Giovanna Upunda
Member
- Aug 11, 2024
- 54
- 24
- Thread starter
- #41
Nahisi huna cha kujibu kwenye hilo ndio maana umekazana na Zee hana adabu posipo kuangalia wa upande wa pili wao wapoje.Zee lenu hilo halina adabu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nahisi huna cha kujibu kwenye hilo ndio maana umekazana na Zee hana adabu posipo kuangalia wa upande wa pili wao wapoje.Zee lenu hilo halina adabu
Wanapelekewa moto mpaka kwenye majukwaa yao wanamtaja sana yeye.Na anawapwlekea moto kweli kweli
Katika hotuba ya leo, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche, alizungumza kwa nguvu kuhusu hali ya umaskini na haki ya wananchi kuamua hatma yao. Alikazia kwamba, kama miongoni mwa masikini, wananchi wana uwezo wa kubadilisha maisha yao, na kuikosoa serikali kwa kudumu katika hali ya umasikini licha ya rasilimali nyingi zinazopatikana nchini. Pia, alitoa kauli kuhusu umri wa kiongozi nguli, Stephane Wasira, akieleza kwamba ni haki yake kupumzika kwa kuwa umri wake umefika.
Katika kauli za viongozi wa CHADEMA, kuna uwepo wa mtindo wa kuzungumza bila kutafakari kina juu ya masuala ya msingi. Badala ya kutoa suluhisho, mara nyingi wanatoa kauli za kukatisha tamaa na zinazochochea migawanyiko. Wanaonekana kujikita zaidi katika kutafuta madaraka na kuunda vita za kisiasa badala ya kujenga mabadiliko halisi kwa jamii. Hii inadhihirisha ukosefu wa mikakati ya kimaendeleo, na badala yake, wanaweka mbele siasa za kisasi.
Katika hali ya kawaida, vyama vya upinzani vinapaswa kuwa na ajenda ya kitaifa, ikiwemo mipango ya maendeleo ya uchumi, afya, elimu, na ajira. Badala yake, CHADEMA inajikita zaidi katika kupinga CCM.
Kauli ya John Heche ni mfano wa upungufu mkubwa wa kifikra na mtindo wa siasa za kupinga kwa lengo la kujiinua bila kutoa suluhisho la maana. Mzee Wasira, licha ya umri wake, ameendelea kuwa na mchango mkubwa kwa taifa hili. CCM inaendelea kutekeleza miradi ya maendeleo ambayo inawawezesha wananchi kupata huduma bora. Hivyo, vyama vya upinzani kama CHADEMA vinaposhindwa kuonyesha ajenda yenye mwelekeo wa maendeleo, wanajikuta wakikosa umaarufu na uwezo wa kuwa na kiongozi wa taifa hili.
View attachment 3234708Kwani yeye anahoja gani zaidi ya uzee wake?
Mzee akili yake bado ina cherge ndio maana anawabomoa kweli upande wa pili mpaka wanakimbilia kwenye majukwaa kudili na kusinzia kwake.Wasira ni Mzee kweli na akili yake imechoka kupita kiasi akapumzike na astaafishwe Kwa lazima
Yeye ndiye alianza kutoa maneno ya shombo, alimkejeli Lissu kwa ulemavu aliosababishiwa na CCM na pia alimuita Heche chawa wa Lissu sasa ni haki naye ajibiwe kwa lugha kali kwani hataki kujiheshimu.Nahisi huna cha kujibu kwenye hilo ndio maana umekazana na Zee hana adabu posipo kuangalia wa upande wa pili wao wapoje.
Tuliani dawa iwaingie.We unaona ni hoja dhaifu. Mzee kateuliwa tu kwanza picha inaanze jina limetokea maziwani huko (yaani nyonyoni). Hakuwa na hili wala lile akajikuta ni makamu. Ghafla kaanza na 4R za mama. Ghafla tena 4R kazitupa kaanze vijembe, hadi kuhusisha cdm na ushoga, mara honeymoon. Hajui majukumu yake. Akimaliza kuchamba analala. Huyu kauli zake zina sumu kubwa, japo sishauri ajibiwr na chama ngazi za juu. Anaoaswa kujibiwa na kina Bavicha, wam Gen Z kidogo tu
Kwani uongo Lissu sio mlemavu?Yeye ndiye alianza kutoa maneno ya shombo, alimkejeli Lissu kwa ulemavu aliosababishiwa na CCM na pia alimuita Heche chawa wa Lissu sasa ni haki naye ajibiwe kwa lugha kali kwani hataki kujiheshimu.
