johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kitendo cha Wabunge wa CHADEMA kuapishwa Dodoma chini ya kiongozi mkongwe na mwenyekiti wa Bawacha ni kujitenga na falsafa za Tundu Lisu za kususa na "kugomea"
Kitendo cha ACT Wazalendo kujiunga na SUK huko Zanzibar ni ishara tosha ya kumtenga Tundu Lissu na wakili wake Amsterdam huko ICC.
Kiufupi, Tundu Lissu ameachwa mpweke na rafiki zake.
Maendeleo hayana vyama!
Kitendo cha ACT Wazalendo kujiunga na SUK huko Zanzibar ni ishara tosha ya kumtenga Tundu Lissu na wakili wake Amsterdam huko ICC.
Kiufupi, Tundu Lissu ameachwa mpweke na rafiki zake.
Maendeleo hayana vyama!