Mmanu
JF-Expert Member
- Feb 11, 2015
- 1,775
- 1,011
Unamaanish
Vyama vya upinzani ni lazima waoneshe suluhu ya tatizo kwamba endapo wananchi watawaamini basi wao watafanya hivi na hivi ili kuondoa hilo tatizo ila ukisema wabaki kuibua matatizo bila kuelezea suluhu za matatizo hakuna utofauti na hadithi za kale
a kazi kubwa ya vyama vya upinzani ni kutengeneza vitendawili vichwani kwa wananchi?...hapanaHata kama utabisha, wee ni mjinga na Hauna akili kichwan mwako.
Yaan Upinzani, watoe suluhisho ili CCM iyafanyie kazi ,waonekane ndio wemetenda?.
Unaonekana safari yako ya Elimu ,ulikua unaibia mitihan Kwa sana.
Vyama vya upinzani ni lazima waoneshe suluhu ya tatizo kwamba endapo wananchi watawaamini basi wao watafanya hivi na hivi ili kuondoa hilo tatizo ila ukisema wabaki kuibua matatizo bila kuelezea suluhu za matatizo hakuna utofauti na hadithi za kale