Samweli Mathayo
JF-Expert Member
- Aug 1, 2017
- 1,577
- 1,702
Tanzanian ni nchi inayoongozwa kwa taratibu za kulingana na katiba tuliyonayo,
Kuna watu wanafika hatua wanasema kwamba iko demokrasia ya juu sana nchini Kenya kuliko Tanzania,
1.Kupiga risasi wapinzani na kuwaua ndo demokrasia ya Kenya?
2.Kupiga mtoto wa miaka mitatu risasi kwa masuala ya kisiasa ndo demokrasia?
3. Kuua mwakilishi wa IEBC ndo demokrasia?
4. Kubaguana kikabila ndo demokrasia?
BABA WA DEMOKRASIA AFRIKA NI TANZANIA hakuna nchi nyingine zaidi ya Tanzania,
Upinzani wa Tanzania una mawenge
Kuna watu wanafika hatua wanasema kwamba iko demokrasia ya juu sana nchini Kenya kuliko Tanzania,
1.Kupiga risasi wapinzani na kuwaua ndo demokrasia ya Kenya?
2.Kupiga mtoto wa miaka mitatu risasi kwa masuala ya kisiasa ndo demokrasia?
3. Kuua mwakilishi wa IEBC ndo demokrasia?
4. Kubaguana kikabila ndo demokrasia?
BABA WA DEMOKRASIA AFRIKA NI TANZANIA hakuna nchi nyingine zaidi ya Tanzania,
Upinzani wa Tanzania una mawenge