Mmesahau mlivyomshupalia marehemu Lowasa kipindi kile kuhusu afya yake, hamkujua haya? Pimbi ninyi acheni na yeye wambagaze kwa uzee wakeUpinzani wanachotakiwa kufanya ni kujadili mambo ya msingi kwa Taifa na sio kujadili umri wa mtu.
Mzee anawanyoosha mpaka mseme pooMmesahau mlivyomshupalia marehemu Lowasa kipindi kile kuhusu afya yake, hamkujua haya? Pimbi ninyi acheni na yeye wambagaze kwa uzee wake
Sasa ndiyo amkejeli? Halafu akijibiwa sawa na upumbavu wake mnatoa povu. Hilo zee ni likorofi halistahili heshima yoyoteKwani uongo Lissu sio mlemavu?
Usichokijua kwa Mzee Wasira hana ukorofi na ukitaka kujua hilo kasikilize interviw alioifanya leo na Clouds Fm ndio utajua hilo na leo kawabomoa tena.Sasa ndiyo amkejeli? Halafu akijibiwa sawa na upumbavu wake mnatoa povu. Hilo zee ni likorofi halistahili heshima yoyote
Ilikuwa ni vyema kuzunumzia umaskini bila kumtaja Wasira lakini kumtaja kwenye majukwaa ni dhahiri inaonekana mmekosa hoja hivyo mjipange vizuri mnapokuwa majukwaani.Kuzungumzia umaskini ni hoja inayotakiwa wajibiwe kwa upana zaidi na sio kelele
Inaonekana pia umechukua heading ya mitandaoni, maana Heche alitumia sekunde 50 tu kumsema Wassira ila mkutano ulikuwa wa masaa. Wewe na ujinga wako mengine yoote hukuyaonaJe la kujadili umri wake ni la maana?
Mkuu huyo Mzee hoja zake ni zile za miaka nenda Rudi, anachofanya ni kutetea tu mamlakaMzee akili yake bado ina cherge ndio maana anawabomoa kweli upande wa pili mpaka wanakimbilia kwenye majukwaa kudili na kusinzia kwake.
Kama kweli wewe unaona Wasira ana mchango mkubwa kwa taifa hili kwa sasa Basi lazima umeze dawa zako usikatishe. Hata kama heche kasema kitu ambachi wewe hakikukupendeza huwe kusema wasira ni mbadala kwa wapinzani.Katika hotuba ya leo, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche, alizungumza kwa nguvu kuhusu hali ya umaskini na haki ya wananchi kuamua hatma yao. Alikazia kwamba, kama miongoni mwa masikini, wananchi wana uwezo wa kubadilisha maisha yao, na kuikosoa serikali kwa kudumu katika hali ya umasikini licha ya rasilimali nyingi zinazopatikana nchini. Pia, alitoa kauli kuhusu umri wa kiongozi nguli, Stephane Wasira, akieleza kwamba ni haki yake kupumzika kwa kuwa umri wake umefika.
Katika kauli za viongozi wa CHADEMA, kuna uwepo wa mtindo wa kuzungumza bila kutafakari kina juu ya masuala ya msingi. Badala ya kutoa suluhisho, mara nyingi wanatoa kauli za kukatisha tamaa na zinazochochea migawanyiko. Wanaonekana kujikita zaidi katika kutafuta madaraka na kuunda vita za kisiasa badala ya kujenga mabadiliko halisi kwa jamii. Hii inadhihirisha ukosefu wa mikakati ya kimaendeleo, na badala yake, wanaweka mbele siasa za kisasi.
Katika hali ya kawaida, vyama vya upinzani vinapaswa kuwa na ajenda ya kitaifa, ikiwemo mipango ya maendeleo ya uchumi, afya, elimu, na ajira. Badala yake, CHADEMA inajikita zaidi katika kupinga CCM.
Kauli ya John Heche ni mfano wa upungufu mkubwa wa kifikra na mtindo wa siasa za kupinga kwa lengo la kujiinua bila kutoa suluhisho la maana. Mzee Wasira, licha ya umri wake, ameendelea kuwa na mchango mkubwa kwa taifa hili. CCM inaendelea kutekeleza miradi ya maendeleo ambayo inawawezesha wananchi kupata huduma bora. Hivyo, vyama vya upinzani kama CHADEMA vinaposhindwa kuonyesha ajenda yenye mwelekeo wa maendeleo, wanajikuta wakikosa umaarufu na uwezo wa kuwa na kiongozi wa taifa hili.
View attachment 3234708
Hii nchi ina wagonjwa wa akili wengi sanaMkuu huyo Mzee hoja zake ni zile za miaka nenda Rudi, anachofanya ni kutetea tu mamlaka
Hapo naona hujaelewa nilichoandikaIlikuwa ni vyema kuzunumzia umaskini bila kumtaja Wasira lakini kumtaja kwenye majukwaa ni dhahiri inaonekana mmekosa hoja hivyo mjipange vizuri mnapokuwa majukwaani.
