Upinzani huko Tanzania mjilaumu wenyewe, mliingia kichinjioni mkiona

Upinzani huko Tanzania mjilaumu wenyewe, mliingia kichinjioni mkiona

Wewe hujui chochote kuhusu Tz ,labda nikusaidie tu upinzani wamevuna walichokipanda hayo ndio yale matunda ya kupinga kila kitu hata kama cha maendeleo sasa watu kama hao wanafaida gani Kwa wananchi wazidi kuwakumbatia ? Haiwezekani ununuzi wa ndege wamepinga , barabara za juu Dar wamepinga, ujenzi wa reli wamepinga, ujenzi wa barabara kumi na ngapi cjui zike wamesema za kazi gani, ujenzi wa bwawa la umeme rufiji wamepinga wamesema tunayo kidatu , kuzuia mchanga wa madini wamepinga, kubadilisha mikataba ya madini wamepinga , yani hamna hata moja walilokubali sasa watu kama hao kuna haja gani ya kuwarudisha bungeni na Kwa manufaa ya nani ? Watanzania sio wajinga ukituzingua tunakuzingua ndio kanuni iliyotumika, sasa kama ulitaka watu warudi bungeni kwasababu tu ulizoea kuwaona nikukumbushe huu uchaguzi Kwa maslahi ya TZ na sio Kenya .

Wewe huwa nakupuuza maana huwa hauna jipya zaidi ya haya mapambio ambayo huwa mumekaririshwa hapo Lumumba, hizi insha zako huwa sizisomi, ukiwa mtu mwenye akili timamu lazima moyo wako utakusuta kwa hicho mlichokifanya huko.

Mimi binafsi ni aina ya mtu ambaye mnaweza mkaniita mataga wa Kikenya maana huwa naunga mikono juhudi za serikali yetu hapa kenya na kuegemea sana upande wake, ila ninaweza nikachukia hadi kuzimu siku serikali yetu itakuja kufanya hicho mlichokifanya huko, upinzani huwa unahoji sio kupinga, nyie hapo mkihojiwa mnaona kama kwamba mnapingwa. Haipaswi serikali iachiwe neno "ndio" kwenye kila ikifanyacho, kwa namna hiyo mtaliwa hadi mifupa.

Upinzani ulihoji tija ya ununuzi wa mindege kwa pesa taslimu ilhali nchi inateseka kwa ukata, hamzingatii vipau mbele wakati wa kuidhinisha chochote, na pia hamkufuata taratibu zipasavyo kikatiba, kwenye miradi yote hiyo, mumeifanya kibabe babe bila kufuata kanuni, sasa upinzani gani utabaki kimya bila kutolea neno, na wakisema mnawashutumu kwamba wanapinga. Halafu vyombo vyenu vya habari ndio vilishafukiwa kitambo, havina usemi wowote.

Kwa sasa hautaona kama kosa maana akili zako zimeshikiliwa na buku saba unazopewa hapo, ila ndugu zako wasiokua na hiyo bahati watateseka sana.

Kunao wafuasi wa CCM kindaki ndaki ila ni wazalendo, hawajapendezwa na huko kusindika sindika mlikofanya, palikua na umuhimu muachie nafasi ya wapinzani hususan mliposindika na kuhakikisha rais amepita, mngeanza kuachia achia kura za baadhi ya wapinzani haswa wanaofahamika vichwa bungeni.
 
Wewe huwa nakupuuza maana huwa hauna jipya zaidi ya haya mapambio ambayo huwa mumekaririshwa hapo Lumumba, hizi insha zako huwa sizisomi, ukiwa mtu mwenye akili timamu lazima moyo wako utakusuta kwa hicho mlichokifanya huko.

Mimi binafsi ni aina ya mtu ambaye mnaweza mkaniita mataga wa Kikenya maana huwa naunga mikono juhudi za serikali yetu hapa kenya na kuegemea sana upande wake, ila ninaweza nikachukia hadi kuzimu siku serikali yetu itakuja kufanya hicho mlichokifanya huko, upinzani huwa unahoji sio kupinga, nyie hapo mkihojiwa mnaona kama kwamba mnapingwa. Haipaswi serikali iachiwe neno "ndio" kwenye kila ikifanyacho, kwa namna hiyo mtaliwa hadi mifupa.

