Mnashindwa vipi kukaa na kujadili masuala ya msingi kama kuboresha huduma afya, elimu na upatikanaji wa umeme?
Mnabakia kila kona kushupalia juu ya takwimu za foreign reseve ambazo zimekosewa bahati mbaya. Kwani hamjui kuwa mil 6000 ni sawa na bil 6.
Tumieni busara kujadili masuala ya msingi ili wananchi wa kawaida wawaelewe.
Wewe ni zuzu. Ikulu/ofisi ya rais ni taasisi. Inawezekanaje taasisi kubwa namna hiyo kukosea kwa kiwango hicho!??Mnashindwa vipi kukaa na kujadili masuala ya msingi kama kuboresha huduma afya, elimu na upatikanaji wa umeme?
Mnabakia kila kona kushupalia juu ya takwimu za foreign reseve ambazo zimekosewa bahati mbaya. Kwani hamjui kuwa mil 6000 ni sawa na bil 6.
Tumieni busara kujadili masuala ya msingi ili wananchi wa kawaida wawaelewe.
Kwa tabia yenu ya kudeal na kila Rais anayetok ccm kutoboa kwenu kutakuwa ni vigumu maana kila baada ya miaka kumi ccm wanabalisha Rais na nyie mnabadilika tena hivyo wananchi hawezi kuwaelewa nini hasa mnachopigania, are fighting against ccm or taasis ya urais.
Zingine ni planned mistakes.
Give them what they want, then they will shift their focus to it.
win win 🤔 No.....
🌍
🇹🇿
✌🏼
Kuweka kumbukumbu sawa tu hapa JF, ni kuwa;Mnashindwa vipi kukaa na kujadili masuala ya msingi kama kuboresha huduma afya, elimu na upatikanaji wa umeme?
Mnabakia kila kona kushupalia juu ya takwimu za foreign reseve ambazo zimekosewa bahati mbaya. Kwani hamjui kuwa mil 6000 ni sawa na bil 6.
Tumieni busara kujadili masuala ya msingi ili wananchi wa kawaida wawaelewe.
Umwenyewe mpinzani, ila unavizia vizia, yaani wapinzani ni wengi ukiwafuatilia wanaumbuka vizuri, wenzako ni pole pole, Ngwajiboy, bashiru, yaani wewe tofauti na Nape, Makamba, sabaya, hao ni CCM ila sabaya pia jambazi!Mkuu Idugunde , naunga mkono hoja, upinzani Tanzania ni kama hakuna kitu!
P.Japo kazi ya upinzani ni kupinga, lakini sio kupinga kila kitu. Kwenye maslahi ya taifa, tutangulize utaifa, tuwe wamoja, wakweli na tusipotoshe
Wanabodi, Huu ni muswada wa makala ya gazeti. Nimepata fursa kuendeleza zile makala zangu za "Kwa Maslahi Ya Taifa", ambazo ni makala elimishi katika nyanja za kisiasa, kiuchumi na kijamii kwa lengo la kulisaidia taifa letu lisonge mbele. Makala ya leo inazungumzia kazi ya vyama vya upinzani...www.jamiiforums.com
Hoja zetu wapinzani zimewasilishwa kwenye hotuba kwa taifa aliyotoa Mh.Tundu Lissu mnamo Tarehe 31.12.2021 hususani kwenye maeneo kadhaa aliyozungumzia kama;Mkuu Idugunde , naunga mkono hoja, upinzani Tanzania ni kama hakuna kitu!
P.Japo kazi ya upinzani ni kupinga, lakini sio kupinga kila kitu. Kwenye maslahi ya taifa, tutangulize utaifa, tuwe wamoja, wakweli na tusipotoshe
Wanabodi, Huu ni muswada wa makala ya gazeti. Nimepata fursa kuendeleza zile makala zangu za "Kwa Maslahi Ya Taifa", ambazo ni makala elimishi katika nyanja za kisiasa, kiuchumi na kijamii kwa lengo la kulisaidia taifa letu lisonge mbele. Makala ya leo inazungumzia kazi ya vyama vya upinzani...www.jamiiforums.com
Vyama vya siasa vipo kwa niaba ya wananchi hivyo chama kizuri cha siasa lazima kifuate agenda muhimu za wananchi na sio za wafadhili wao.Hao wananchi wao wamelala wanasubiri tu waone wapinzani wanadeal vipi na rais? Kwahiyo hao wananchi wao ni kama ng'ombe hawana wajualo wanasubiri kuongozwa tu?!
Kwani wenyewe wameshasema walikosea au kiherehere chako tu?Mnashindwa vipi kukaa na kujadili masuala ya msingi kama kuboresha huduma afya, elimu na upatikanaji wa umeme?
Mnabakia kila kona kushupalia juu ya takwimu za foreign reseve ambazo zimekosewa bahati mbaya. Kwani hamjui kuwa mil 6000 ni sawa na bil 6.
Tumieni busara kujadili masuala ya msingi ili wananchi wa kawaida wawaelewe.
Vyama vya siasa vipo kwa niaba ya wananchi hivyo chama kizuri cha siasa lazima kifuate agenda muhimu za wananchi na sio za wafadhili wao.
Wewe kuwa na heshimaMnashindwa vipi kukaa na kujadili masuala ya msingi kama kuboresha huduma afya, elimu na upatikanaji wa umeme?
Mnabakia kila kona kushupalia juu ya takwimu za foreign reseve ambazo zimekosewa bahati mbaya. Kwani hamjui kuwa mil 6000 ni sawa na bil 6.
