Uchaguzi 2020 Upinzani kuna hizi hapa kura za bure msiziache

Uchaguzi 2020 Upinzani kuna hizi hapa kura za bure msiziache

Vangigula

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2015
Posts
852
Reaction score
2,739
Moja ya makundi yaliyojeruhiwa kimaslahi kwa hii miaka 5 iliyopita ni kundi la Wafanyakazi wa Umma. Bila ongezeko la mshahara, ambalo lilikuwepo kisheria, kila mfanyakazi wa umma amejikuta akipoteza maslahi ya kutosha.

Kwa mfano binafsi, mwaka 2015 nilikuwa nina annual increment ya shilingi 120,000. Bila kujali kama ningepanda notch au madaraja, kila mwaka nimekuwa nikipoteza (nachelea kutumia maneno kama kupunjwa au kuibiwa) shilingi 120,000 x 12 ambazo ni sawa na shilingi 1,440,000 kwa mwaka na shilingi 7,200,000 kwa miaka mitano.

Na kwa vile hata kwenye budget ya sasa hakuna ongezeko, ina maana ninaweza poteza 14m kwa hii awamu. Na hili litakuwa na cascading effect mpaka kwenye mafao ya kiinua mgongo changu.

CHADEMA, kama mtakuja na ahadi ya kuwarejeshea watumishi wa umma kile walichopoteza, hebu fikirieni ni kura ngapi mtazivuna?
 
KIbaya zaidi this will affect your pension!
 
Uongo mkubwa nikuonyeshe watumishi walivyo faidika.

Mwaka huu baada ya kuongeza kima cha chini wafanyakazi wote wa umma na nafsi mishahara imeongezeka. Tena iliyo ongezeka ni ile take home siyo gross. Hii inafaida kubwa kuliko angeongeza mshahara ambao utakatwa kodi na pengine na take home yake ingeathirika.

Kuna watumishi wameongezewa hadi 50000 kama take home. Hii ina faida kubwa kuliko.

Watu wanatakiwa kuelimishwa tu. Na ongezeko hili Limewafanya watumishi wanashangaa Coz halijatangazwa so bidhaa bei ni ileile. MagufuliJP is genius anajitahidi kuongeza bila kuathiri maisha ya kila siku. Tofauti na zamani

Lakini watumishi wamepanda madaraja, madeni yamelipwa.

Kuna watumishi walikuwa hawajawahi panda madaraja tangu waajiriwe miaka Zaid ya 20 awamu hii wamepanda.
 
Uongo mkubwa nikuonyeshe watumishi walivyo faidika

Mwaka huu baada ya kuongeza kima cha chini wafanyakazi wote wa umma na nafsi mishahara imeongezeka. Tena iliyo ongezeka ni ile take home siyo gross. Hii inafaida kubwa kuliko angeongeza mshahara ambao utakatwa kodi na pengine na take home yake ingeathirika.

Kuna watumishi wameongezewa hadi 50000 kama take home. Hii ina faida kubwa kuliko.

Watu wanatakiwa kuelimishwa tu. Na ongezeko hili Limewafanya watumishi wanashangaa Coz halijatangazwa so bidhaa bei ni ileile. MagufuliJP is genius anajitahidi kuongeza bila kuathiri maisha ya kila siku. Tofauti na zamani

Lakini watumishi wamepanda madaraja, madeni yamelipwa.

Kuna watumishi walikuwa hawajawahi panda madaraja tangu waajiriwe miaka Zaid ya 20 awamu hii wamepanda.

This is a big lie, toa mifano ya sector walizopanda madaraja ? wengi wao usalama, takukuru mapolice na wanajesh...Magufuli is biased...sisi watumish tutamchinja siku za kura
 
Vangigula,

Hili suala lako liko ktk ilani ya uchaguzi ya CDM, na imeelezwa kwamba litashughulikiwa kwa DHARURA ndani ya siku 100 tangu CDM waunde serikali.