Tumekusikia WASIRA!Katika hotuba ya leo, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche, alizungumza kwa nguvu kuhusu hali ya umaskini na haki ya wananchi kuamua hatma yao. Alikazia kwamba, kama miongoni mwa masikini, wananchi wana uwezo wa kubadilisha maisha yao, na kuikosoa serikali kwa kudumu katika hali ya umasikini licha ya rasilimali nyingi zinazopatikana nchini. Pia, alitoa kauli kuhusu umri wa kiongozi nguli, Stephane Wasira, akieleza kwamba ni haki yake kupumzika kwa kuwa umri wake umefika.
Katika kauli za viongozi wa CHADEMA, kuna uwepo wa mtindo wa kuzungumza bila kutafakari kina juu ya masuala ya msingi. Badala ya kutoa suluhisho, mara nyingi wanatoa kauli za kukatisha tamaa na zinazochochea migawanyiko. Wanaonekana kujikita zaidi katika kutafuta madaraka na kuunda vita za kisiasa badala ya kujenga mabadiliko halisi kwa jamii. Hii inadhihirisha ukosefu wa mikakati ya kimaendeleo, na badala yake, wanaweka mbele siasa za kisasi.
Katika hali ya kawaida, vyama vya upinzani vinapaswa kuwa na ajenda ya kitaifa, ikiwemo mipango ya maendeleo ya uchumi, afya, elimu, na ajira. Badala yake, CHADEMA inajikita zaidi katika kupinga CCM.
Kauli ya John Heche ni mfano wa upungufu mkubwa wa kifikra na mtindo wa siasa za kupinga kwa lengo la kujiinua bila kutoa suluhisho la maana. Mzee Wasira, licha ya umri wake, ameendelea kuwa na mchango mkubwa kwa taifa hili. CCM inaendelea kutekeleza miradi ya maendeleo ambayo inawawezesha wananchi kupata huduma bora. Hivyo, vyama vya upinzani kama CHADEMA vinaposhindwa kuonyesha ajenda yenye mwelekeo wa maendeleo, wanajikuta wakikosa umaarufu na uwezo wa kuwa na kiongozi wa taifa hili.
View attachment 3234708
Ikiwa Makamu wa Rais katika umri wa miaka 68 anatumia busara na hekima na kuona mantiki kubwa kupisha vijana watumike katika nafasi za juu zaq uongozi, inakuwaje mzee wa miaka 80 haioni mantiki hoyo.Katika hotuba ya leo, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche, alizungumza kwa nguvu kuhusu hali ya umaskini na haki ya wananchi kuamua hatma yao. Alikazia kwamba, kama miongoni mwa masikini, wananchi wana uwezo wa kubadilisha maisha yao, na kuikosoa serikali kwa kudumu katika hali ya umasikini licha ya rasilimali nyingi zinazopatikana nchini. Pia, alitoa kauli kuhusu umri wa kiongozi nguli, Stephane Wasira, akieleza kwamba ni haki yake kupumzika kwa kuwa umri wake umefika.
Katika kauli za viongozi wa CHADEMA, kuna uwepo wa mtindo wa kuzungumza bila kutafakari kina juu ya masuala ya msingi. Badala ya kutoa suluhisho, mara nyingi wanatoa kauli za kukatisha tamaa na zinazochochea migawanyiko. Wanaonekana kujikita zaidi katika kutafuta madaraka na kuunda vita za kisiasa badala ya kujenga mabadiliko halisi kwa jamii. Hii inadhihirisha ukosefu wa mikakati ya kimaendeleo, na badala yake, wanaweka mbele siasa za kisasi.
Katika hali ya kawaida, vyama vya upinzani vinapaswa kuwa na ajenda ya kitaifa, ikiwemo mipango ya maendeleo ya uchumi, afya, elimu, na ajira. Badala yake, CHADEMA inajikita zaidi katika kupinga CCM.
Kauli ya John Heche ni mfano wa upungufu mkubwa wa kifikra na mtindo wa siasa za kupinga kwa lengo la kujiinua bila kutoa suluhisho la maana. Mzee Wasira, licha ya umri wake, ameendelea kuwa na mchango mkubwa kwa taifa hili. CCM inaendelea kutekeleza miradi ya maendeleo ambayo inawawezesha wananchi kupata huduma bora. Hivyo, vyama vya upinzani kama CHADEMA vinaposhindwa kuonyesha ajenda yenye mwelekeo wa maendeleo, wanajikuta wakikosa umaarufu na uwezo wa kuwa na kiongozi wa taifa hili.
View attachment 3234708