Tumieni busara kujadili masuala ya msingi ili wananchi wa kawaida wawaelewe.
kweli Tabia nikama Ngozi.Hawana ujanja huo, huo ni uzembe wa wazi baada ya kulemazwa na tabia ya kupika data.
Una haki ya kusema hivyo maana upo CCM . Lakini ungepewa wiki moja ya kuwa kiongozi wa upinzani usingeleta hiyo kufuru kwamba Upinzani hauna kitu. Kuna kiongozi yupo jela kwa kesi ya ugaidi na Kuna kiongozi alinusurika kuuawa yupo nje. Wengine walishauawa hata haijulikani walizikwa wapi Kama akina ben sanane, Kuna makomandoo wanateseka jela kisa tu walitaka kuajiriwa na kiongozi wa CHADEMA. halafu wewe unasema upinzani hauna kitu, tujifunze kunyamaza saa zingine.Mkuu Idugunde , naunga mkono hoja, upinzani Tanzania ni kama hakuna kitu!
P.Japo kazi ya upinzani ni kupinga, lakini sio kupinga kila kitu. Kwenye maslahi ya taifa, tutangulize utaifa, tuwe wamoja, wakweli na tusipotoshe
Wanabodi, Huu ni muswada wa makala ya gazeti. Nimepata fursa kuendeleza zile makala zangu za "Kwa Maslahi Ya Taifa", ambazo ni makala elimishi katika nyanja za kisiasa, kiuchumi na kijamii kwa lengo la kulisaidia taifa letu lisonge mbele. Makala ya leo inazungumzia kazi ya vyama vya upinzani...www.jamiiforums.com
Acha uongo. Hakuna kitu kinaitwa million elfu sita. Unapokosea unaomba radhi sio kujimwambafy.We binafsi umeona kuna tatizo? Hujui kuwa mil 6000 ni bil 6?
Acha kulisha watu upepo utajuaje upinzani makini wakati sio mpinzani. Wewe Ni CCM lakini unasema hakuna upinzani makini, huo umakini unaupimaje ukiwa CCM?. Wewe Ni daktari halafu unasema wafanyabiashara hawapo making Tena kwa ujumla wake. Acha upotoshaji, wewe Baki na CCM ambayo Ni making kiasi Cha kukopa Deni na kutoza tozo kwa wakati mmoja.Mkuu Idugunde , naunga mkono hoja. Kiukweli Tanzania, ni kama hatuna. upinzani kabisa, kwasababu hatuna upinzani makini.
P.Japo kazi ya upinzani ni kupinga, lakini sio kupinga kila kitu. Kwenye maslahi ya taifa, tutangulize utaifa, tuwe wamoja, wakweli na tusipotoshe
Wanabodi, Huu ni muswada wa makala ya gazeti. Nimepata fursa kuendeleza zile makala zangu za "Kwa Maslahi Ya Taifa", ambazo ni makala elimishi katika nyanja za kisiasa, kiuchumi na kijamii kwa lengo la kulisaidia taifa letu lisonge mbele. Makala ya leo inazungumzia kazi ya vyama vya upinzani...www.jamiiforums.com
Naona unamtumia Dr Slaa kuficha agenda yako. Dr Slaa alipoondoka CHADEMA 2015 ndio upinzani ulipata wabunge wengi, halmashauri nyingi na kura nyingi za urais haijawahi kutokea, mpaka Zanzibar matokeo yakafutwa. Na ili ujue Dr Slaa alikuwa mtu mdogo Sana, hata huko kwao Karatu walimsusia wakaichagua CHADEMA kwenye ubunge mwaka 2015.Tanzania ni kama hakun upinzan wa kweli tangu Dr Slaa ahame huko, upinzani siku hiz wanadeal na kandama taasisi ya urais.
Kipindi Dr Magufuli kabla hajawa rais walikuwa wakimsifia sana kuwa ni waziri mchapa kazi na hata alipokuwa akiwasilisha bajeti ya wizar yake walikuwa wakimpigia makofi kila mara, alianza kuwa mbaya kwao pale tu alipoukwaa urais na kuaanza kutatua kero zilizowasumbua rai kwa muda mrefu na kutenda mambo ambayo kwa macho ya kawaida yalionekana hayawezekani kwa wakati huu.
Nchi yetu inamambo mengi ambayo tulitegemea upinzani uyaaddres kwa sasa, lakini wao wanadili na vitu ambavyo sio vipaumbele kwa wananchi kwa sasa. Naamini kama upinzani ukiendelea na tabia hii ya sasa kuna uwezakano wananchi wakatafuta chama mbadala ambacho kitaweza kuichallenge ccm kwa hoja na sio hivi vilivyopo sasa ambavyo leo wanaamini hivi kesho wanaamini vile yaani wanabadilika kutokan na Rais aliyopo madarakani ukiwauliza wanachoamini wao watakuambia katiba mpya ndio kila kitu.
Hi ndio shida. Wananchi wanapotoa maoni kuhusu takwimu kukosewa wanatukanwa na kuitwa wapinzani. Yani ikulu ambayo inatakiwa ifanye due diligence inafanya makosa makubwa hivyo, unategemea taasisi za Chini zifanyeje.Sasa kama foreign reserve ni usd 6253= Us bil 6.253. Bahati mbaya ikakosewa kutamkwa wewe unaona ishu kubwa ya kujadili utakuwa na akili?