Pia kuna pendekezo kuwa PAYE haitazidi asilimia 8.
 
Hili suala lako liko ktk ilani ya uchaguzi ya CDM, na imeelezwa kwamba litashughulikiwa kwa DHARURA ndani ya siku 100 tangu CDM waunde serikali.

Pia kuna pendekezo kuwa PAYE haitazidi asilimia 8.
Maneno matupu, wameshindwa kulipia ukarabati wao he wataweza?
 
Vangigula
Awamu hii wafanyakazi wa serikali wamenyanyasika Sana...

1. Hakuna ongezeko la mshahara
2. Hakuna kupanda daraja/cheo hata kama umeongeza elimu iwe kwa mkopo au kunisomesha
3. Watumishi wamewekwa selo za polisi kinyume na taratibu za utumishi
4. Wale walioishia form4 walifukuzwa kazi pasipo kuwaongezea muda wa kujiendeleza
5. Wale wenye vyeti feki walidhurumiwa haki ya kupata mafao
6. Walimu wa sekondari kupelekwa kufundisha shule ya msingi
7. Hakuna ajira mpya. Pamoja na kupunguza wafanyakazi hewa, wenye vyeti feki lkn hakuna wafanyakazi walioongezwa
8. Wastaafu kutolipwa kwa wakati.
9. Kikokotoo kipya Cha mafao Ni janga kwa mstaafu
10. Mazingira duni ya kazi
11. Upendeleo kwa wanasiasa ktk teuzi, Hawa wengi wao hawana uzoefu
 
Angalau CDM wanaahidi. Huenda watatekeleza, na huenda wakashindwa kutekeleza.

JPM yeye amesema anajenga SGR, na Stiegler's, mishahara itapanda akimaliza miradi hiyo.
Akimaliza. Future Impossible Tense
 


hqdefault-1.jpg
 
Majobless. Chansi yetu nyingine ya kushuhudia yanayoendelea maofisini.
 
Uongo mkubwa nikuonyeshe watumishi walivyo faidika.

Mwaka huu baada ya kuongeza kima cha chini wafanyakazi wote wa umma na nafsi mishahara imeongezeka. Tena iliyo ongezeka ni ile take home siyo gross. Hii inafaida kubwa kuliko angeongeza mshahara ambao utakatwa kodi na pengine na take home yake ingeathirika.

Kuna watumishi wameongezewa hadi 50000 kama take home. Hii ina faida kubwa kuliko.

Watu wanatakiwa kuelimishwa tu. Na ongezeko hili Limewafanya watumishi wanashangaa Coz halijatangazwa so bidhaa bei ni ileile. MagufuliJP is genius anajitahidi kuongeza bila kuathiri maisha ya kila siku. Tofauti na zamani

Lakini watumishi wamepanda madaraja, madeni yamelipwa.

Kuna watumishi walikuwa hawajawahi panda madaraja tangu waajiriwe miaka Zaid ya 20 awamu hii wamepanda.
Kweli mmejipanga kutetea, siri ya mtungi aijuae kata. Sasa hapo sijui unamdanganya nani? Wafanyakazi wanaijua siri kuhusu hicho kilicho ongezeka hiyo siyo nyongeza mh raisi ametimiza sehemu ya ahadi yake ya kupunguza kodi.
 
Tatizo la wafanyakazi wa Tanzania hawawezi kufanya maamuzi sijui kama wanafahamu haki zao za msingi.
 
Lissu hawezi kushinda na kamwe hatakuwa rais wa Tanzania labda jua libadili uelekeo,kwa lipi lissu kaifanyia Tanzania na watanzania hadi wampe heshima ya kiongoza nchi yetu?

Lissu ni mtu hatari sana kwa mstakabari wa taifa letu kwani ni selfish person, ni mtu mwenye jazba, hana nidhamu,amejaaa chuki,na anatumika na nchi za magharibi ili kuvuruga mstakari na umoja wa taifa letu, huyu bwana hafai lazima apingwe kwa kila namna.

