Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Jomba unajua maana ya slogan ya maendeleo hayana chama..?? It means hata ikijengwa hospital, watakaotumia hawabaguliwi kichama, cuf, act, chadema, nccr, CCM, tadea na wengineo woote watapewa huduma pale..ongeza na mifano mingine hapo, nenda madawa, Barabara, madaraja, ndege, meli, pantoon, sgr, etc
Hizo huduma zote watu wanapata kwa hela zao. Uwe una chama au usiwe na chama, uwe raia au usiwe raia utapata huduma kwenye hiyo miradi vya serikali. Na hili sio kwamba liko hapa Tanzania tu, hata ukienda nchi nyingine, bado utapata huduma kwenye miradi ya serikali za nchi hizo, ili mradi uwe na hela.