Upinzani wakosa hoja za msingi za kujadili, waibuka na umri wa mzee Wasira

Upinzani wakosa hoja za msingi za kujadili, waibuka na umri wa mzee Wasira

Katika hotuba ya leo, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche, alizungumza kwa nguvu kuhusu hali ya umaskini na haki ya wananchi kuamua hatma yao. Alikazia kwamba, kama miongoni mwa masikini, wananchi wana uwezo wa kubadilisha maisha yao, na kuikosoa serikali kwa kudumu katika hali ya umasikini licha ya rasilimali nyingi zinazopatikana nchini. Pia, alitoa kauli kuhusu umri wa kiongozi nguli, Stephane Wasira, akieleza kwamba ni haki yake kupumzika kwa kuwa umri wake umefika.

Katika kauli za viongozi wa CHADEMA, kuna uwepo wa mtindo wa kuzungumza bila kutafakari kina juu ya masuala ya msingi. Badala ya kutoa suluhisho, mara nyingi wanatoa kauli za kukatisha tamaa na zinazochochea migawanyiko. Wanaonekana kujikita zaidi katika kutafuta madaraka na kuunda vita za kisiasa badala ya kujenga mabadiliko halisi kwa jamii. Hii inadhihirisha ukosefu wa mikakati ya kimaendeleo, na badala yake, wanaweka mbele siasa za kisasi.

Katika hali ya kawaida, vyama vya upinzani vinapaswa kuwa na ajenda ya kitaifa, ikiwemo mipango ya maendeleo ya uchumi, afya, elimu, na ajira. Badala yake, CHADEMA inajikita zaidi katika kupinga CCM.

Kauli ya John Heche ni mfano wa upungufu mkubwa wa kifikra na mtindo wa siasa za kupinga kwa lengo la kujiinua bila kutoa suluhisho la maana. Mzee Wasira, licha ya umri wake, ameendelea kuwa na mchango mkubwa kwa taifa hili. CCM inaendelea kutekeleza miradi ya maendeleo ambayo inawawezesha wananchi kupata huduma bora. Hivyo, vyama vya upinzani kama CHADEMA vinaposhindwa kuonyesha ajenda yenye mwelekeo wa maendeleo, wanajikuta wakikosa umaarufu na uwezo wa kuwa na kiongozi wa taifa hili.

View attachment 3234708Kwani yeye anahoja gani zaidi ya uzee wake?
 
Nahisi huna cha kujibu kwenye hilo ndio maana umekazana na Zee hana adabu posipo kuangalia wa upande wa pili wao wapoje.
Yeye ndiye alianza kutoa maneno ya shombo, alimkejeli Lissu kwa ulemavu aliosababishiwa na CCM na pia alimuita Heche chawa wa Lissu sasa ni haki naye ajibiwe kwa lugha kali kwani hataki kujiheshimu.
 
We unaona ni hoja dhaifu. Mzee kateuliwa tu kwanza picha inaanze jina limetokea maziwani huko (yaani nyonyoni). Hakuwa na hili wala lile akajikuta ni makamu. Ghafla kaanza na 4R za mama. Ghafla tena 4R kazitupa kaanze vijembe, hadi kuhusisha cdm na ushoga, mara honeymoon. Hajui majukumu yake. Akimaliza kuchamba analala. Huyu kauli zake zina sumu kubwa, japo sishauri ajibiwr na chama ngazi za juu. Anaoaswa kujibiwa na kina Bavicha, wam Gen Z kidogo tu
Tuliani dawa iwaingie.
 
Yeye ndiye alianza kutoa maneno ya shombo, alimkejeli Lissu kwa ulemavu aliosababishiwa na CCM na pia alimuita Heche chawa wa Lissu sasa ni haki naye ajibiwe kwa lugha kali kwani hataki kujiheshimu.
Kwani uongo Lissu sio mlemavu?
 
Upinzani wanachotakiwa kufanya ni kujadili mambo ya msingi kwa Taifa na sio kujadili umri wa mtu.
Mmesahau mlivyomshupalia marehemu Lowasa kipindi kile kuhusu afya yake, hamkujua haya? Pimbi ninyi acheni na yeye wambagaze kwa uzee wake
 
Sasa ndiyo amkejeli? Halafu akijibiwa sawa na upumbavu wake mnatoa povu. Hilo zee ni likorofi halistahili heshima yoyote
Usichokijua kwa Mzee Wasira hana ukorofi na ukitaka kujua hilo kasikilize interviw alioifanya leo na Clouds Fm ndio utajua hilo na leo kawabomoa tena.
 
Katika hotuba ya leo, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche, alizungumza kwa nguvu kuhusu hali ya umaskini na haki ya wananchi kuamua hatma yao. Alikazia kwamba, kama miongoni mwa masikini, wananchi wana uwezo wa kubadilisha maisha yao, na kuikosoa serikali kwa kudumu katika hali ya umasikini licha ya rasilimali nyingi zinazopatikana nchini. Pia, alitoa kauli kuhusu umri wa kiongozi nguli, Stephane Wasira, akieleza kwamba ni haki yake kupumzika kwa kuwa umri wake umefika.

