Upimaji wa DNA kwa mtoto akiwa bado hajazaliwa!

Upimaji wa DNA kwa mtoto akiwa bado hajazaliwa!

Maneno uliyotumia siyo mazuri, uko tayari kulea mtoto wa kiuno chako. Tambuwa kuna idadi kubwa sana ya watoto waliolelewa na baba tofauti. Hata uko kwenye DNA hakuna jibu tofauti utakalopata Zaid ya mtoto kuwa wako.
Subiria katoto kuzaliwa, kwani ulivyokuwa unafanya tendo pekupeku ulikuwa unategemea nini kutokea.
Ungetumia condom unadhani huyo mdada angekusingizia kuwa mimba ni yako.
 
Back
Top Bottom