Upinzani ulihoji tija ya ununuzi wa mindege kwa pesa taslimu ilhali nchi inateseka kwa ukata, hamzingatii vipau mbele wakati wa kuidhinisha chochote, na pia hamkufuata taratibu zipasavyo kikatiba, kwenye miradi yote hiyo, mumeifanya kibabe babe bila kufuata kanuni, sasa upinzani gani utabaki kimya bila kutolea neno, na wakisema mnawashutumu kwamba wanapinga. Halafu vyombo vyenu vya habari ndio vilishafukiwa kitambo, havina usemi wowote.

Kwa sasa hautaona kama kosa maana akili zako zimeshikiliwa na buku saba unazopewa hapo, ila ndugu zako wasiokua na hiyo bahati watateseka sana.
Kunao wafuasi wa CCM kindaki ndaki ila ni wazalendo, hawajapendezwa na huko kusindika sindika mlikofanya, palikua na umuhimu muachie nafasi ya wapinzani hususan mliposindika na kuhakikisha rais amepita, mngeanza kuachia achia kura za baadhi ya wapinzani haswa wanaofahamika vichwa bungeni.
Wewe c mtanzania ndio maana shida yako upinzani tu bc, na sio upinzani wenye tija Mimi siuchukii upinzani na 2015 kura nimepigia upinzani ila upinzani nimekuja kuona hauna faida yeyote Kwa kupinga kila kitu unajua upinzani wa nchini kwetu upo tofauti unapinga mpaka maendeleo sasa upinzani kama huu ni upo Kwa maslahi yao binafsi na sio waliowachagua sasa wewe ukiniona mm wamapambio ikiwa Mimi ndio mpiga kura na ndio muhusika wa hayo ya kupinga kila kitu hapo ndipo nakuona kichaa.

Au kama wewe unafatilia kambi ya upinzani Tanzania ili niendelee kuwa na Imani na ukawa niambie wabunge wa upinzani toka 2015 mradi gani uliofanyika wakasema huu Sawa? Hebu nitajie mradi mmoja tu
 
Kikwete alikuwa na katiba ipi hiyo? Hebu tueleze katiba ya Kikwete ilipitishwa lini na nani? Kikwete alikuwa kinara wa kuivuruga rasimu ya Warioba baada ya kutishwa na maccm. Ikulu ilivunja Tume ya Katiba kimya kimya bila wajumbe kujua
Upinzani mngekubali ile Katiba ya kikwete angalau ilikua na mambo mazuri..Mengine mngedai baadae...kwa katiba hii tukiyonayo japo hata yenyewe haifuatwi upuuzi huu hautaisha..Inabidi mbadili mbinu ila kwenye hii Nec na Polisi hawa hawa Milele zote hamtakaa mpate kitu.
 
Kwa upande mmoja upo sawa, lakini kwa upande mwingine napingana na maoni yako! Tujaribu kurejea kilichotokea katika uchaguzi wa serikali za mitaa, Yaani baada vyama vyenye nguvu kujitoa katika mchakato ule kuna baadhi ya vyama vilishiriki na vikaachiwa kushinda baadhi ya mitaa, kisha dunia ikatangaziwa uchaguzi ulishirikisha vya vyote na vile ambavyo hakushiriki vilijitoa kwasababu zao wenyewe! Hivyo kujitoa kwao kukakosa maana!

Kwa hiyo hata katika huu uchaguzi ni bora wameshiriki na kwa bahati nzuri yaliyofanyika yameonekana hadi machoni pa ulimwengu, Waangalizi wametoa ripoti yao ambayo haijaficha kitu! Ubalozi wa Marekani pia umetoa tamko linaloonyesha wazi kuwa umeziona hujuma walizofanyiwa wapinzani, Hivyo mpaka tayari kuna message sent!

