kantasundwa
JF-Expert Member
- May 25, 2020
- 1,548
- 2,384
Toka hapa jf nenda kamsikilize naamini utaokoka siku hiyo hiyo na kuachana na Utupolo ccmMwambie wananchi wanataka kujua amebeba nini kichwani juu ya tz,
Habari ya Magu kutuma watu wampige tukishasikia miaka 3 iliyopita. Sasa ni wakati wa kusikia ana nini juu ya tz,
Habari za Magu ni useless
Utaumia sana ukishuhudia Lisu akipata asilimia 20Nikishamchinja Jiwe kwenye sanduku la kura ndio furaha yangu itakamilika!
Wasalaam,
The same Scenario ya 2015 nimeshangaa sana inajirudia kwa kasi Watu wako wanajadili namna ya wagombea wakipokelewa mikoani kwa umati mkubwa.
CHADEMA mna cha kujifunza uchaguzi wa Mwaka 2015 ila ni dhahiri mmeonekana kuyasahau mafunzo hayo hadi sasa Mnamuona Lissu ndiye mshindi na Kuangali miji aliyotembelea na Kupima kura zake kwa Umati.
Uzi tayari, Tukutane Oktoba 28 kila mtu ashinde mechi zake.
Namsikiliza sana!Toka hapa jf nenda kamsikilize naamini utaokoka siku hiyo hiyo na kuachana na Utupolo ccm
Kwan una uhakika 2015 CCM ilishinda kihalali ..
Na hao ndo wapiga kura ujue..lkn ccm huwatisha watu wajae barabarani kumshangilia meko ndo kinachowauma ccm..lissu ni yeye tu 2020 .. Utupolo ccm mupoooo?Katika hii mikutano, iwe ya CCM, CHADEMA, HASHIM RUNGWE, n.k - wanaenda watu wa tabaka za vyama mbali mbali na wengine hawana vyama! Hivyo mkiona watu wamejazana, siyo kwamba ni wa chama husika! Wengine ni watoto na wengine ni wapenda shughuli tu. Na usikute wanachama wakawa wachache mno.
Magufuri ndo shetani wa lissuNamsikiliza sana!
Ila kila nikimsikiliza naona hotuba nzima imejaa Magufuli
Hahaha kweli Lumumba mmechanganyikiwa. Mlianza kusema atagawana asilimia 5 na Membe, mkaja kusema atapata 5, mkaja 10 saivi zimepanda hadi 20.Utaumia sana ukishuhudia Lisu akipata asilimia 20
Ni shetani wa Lisu siyo watz!Magufuri ndo shetani wa lissu
Mwishowe watasema kashinda kwa nguvu ya mabeberu [emoji23][emoji23]Hahaha kweli Lumumba mmechanganyikiwa. Mlianza kusema atagawana asilimia 5 na Membe, mkaja kusema atapata 5, mkaja 10 saivi zimepanda hadi 20.
Sasa mimi nakwambia kweli na hakika magufuli ndo atapata asilimia 20 kwenye uchaguz wa mwaka huu
Duuh,imeshapanda kufika 20?Zile swaga za ushindi 99% zimeishia wapi?Utaumia sana ukishuhudia Lisu akipata asilimia 20
Una maana CHADEMA/UPINZANI walishindwa kihalali!
Msimamo wangu ni uleule toka mwanzo!Hahaha kweli Lumumba mmechanganyikiwa. Mlianza kusema atagawana asilimia 5 na Membe, mkaja kusema atapata 5, mkaja 10 saivi zimepanda hadi 20.
Sasa mimi nakwambia kweli na hakika magufuli ndo atapata asilimia 20 kwenye uchaguz wa mwaka huu
Ndo wanapoelekea Naona hali zao mbaya sana mwaka huu hapo LumumbaMwishowe watasema kashinda kwa nguvu ya mabeberu [emoji23][emoji23]
Lisu ataambulia aailimia 20 tuDuuh,imeshapanda kufika 20?Zile swaga za ushindi 99% zimeishia wapi?
Hata kanisani unamkemea shetani na sio waumini..hvyo anawataka watanzania waachane na shetani huyo jiweNi shetani wa Lisu siyo watz!
Ndio maana anaomba kura kuongoza watz siyo Magufuli,
Amini maneno yangu ndugu. Hizo ndo Magufuli. Tukutane OktobaMsimamo wangu ni uleule toka mwanzo!
Kutokana na Lisu kuwa na ushawishi mdogo tena ndani ya chadeka pekee, basi atapata asilimia 20 tu
Mbona wao huwa hadi wanatumia malori /daladala kusombea watu!!? Bora huku kwingine wanajileta wenyewe kwa mapenzi yaoAcha wenge wewe na bado subiri mafuriko zaidi ya ENL 2015! Mbona Mikutano ya Hashim Rungwe(Mzee wa Kugawa Ubwabwa) haina mafuriko? Relax Tuliza Wenge dawa iwaingie.
Unafikiri hatufahamu vijana wa CCM wengi Kwa sasa wameajiliwa kwenye hizo page kumchafua lisuMkuu, hakuna uchaguzi mwepesi kwa ccm kama huu!
Nmeona raia wengi sana wanamshangaa Lisu!
Ukitaka kujua hilo nenda kwenye coment za raia uone wanasemaje kuhusu Lisu, hasa kwenye page za BBC, VoA na DW.
Kiufupi Lisu hana mtaji wa watu nje ya chama chake.
Achana na haya mazombie yanayopiga kelele humu JF!