Harafu mtu anaposema Lissu atakuwa rais no kujidanganya sana,ataongoza serikali ipi ikiwa chama chake hakina uhakika wa kupata japo wabunge watano, hii ni ndoto.

Mwambie Lissu kuwa amejidanganya na kama anamatumaini ya kuiongoza Tanzania basi kapotea.
 
Uongo mkubwa nikuonyeshe watumishi walivyo faidika

Mwaka huu baada ya kuongeza kima cha chini wafanyakazi wote wa umma na nafsi mishahara imeongezeka. Tena iliyo ongezeka ni ile take home siyo gross. Hii inafaida kubwa kuliko angeongeza mshahara ambao utakatwa kodi na pengine na take home yake ingeathirika.

Kuna watumishi wameongezewa hadi 50000 kama take home. Hii ina faida kubwa kuliko.

Watu wanatakiwa kuelimishwa tu. Na ongezeko hili Limewafanya watumishi wanashangaa Coz halijatangazwa so bidhaa bei ni ileile. MagufuliJP is genius anajitahidi kuongeza bila kuathiri maisha ya kila siku. Tofauti na zamani

Lakini watumishi wamepanda madaraja, madeni yamelipwa.

Kuna watumishi walikuwa hawajawahi panda madaraja tangu waajiriwe miaka Zaid ya 20 awamu hii wamepanda.
Nyongeza ya 50,000? Anyway tunatofautiana.
 
Moja ya makundi yaliyojeruhiwa kimaslahi kwa hii miaka 5 iliyopita ni kundi la wafanyakazi wa umma. Bila ongezeko la mshahara, ambalo lilikuwepo kisheria, kila mfanyakazi wa umma amejikuta akipoteza maslahi ya kutosha.

Kwa mfano binafsi, mwaka 2015 nilikuwa nina annual increment ya shilingi 120,000. Bila kujali kama ningepanda notch au madaraja, kila mwaka nimekuwa nikipoteza (nachelea kutumia maneno kama kupunjwa au kuibiwa) shilingi 120,000 x 12 ambazo ni sawa na shilingi 1,440,000 kwa mwaka na shilingi 7,200,000 kwa miaka mitano.

Na kwa vile hata kwenye budget ya sasa hakuna ongezeko, ina maana ninaweza poteza 14m kwa hii awamu. Na hili litakuwa na cascading effect mpaka kwenye mafao ya kiinua mgongo changu.

CHADEMA, kama mtakuja na ahadi ya kuwarejeshea watumishi wa umma kile walichopoteza, hebu fikirieni ni kura ngapi mtazivuna?
TUCTA wako wapi?
 
Uongo mkubwa nikuonyeshe watumishi walivyo faidika

Mwaka huu baada ya kuongeza kima cha chini wafanyakazi wote wa umma na nafsi mishahara imeongezeka. Tena iliyo ongezeka ni ile take home siyo gross. Hii inafaida kubwa kuliko angeongeza mshahara ambao utakatwa kodi na pengine na take home yake ingeathirika.

Kuna watumishi wameongezewa hadi 50000 kama take home. Hii ina faida kubwa kuliko.

Watu wanatakiwa kuelimishwa tu. Na ongezeko hili Limewafanya watumishi wanashangaa Coz halijatangazwa so bidhaa bei ni ileile. MagufuliJP is genius anajitahidi kuongeza bila kuathiri maisha ya kila siku. Tofauti na zamani

Lakini watumishi wamepanda madaraja, madeni yamelipwa.

Kuna watumishi walikuwa hawajawahi panda madaraja tangu waajiriwe miaka Zaid ya 20 awamu hii wamepanda.
Unakunya kwa shemeji yako wewe ndo maana unaandika [emoji90]
 
Back
Top Bottom