Suala la wapinzani kudai katiba mpya na tume huru, wameshajaribu sana isipokuwa katika kipindi hiki cha miaka 5 ya serikali ya sasa, wapinzani walijengewa mazingira magumu sana ya kufanya shughuli zao za kisiasa, kila walipofurukuta kwa lolote walithibitiwa na jeshi, ilifika mahala hata mikutano tu ya ndani ilipigwa marufuku!

Huko majimboni wabunge wake kila wakati walikutana na vikwazo, vya wakuu wa wilaya na mikoa, kama Sabaya na Makonda.

pamoja na mazingira hayo magumu walipambana kiaina wakajenga chama na wameweza kufanya kampeni ambazo kama si udanganyifu wa CCM, kulikuwa kimbunga cha ushindi, Hivyo tuwape moyo kwamba wamejitahid kadri ya walivyojaliwa, Hii sintofahamu iliyopo sasa naamini watavuka tu! Lakini suala la kudai katiba mpya na Tume huru nafkiri ndio iwe ajenda ya kwanza!
 
'nani ana huo mda wa kwenda kuvunjwa kiuno saivi ukakosa kula uroda. Maisha yaendelee tu upinzani walizembea imekula hii Tanzania ndo itakuwa China ya Africa. Kama China chini ya chama moko wanamaendeleo basi we hope Magu atatuprove still we have benefit of the doubt
Kabisa Mkuu wahuni wa maccm wamegundua hawana nguvu ya hoja ya kuwavutia Watanzania wengi wawapigie kura ukilinganisha na wapinzani. Pamoja na JIWE kudai ataishughulikia Katiba mpya ili kuifikisha Tanzania mahali pazuri baadaye akang’aka kwa kujua inaweza kuwa kaburi lake na hivyo kuwa Rais wa awamu moja tu. Hivyo utaona hawa wahuni wa maccm maslahi yao binafsi na chama chao cha wahuni wanayapa priority kubwa sana kuliko yale ya Tanzania na Watanzania. Ikibidi hata kuua wanaua ili kubaka demokrasi.
 
Yaani kwasasa kilichobaki ni kila mtu aisome namba ili tuongee lugha moja.

Kwasasa kuna watu wanadhani kina Mbowe, Zitto au Maalim Seif ndio wenye shida na kama ujuavyo chuki hupofusha.

Mfano mdogo tu: Hii ni payslip ya mwalimu (Degree holder) kwa shule za serkali: Hawa watu waliingia mkataba na Bodi ya mikopo kuwa wakipata ajira watakuwa wakikatwa 8% ya mshahara, alivyowekwa Magu kawapandishia makato mpaka 15% na hakuna hata chama cha wafanyakazi kinachoguna guna, tena wanasifia tu.

Na kama hilo halitoshi, hajaongeza annual increments ambazo zipo kisheria miaka yote mitano.

Picha ni huo mshahara, Netpsy ni kama Ksh 22,000 na kwa hilo deni halitaisha mpaka afe maana hata pension hatapata.
Hahahaha, hata Daktari ambaye anasoma miaka 5 na ni miongoni mwa kozi ghali hawezi kufikisha hilo deni kwa miaka yote mitano, punguza ushabiki kaka
 
Hahahaha, hata Daktari ambaye anasoma miaka 5 na ni miongoni mwa kozi ghali hawezi kufikisha hilo deni kwa miaka yote mitano, punguza ushabiki kaka
Wewe unaweza kabisa kubishana hata na picha ukutani. Na siku zotewabongo ni kama kenge mpaka waone Damu.
 

Attachments

  • IMG_20200921_190239.jpg
    IMG_20200921_190239.jpg
    25.6 KB · Views: 3
Na watalia tena wameibiwa
Mimib naona waache tu: Sote tunaishi nchi hii hii, namba tutaisoma wite, watakaokufa wafe, watajaobaki wanaki maana naona jukumu la kupinga dhulma,bkupambaniabhaki na usawa lishaonekana ni la watu fulani tu
 
Back
Top Bottom