakama yenyewe.
mahakamani hasa za mwanzo na wilaya zina shida sana
 
Asali tamu
 
Bado, tunataka na mawizarani na idara na mashirika mengine ya kiserikali.

Tuanzie na ufisadi uliopo mahakamani na polisi, ziundwe task force huru za kuchunguza na kuchukuwa hatua serikalini.

Ianzwe Mahakama yenyewe.
Kuchunguza hizo taasisi ulizozitaja,unahitaji kuleta team ya watu kutoka Nje ya Nchi ndiyo unaweza pata report ya uhakika,lakini ukitoa watu humu Nchini,utapata report ya kupikwa tu na watu wataendelea na Maisha yao Kama kawaida!!
 
Kuchunguza hizo taasisi ulizozitaja,unahitaji kuleta team ya watu kutoka Nje ya Nchi ndiyo unaweza pata report ya uhakika,lakini ukitoa watu humu Nchini,utapata report ya kupikwa tu na watu wataendelea na Maisha yao Kama kawaida!!
Tuna tatizo kubwa sana la ufisadi Tanzania na tunakoelekea ni kubaya zaidi, kama hatuwa za makusudi hazijachukuliwa.

Sasa hivi tutaanza kuwa kama Nigeria, kama bado hatujafikia.
 
Bado, tunataka na mawizarani na idara na mashirika mengine ya kiserikali.

Tuanzie na ufisadi uliopo mahakamani na polisi, ziundwe task force huru za kuchunguza na kuchukuwa hatua serikalini.

Ianzwe Mahakama yenyewe.
Mambo mrembo....🌹
 
Yani wote hapo wagalatia. Kobaaz mmoja tu. Hongereni kina Accumen Mo Covax adriz Dalmine kimsboy

Wagalatia tumrudieni Yesu natufanye toba jamani.

Kutoka moyoni kabisa bila unafiki nawapa hongera.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…