ASIYETAKA MEMBE ANGOMBEE UPINZANI BASI YEYE AONDOKE CHAMANI IKIWA HATA NA WEWE NI VIZURI UTUACHE UPINZANI TUMPE MEMBE APEPERUSHE BENDERA
Kwa nini tunasema upinzani usimsimamishe Bernard Membe kuwa mgombea urais 2020?
Sababu zi wazi kwa kila mtu ambaye amekuwa akifuatilia mwenendo za siasa za Tanzania kwa takribani miaka 10 iliyopita. Kwa uchache, hizi hapa chini ndizo sababu za msingi:
1) Ni mkakati ambao umekuwa tried and tested but has miserably floundered. Ushahidi ni kilichotokea kwa Edward Lowasa 2015 ambaye sasa amerejea CCM. Hii imepelekea embarrassment ya kiwango cha juu kwa upinzani.
2) Bernard Membe kujiunga na upinzani itakuwa si kwa ajili ya kuwatumikia Watanzania bali kuitumikia nafsi yake ambayo inautaka urais by hooks or crooks. Hata ikitokea kimuujiza akashinda urais, kwenye timu yake atahakikisha anaweka watu wake (Nape, Riz1, etc) hata ikiwa at the expense of wapinzani watakaokuwa wamemsaidia kushinda.
3) Ukilinganisha kati ya Lowasa vs Membe utaona Lowasa alikuwa na political base kubwa na imara kumzidi Membe. Lakini bado alishindwa na baada ya kushindwa alinyong'onyea na hatimaye kurudi zizini (CCM).
4) Bernard Membe alishiriki kwa kiasi kikubwa kuhujumu Rasimu ya Katiba ya Warioba. Angekuwa ni mtu visionary, angeiunga mkono na leo hii tusingekuwa hata tunaongelea kuhusu yeye kuhitaji kugombea kupitia upinzani.
5) Bernard Membe ni CCM through and through na anakipenda sana chama chake (FACT). Kaeni mbali naye... rather, mwacheni apigane vita vyake mwenyewe dhidi ya mahasimu wake ndani ya chama chake.
This time upinzani mkikubali tu kutumika tena na hawa wasaka madaraka, then mjue tu kuwa that'll be that in the eyes of the voting wananchi (electorate).
Mnao wagombea credible wengi tu. Jipangeni from within. Undeni coalition ili mpate strong candidates. Mtarejesha imani ya wananchi.
Msijesema hatukuwaambia!
Zitto, John Mnyika