Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Mnashindwa vipi kukaa na kujadili masuala ya msingi kama kuboresha huduma afya, elimu na upatikanaji wa umeme?
Mnabakia kila kona kushupalia juu ya takwimu za foreign reseve ambazo zimekosewa bahati mbaya. Kwani hamjui kuwa mil 6000 ni sawa na bil 6.
Tumieni busara kujadili masuala ya msingi ili wananchi wa kawaida wawaelewe.
Hao wananchi wa kawaida wao hawawezi kujadili wanasubiri wapinzani tu wawasaidie kujadili ili wawaelewe? Kwahiyo hao wapinzani sio wananchi wa kawaida, ndio maana kuna kikundi cha wananchi wa kawaida, kimelala mahali kinasubiri hao wapinzani wawaeleweshe?