Upinzani Umekufa? Upinzani Umebaki mtandaoni, hali halisi ni ipi?

Upinzani Umekufa? Upinzani Umebaki mtandaoni, hali halisi ni ipi?

Subiri Oktoba
Sasa Oktoba asubiri nini?! yani mnapigwa sasa hivi halafu unamwambia mshindani wako asubiri siku nyingine ili iweje?!

Ok, mtasaidiwa na tume na polisi wenu, safari hii hamtaamini kitakachotokea nyie chezeni na haki za watu tu.
 
Back
Top Bottom