Uchaguzi 2020 Upinzani hizi dakika za majeruhi naona Dkt. Magufuli anatuumiza sana na hoja ya korona, tujipange kumjibu


Hizo huduma zote watu wanapata kwa hela zao. Uwe una chama au usiwe na chama, uwe raia au usiwe raia utapata huduma kwenye hiyo miradi vya serikali. Na hili sio kwamba liko hapa Tanzania tu, hata ukienda nchi nyingine, bado utapata huduma kwenye miradi ya serikali za nchi hizo, ili mradi uwe na hela.
 
Magufuli alijifungia kwao Chattle wakati wa korona. Watanzania wakawa wanazikwa usiku. Halafu leo anajifanya ni shujaa sana eti!! Bila aibu... Awadanganye wajinga.

Wala hatutapigana. Watanzania wa kawaida hatuna silaha. CCM ndio ina jeshi. Kama ni lazima watawale watupige tu watuue. Wala hakuna vita. Waliamua watuue kama binadamu anavyoua sisimizi kwa moto. Hakuna kupigana. CCM wamejiandaa kuua watu ambao hawana silaha.
Kupigia kura upinzani ni kuchagua vita
 
Minaona viongozi wetu tukiwa tumebakiza siku hizi chache walizungumzie hili wapigakura wetu ambao ni wengi sana kwa sasa watupigie kura nyingi na Korona isiwe ishu tena. Kwa sababu kilamtu anajua kipindi cha Korona hari ilikuwa tete sana.
unataka wazungumzie nini wakati makamanda walijificha,wakaacha wapiga kura wahangaike na serikali yao
 
Mmechelewa
 

Mwanasiasa ujali tumbo lake
 
Kwa kuwa yeye ni kiboko ya korona, Kwanini wasiongee na yule wa Madagascar watengeneze kliniki yao, waponye korona, urais Lissu anatosha!
 
Kama mgombea wenu ni mponya korona Kwanini asijikite huko kwenye tiba, akasaidie mataifa ambayo mpaka sasa wanateseka?! Mbona hata hiyo ni huduma kwa jamii, atuachie nchi yetu, na wewe uende naye ukambebe mikoba!
 
Huyu chakubanga alitusaidia nini ?
Kakimbilia chato kabisa kajificha kamwachia waziri umy kilakitu muoga kama mama yake.
 
unataka wazungumzie nini wakati makamanda walijificha,wakaacha wapiga kura wahangaike na serikali yao
Serikali ilikua mbali, kabombe! Burigi!! Au hujui waziri aliye chukua mikoba ya waziri wa sheria na katiba, aliapishiwa wapi?!
 
Acha ujuaji wewe na kujifanya unamjua sana kuhusu Mungu, Kuna watu wameanza kupiga maombi kabla ya hata huyo baba yako Magu, Kwa hiyo usituletee ujuaji wako hapa wa kujifanya nyie ndio mlimnyenyekea Mungu, Kwanza baba ako alikimbilia mafichoni huko Burigi akaja kutoka huko akaja na fix...
 
Asijigambe. Watanzania tuliomba Mungu akatuiiimarisha na kuondoa hofu huku wenzetu walifa kika siku hospital na majumbani. Nilipoteza ndugu, jirani na marafiki wengi. Nikisikia mtu anasema Tanzania eti hakuna Corona huwa nasikia tumbo likauma. Mmoja niliyepoteza ni Shangazi yangu aliyenipenda sana. Marafiki ZANGU mmoja akiwa Mkuu wa Taasisi moja tulielewana toka mwaka 2000. Tulidanganywa. Data ya waliougua na kufariki ningependa serikali iweke wazi.
 
Yani badala tujadili uchumi mlioharibu kwa miaka 5, vijana kukosa ajira vibaya akiwa miaka 5, jinsi mlivyowafanya wakulima masikini kwa matamko yenu na makatazo yenu ya hovyo kwa miaka 5. Na jinsi mlivyoua watu, kuteka na kubambika makesi kwa miaka 5 ndo tujadili corona ambayo ni sehemu kubwa ya africa si tanzania tu haijaleta madhara????

Kweli Ccm mmeshikwa pabaya mwaka huu😂😂
 
Kupigia kura upinzani ni kuchagua vita
[emoji16][emoji16][emoji16]

Kwanini ni Vita

1. Kwa sababu itaenda kufukua madudu yote yaliyofanywa kabla???

Ebu tueleweshe iyo Vita itakuaje usisahau na kamfano ka nchi waliochagua upinzani ikatokea vita

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Nasikia kusini hali ni mbaya! Kila mahali ni Tundu Lissu. Wakulima wanahasira haijawahi kutokea, Lindi mtwara na Ruvuma kura za urais ccm wajitahidi kuiba maana ninaimani hazitatosha, na wakifanya ujinga wao kituo kina wapiga kura 400 halafu waliopiga kura 700 patachimbika,wale graduate waliomaliza chuo ndio wasimamizi halafu hawana ajira uwaambie waibe kura moto utawaka.
 
Jiwe arudi chato atuachie nchi yetu, mtu aliyeshindwa kuongoza hata familia tu?

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Hivi si ndiye huyu Jiwe alikimbilia chato kwa miezi kadhaa kipindi cha corona?

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Sasa hivi ndio mnasema haukuwa na madhara makubwa ila wakati ule ndio nyie mliokuwa mnasema kuwa hali mbaya watu wanakufa majumbani kimya mkimya sijui serikali inaficha,hata huyo Magufuli akawa anaambiwa kakimbia Dar sababu ya corona. Humu mitandaoni mada za corona zilikuwa haziishi ila et sasa ndio mnasema haukuwa na madhara makubwa.

Kama ugonjwa hauna madhara makubwa kwanini sasa mlikuwa mnatisha watu wakati huo au sasa ndio mmejua kuwa haukuwa na madhara makubwa na ndio maana zile kelele mmeziache tena?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…