The-unknown
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 1,228
- 1,447
Nimesoma Comment yako lakini sioni sehemu ambayo umejibu nilichokiandika nahisi wewe ndio umekuja kujibu kwa mwehumko.Una upunguani kiasi kikubwa ,na mapenzi ya wazi kwa ccm,
Hotuba nzima alimzungumzia huyo mzee? Mpaka ukaona la kubeba ni hilo tu
Mambo ya msingi gani unayozungumzia wewe hayajawahi kusemwa na upinzani,sema hoja moja ambayo unahisi haijawahi semwa na upinzani nikuumbue saii,acha mapezi na mihemko,
ccm ilishashindwa
Wasira hana adabu hastahili kuheshimiwa. Tafuta iko humuToa mfano wapi alipo mshambulia Heche.
CHADEMA imepoteza muelekeo Mama Samia mitano tena.Viongozi wa Sasa wa CHADEMA hawana maarifa ya uongozi hekima ndiyo wamekosa kabisaAmetaka mdaharo na mnaemuamini kuwa anajua kila kitu mbona hawampi majibu? Sema Mzee kawakalia kooni.
Hiyo ndio ilikuwa agenda ya kuwahubiria Wananchi?Ni hilo tu ndo umeliskia ww kwny hotuba zote za heche au siyo? Haya twambie wasira huko anakozurula anazungumza hoja gani za maana mi namskia akimtaja lissu na chadema tu
Alafu ndio wanataka kuongoza Dola kwa kuwahubiria Wananchi Viongozi waliolala.CHADEMA imepoteza muelekeo Mama Samia mitano tena.Viongozi wa Sasa wa CHADEMA hawana maarifa ya uongozi hekima ndiyo wamekosa kabisa
Nimekwambia toa mifano sio kutoa hisia zako tu.Wasira hana adabu hastahili kuheshimiwa. Tafuta iko humu
Kama hujamsikia akisema maneno hayo hiyo ni shauri yako. Itoshe tu kusema Wasira hana adabuNimekwambia toa mifano sio kutoa hisia zako tu.
Je la kujadili umri wake ni la maana?
Katika hotuba ya leo, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche, alizungumza kwa nguvu kuhusu hali ya umaskini na haki ya wananchi kuamua hatma yao. Alikazia kwamba, kama miongoni mwa masikini, wananchi wana uwezo wa kubadilisha maisha yao, na kuikosoa serikali kwa kudumu katika hali ya umasikini licha ya rasilimali nyingi zinazopatikana nchini. Pia, alitoa kauli kuhusu umri wa kiongozi nguli, Stephane Wasira, akieleza kwamba ni haki yake kupumzika kwa kuwa umri wake umefika.
Katika kauli za viongozi wa CHADEMA, kuna uwepo wa mtindo wa kuzungumza bila kutafakari kina juu ya masuala ya msingi. Badala ya kutoa suluhisho, mara nyingi wanatoa kauli za kukatisha tamaa na zinazochochea migawanyiko. Wanaonekana kujikita zaidi katika kutafuta madaraka na kuunda vita za kisiasa badala ya kujenga mabadiliko halisi kwa jamii. Hii inadhihirisha ukosefu wa mikakati ya kimaendeleo, na badala yake, wanaweka mbele siasa za kisasi.
Katika hali ya kawaida, vyama vya upinzani vinapaswa kuwa na ajenda ya kitaifa, ikiwemo mipango ya maendeleo ya uchumi, afya, elimu, na ajira. Badala yake, CHADEMA inajikita zaidi katika kupinga CCM.
Kauli ya John Heche ni mfano wa upungufu mkubwa wa kifikra na mtindo wa siasa za kupinga kwa lengo la kujiinua bila kutoa suluhisho la maana. Mzee Wasira, licha ya umri wake, ameendelea kuwa na mchango mkubwa kwa taifa hili. CCM inaendelea kutekeleza miradi ya maendeleo ambayo inawawezesha wananchi kupata huduma bora. Hivyo, vyama vya upinzani kama CHADEMA vinaposhindwa kuonyesha ajenda yenye mwelekeo wa maendeleo, wanajikuta wakikosa umaarufu na uwezo wa kuwa na kiongozi wa taifa hili.
View attachment 3234708
Sema huwa ufuatilii tu, juzi alisema ukinywa piritoni za mafua lazima usinzie...sidhani kama Mzee Wassira ameongea jambo lolote la maana mpaka sasa hivi.
Hiyo ni kwa mujibu wa hisia zakoKama hujamsikia akisema maneno hayo hiyo ni shauri yako. Itoshe tu kusema Wasira hana adabu
Zee lenu hilo halina adabuHiyo ni kwa mujibu wa hisia zako
Kwahiyo kipindi chote anapokuwa kwenye mikutano huwa amekunywa piliton?Sema huwa ufuatilii tu, juzi alisema ukinywa piritoni za mafua lazima usinzie.
Na anawapwlekea moto kweli kweliKatika hotuba ya leo, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche, alizungumza kwa nguvu kuhusu hali ya umaskini na haki ya wananchi kuamua hatma yao. Alikazia kwamba, kama miongoni mwa masikini, wananchi wana uwezo wa kubadilisha maisha yao, na kuikosoa serikali kwa kudumu katika hali ya umasikini licha ya rasilimali nyingi zinazopatikana nchini. Pia, alitoa kauli kuhusu umri wa kiongozi nguli, Stephane Wasira, akieleza kwamba ni haki yake kupumzika kwa kuwa umri wake umefika.
Katika kauli za viongozi wa CHADEMA, kuna uwepo wa mtindo wa kuzungumza bila kutafakari kina juu ya masuala ya msingi. Badala ya kutoa suluhisho, mara nyingi wanatoa kauli za kukatisha tamaa na zinazochochea migawanyiko. Wanaonekana kujikita zaidi katika kutafuta madaraka na kuunda vita za kisiasa badala ya kujenga mabadiliko halisi kwa jamii. Hii inadhihirisha ukosefu wa mikakati ya kimaendeleo, na badala yake, wanaweka mbele siasa za kisasi.
Katika hali ya kawaida, vyama vya upinzani vinapaswa kuwa na ajenda ya kitaifa, ikiwemo mipango ya maendeleo ya uchumi, afya, elimu, na ajira. Badala yake, CHADEMA inajikita zaidi katika kupinga CCM.
Kauli ya John Heche ni mfano wa upungufu mkubwa wa kifikra na mtindo wa siasa za kupinga kwa lengo la kujiinua bila kutoa suluhisho la maana. Mzee Wasira, licha ya umri wake, ameendelea kuwa na mchango mkubwa kwa taifa hili. CCM inaendelea kutekeleza miradi ya maendeleo ambayo inawawezesha wananchi kupata huduma bora. Hivyo, vyama vya upinzani kama CHADEMA vinaposhindwa kuonyesha ajenda yenye mwelekeo wa maendeleo, wanajikuta wakikosa umaarufu na uwezo wa kuwa na kiongozi wa taifa hili.
View attachment 3234708