Uchaguzi 2020 Upinzani kuna hizi hapa kura za bure msiziache

Uchaguzi 2020 Upinzani kuna hizi hapa kura za bure msiziache

Ni kweli hoja hii lakini pia wapinzani wanatakiwa wawe makini na watumishj, katika watumishi wapo ccm kindakindaki, na wapo pia ambao wananafasi na wana enjoy maisha haya. Pia wapo wajinga waliopitiliza ambao bado wanaamini ukiwa mtumishi wewe ni ccm, pia wapo waoga wanaoamini ukipogia chadema kura serikali itakujua na kukushuhulikia.

Hivyo kweli hizi ni kura zipo lakini zakwendea kwa umakini. Pia Chadema lazima wajue kuwa watumishi wengi ni waelewa, hivyo lazima wawaendee kwa hoja madhubuti na sio hoja za kimhemko.

Hata hivyo lazima chadema wajue, kundi pekee tulilo na uhakika kuwa wamejiandikisha kwa uhakika ni Watumishi.
 
Uongo mkubwa nikuonyeshe watumishi walivyo faidika

Mwaka huu baada ya kuongeza kima cha chini wafanyakazi wote wa umma na nafsi mishahara imeongezeka. Tena iliyo ongezeka ni ile take home siyo gross. Hii inafaida kubwa kuliko angeongeza mshahara ambao utakatwa kodi na pengine na take home yake ingeathirika.

Kuna watumishi wameongezewa hadi 50000 kama take home. Hii ina faida kubwa kuliko.

Watu wanatakiwa kuelimishwa tu. Na ongezeko hili Limewafanya watumishi wanashangaa Coz halijatangazwa so bidhaa bei ni ileile. MagufuliJP is genius anajitahidi kuongeza bila kuathiri maisha ya kila siku. Tofauti na zamani

Lakini watumishi wamepanda madaraja, madeni yamelipwa.

Kuna watumishi walikuwa hawajawahi panda madaraja tangu waajiriwe miaka Zaid ya 20 awamu hii wamepanda.
Mkuu, nionyeshe uongo wangu kwa figures. Hiyo 50,000 ni kweli nimeipata lakini haiondoi ukweli kuwa nimeibiwa 7M.
 
Uongo mkubwa nikuonyeshe watumishi walivyo faidika

Mwaka huu baada ya kuongeza kima cha chini wafanyakazi wote wa umma na nafsi mishahara imeongezeka. Tena iliyo ongezeka ni ile take home siyo gross. Hii inafaida kubwa kuliko angeongeza mshahara ambao utakatwa kodi na pengine na take home yake ingeathirika.

Kuna watumishi wameongezewa hadi 50000 kama take home. Hii ina faida kubwa kuliko.

Watu wanatakiwa kuelimishwa tu. Na ongezeko hili Limewafanya watumishi wanashangaa Coz halijatangazwa so bidhaa bei ni ileile. MagufuliJP is genius anajitahidi kuongeza bila kuathiri maisha ya kila siku. Tofauti na zamani

Lakini watumishi wamepanda madaraja, madeni yamelipwa.

Kuna watumishi walikuwa hawajawahi panda madaraja tangu waajiriwe miaka Zaid ya 20 awamu hii wamepanda.
 
Hili suala lako liko ktk ilani ya uchaguzi ya CDM, na imeelezwa kwamba litashughulikiwa kwa DHARURA ndani ya siku 100 tangu CDM waunde serikali.

Pia kuna pendekezo kuwa PAYE haitazidi asilimia 8.
Kama ni hivyo watapata kura yangu na za my family. Uzalendo kamili unaanzia tumboni
 
Back
Top Bottom