Upigaji wa GSM unafanyika kimyakimya Yanga, Wabongo wameamua kuziba masikio

Upigaji wa GSM unafanyika kimyakimya Yanga, Wabongo wameamua kuziba masikio

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Kuna michongo inaendelea kimyakimya, ni kama vile Wabongo hawajui kinachoendelea lakini kiuhalisia wachache nao wanaojua wameona bora wakae kimya.

Inakera lakini tutafanyaje, ndiyo tumeaachia Wabongo wapige kimyakimya.

Huu mchongo wa kuuza jezi na bidhaa nyingine zenye nembo ya klabu zinaendelea kuiingizia mzigo wa maana GSM lakini hakuna anayefungua mdomo kubwatuka

Kuna kigogo mmoja mzito wa Yanga, juzi kati alikuwa akiwaelezea baadhi ya rafiki zake kuhusu upigwaji huo unaendelea klabuni hapo.

Kwa sasa jina linaweka kapuni lakini jamaa anakwambia kuwa idadi rasmi ya mauzo ya jezi inayojulikana ndani ya GSM na ile inaojulikana klabuni ni vitu viwili tofauti.

Kibaya zaidi kumbe hata zile bidhaa mbalimbali wanazouza zikiwa na nembo ya klabu nazo hazipo kwenye makubaliano rasmi ya klabu, lakini kwa kuwa washua wanatoa mpunga mzuri, unaambiwa viongozi wote kimyaaa, wanajua kuwa wakifanya fyoko, tajiri atakaa pembeni kisha njaa itaanza kuwatesa.
 
nyuzi kama hizi huwaoni wako bize na utumwa wao kwa injinia

hivi leo wako mtaani gan na injinia wao

8265C5ED-3A82-409B-9863-8205C202F7A9.jpeg
 
Kuna michongo inaendelea kimyakimya, ni kama vile Wabongo hawajui kinachoendelea lakini kiuhalisia wachache nao wanaojua wameona bora wakae kimya.

Inakera lakini tutafanyaje, ndiyo tumeaachia Wabongo wapige kimyakimya.

Huu mchongo wa kuuza jezi na bidhaa nyingine zenye nembo ya klabu zinaendelea kuiingizia mzigo wa maana GSM lakini hakuna anayefungua mdomo kubwatuka

Kuna kigogo mmoja mzito wa Yanga, juzi kati alikuwa akiwaelezea baadhi ya rafiki zake kuhusu upigwaji huo unaendelea klabuni hapo.

Kwa sasa jina linaweka kapuni lakini jamaa anakwambia kuwa idadi rasmi ya mauzo ya jezi inayojulikana ndani ya GSM na ile inaojulikana klabuni ni vitu viwili tofauti.

Kibaya zaidi kumbe hata zile bidhaa mbalimbali wanazouza zikiwa na nembo ya klabu nazo hazipo kwenye makubaliano rasmi ya klabu, lakini kwa kuwa washua wanatoa mpunga mzuri, unaambiwa viongozi wote kimyaaa, wanajua kuwa wakifanya fyoko, tajiri atakaa pembeni kisha njaa itaanza kuwatesa.
Nyie pambaneni na tapeli wenu Mo achana na habari za yanga azikuhusu, Nyie ndo mabingwa wa kumlamba miguu uyo tajiri wenu wa mchongo alafu unaleta upuuzi wako hapa, kafie mbele uko achana na yanga kabisa wewe utaiweza zaidi ya kuokoteza umbea na propaganda mfu izo
 
Sasa inauma nini wakati inayopigwa sio Simba, sisi tumeridhika na huko kupigwa, una jingine? Ikiuma toa wewe
 
Cha msingi ni kombe lipatikane timu iende Champions league, mambo ya biashara waachiwe GSM, Yanga wanaweza kuachiwa biashara zote na wakashindwa kuendesha timu bila kupitisha bakuli.
 
Mwamedi amejaza matangazo mengi kwenye jezi zetu na anapiga pesa nyingi kupitia brand yetu ila wakati huo huo anasema kuiendesha simba ni hasara.
Jamaa anatuona sisi mapunguani eti?

Bora GSM hana mambo mengi.
 
Yaani ' Home Shopping Centre ' Walipiga Sana..! Mpaka Mzee Magu Akashtuka. Ngoja niishie hapo
 
Kuna michongo inaendelea kimyakimya, ni kama vile Wabongo hawajui kinachoendelea lakini kiuhalisia wachache nao wanaojua wameona bora wakae kimya.

Inakera lakini tutafanyaje, ndiyo tumeaachia Wabongo wapige kimyakimya.

Huu mchongo wa kuuza jezi na bidhaa nyingine zenye nembo ya klabu zinaendelea kuiingizia mzigo wa maana GSM lakini hakuna anayefungua mdomo kubwatuka

Kuna kigogo mmoja mzito wa Yanga, juzi kati alikuwa akiwaelezea baadhi ya rafiki zake kuhusu upigwaji huo unaendelea klabuni hapo.

Kwa sasa jina linaweka kapuni lakini jamaa anakwambia kuwa idadi rasmi ya mauzo ya jezi inayojulikana ndani ya GSM na ile inaojulikana klabuni ni vitu viwili tofauti.

Kibaya zaidi kumbe hata zile bidhaa mbalimbali wanazouza zikiwa na nembo ya klabu nazo hazipo kwenye makubaliano rasmi ya klabu, lakini kwa kuwa washua wanatoa mpunga mzuri, unaambiwa viongozi wote kimyaaa, wanajua kuwa wakifanya fyoko, tajiri atakaa pembeni kisha njaa itaanza kuwatesa.
Ukichoka vaa uende..

GSM yupo sana.
 
Back
Top Bottom