Upinzani hauuliwi kwa mabavu, udikteta, vitisho na ukatili, ukitaka kuua upinzani mpe Hussein Mwinyi nchi aufute upinzani

Mtakufa kwa kihoro na hakuna badiliko lolote.
Mwinyi amezaliwa na kukulia ikulu hivyo anajua anachokifanya. Kaka Mandege amekua na ng'ombe na fimbo mkononi hivyo acha kushangaa mkuu. Ushamba v/s Weledi
 
Wananchi wameshathibitisha kwamba anatosha. Sijui unataka wananchi wepi ? Au waliopigwa chini kwa vyeti fake ?
 
Na bado mpaka mnyooke kabisa kile kiburi chote mpaka kiishe. Chezea jiwe weye.
Yote yaliyotokea tangu 2015 mpaka leo
Kuua, kuteka, kubambika kesi, kuvuruga uchaguzi, kuminya Uhuru wa kichumi,kuzuia siasa, kunyanganya watu hela

Ilikuwa hofu ya kupoteza madaraka
 
Hawana watu akili yote wanawaza majembe ya CCM
Mmeanza kumrukia mwinyi sasa
Ndio maana ccm tunaamini tutatawala milele
Mfuasi wa chadema anatutafutia mgonbea mzuri kwa ajili ya 2025
Tundu lissu ameshaomba uraia wa ubelgiji,hiyo 2025 labda agombee umeya Genk
 
Unajipendekeza kuwachagulia wakushondanishwa na kenge wenu.

Hatuhitaji upinzani tena Afrika hii mnaleta maigizo tu kama ni matatizo yetu mnayojigamba mtauatatua mkipata madaraka sasa tutayatatua kwa kuanzisha taasisi za kusaidiana na michango yetu ambayo tungrwachangia ndiyo itatumika kutunisha mifuko husika,basi tumewachoka!!
 
Ninyi si ndio mlisema kwamba Mwinyi amepelekwa huko Zanzibar kugombea kama kibaraka wa Tanganyika ? Leo amekuwa shujaa ? Wapinzani wenye mawazo kama haya eti uwape nchi. Mtaishia kutawala JF lakini siyo Taifa.
"Ninyi" .kwanza ni declare interest kwamba si kila anae comment oposite na mawazo yako ni mpinzani.
Wengine ni wananchi wa kawaida wasio na vyama.

So usinijumuishe ma upande wowote. Maana sifungamani na chama chochote.

Pili usinilishe maneno. Maana hakuna mahal niliwahi sema mwinyi ni kibaraka wa tanganyika
 
Bujibuji Unamwaga misifa sana, subiri walau miaka miwili mitatu tuone matokeo ya matukio ya Bwamdogo kaka Dr.
 
Ni kweli kabisa, Hussein Mwinyi ana akili kuliko huyu.
 
Mwinyi anaongoza Zanzibar ambayo ukivichanganya visiwa vyote viwili bado mkoa wa Morogoro ni mkubwa zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…