Katika kauli za viongozi wa CHADEMA, kuna uwepo wa mtindo wa kuzungumza bila kutafakari kina juu ya masuala ya msingi. Badala ya kutoa suluhisho, mara nyingi wanatoa kauli za kukatisha tamaa na zinazochochea migawanyiko. Wanaonekana kujikita zaidi katika kutafuta madaraka na kuunda vita za kisiasa badala ya kujenga mabadiliko halisi kwa jamii. Hii inadhihirisha ukosefu wa mikakati ya kimaendeleo, na badala yake, wanaweka mbele siasa za kisasi.

Katika hali ya kawaida, vyama vya upinzani vinapaswa kuwa na ajenda ya kitaifa, ikiwemo mipango ya maendeleo ya uchumi, afya, elimu, na ajira. Badala yake, CHADEMA inajikita zaidi katika kupinga CCM.

Kauli ya John Heche ni mfano wa upungufu mkubwa wa kifikra na mtindo wa siasa za kupinga kwa lengo la kujiinua bila kutoa suluhisho la maana. Mzee Wasira, licha ya umri wake, ameendelea kuwa na mchango mkubwa kwa taifa hili. CCM inaendelea kutekeleza miradi ya maendeleo ambayo inawawezesha wananchi kupata huduma bora. Hivyo, vyama vya upinzani kama CHADEMA vinaposhindwa kuonyesha ajenda yenye mwelekeo wa maendeleo, wanajikuta wakikosa umaarufu na uwezo wa kuwa na kiongozi wa taifa hili.

View attachment 3234708
Kama kweli wewe unaona Wasira ana mchango mkubwa kwa taifa hili kwa sasa Basi lazima umeze dawa zako usikatishe. Hata kama heche kasema kitu ambachi wewe hakikukupendeza huwe kusema wasira ni mbadala kwa wapinzani.
 
Ilikuwa ni vyema kuzunumzia umaskini bila kumtaja Wasira lakini kumtaja kwenye majukwaa ni dhahiri inaonekana mmekosa hoja hivyo mjipange vizuri mnapokuwa majukwaani.
Hapo naona hujaelewa nilichoandika
Nimesisitiza kuongelea umasikini zaidi na sio vingine
Mimi sijawahi kupiga kura huko ila nafuatilia tu
Africa siasa za hovyo kabisa
Mara mtu ajizungumzie yeye na matatizo yake, mara atukane mtu, na hata kutoana roho kwa ajili ya matumbo
 
Katika hotuba ya leo, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche, alizungumza kwa nguvu kuhusu hali ya umaskini na haki ya wananchi kuamua hatma yao. Alikazia kwamba, kama miongoni mwa masikini, wananchi wana uwezo wa kubadilisha maisha yao, na kuikosoa serikali kwa kudumu katika hali ya umasikini licha ya rasilimali nyingi zinazopatikana nchini. Pia, alitoa kauli kuhusu umri wa kiongozi nguli, Stephane Wasira, akieleza kwamba ni haki yake kupumzika kwa kuwa umri wake umefika.

Katika kauli za viongozi wa CHADEMA, kuna uwepo wa mtindo wa kuzungumza bila kutafakari kina juu ya masuala ya msingi. Badala ya kutoa suluhisho, mara nyingi wanatoa kauli za kukatisha tamaa na zinazochochea migawanyiko. Wanaonekana kujikita zaidi katika kutafuta madaraka na kuunda vita za kisiasa badala ya kujenga mabadiliko halisi kwa jamii. Hii inadhihirisha ukosefu wa mikakati ya kimaendeleo, na badala yake, wanaweka mbele siasa za kisasi.

Katika hali ya kawaida, vyama vya upinzani vinapaswa kuwa na ajenda ya kitaifa, ikiwemo mipango ya maendeleo ya uchumi, afya, elimu, na ajira. Badala yake, CHADEMA inajikita zaidi katika kupinga CCM.

Kauli ya John Heche ni mfano wa upungufu mkubwa wa kifikra na mtindo wa siasa za kupinga kwa lengo la kujiinua bila kutoa suluhisho la maana. Mzee Wasira, licha ya umri wake, ameendelea kuwa na mchango mkubwa kwa taifa hili. CCM inaendelea kutekeleza miradi ya maendeleo ambayo inawawezesha wananchi kupata huduma bora. Hivyo, vyama vya upinzani kama CHADEMA vinaposhindwa kuonyesha ajenda yenye mwelekeo wa maendeleo, wanajikuta wakikosa umaarufu na uwezo wa kuwa na kiongozi wa taifa hili.

View attachment 3234708
Tumekusikia WASIRA!
 
Katika hotuba ya leo, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche, alizungumza kwa nguvu kuhusu hali ya umaskini na haki ya wananchi kuamua hatma yao. Alikazia kwamba, kama miongoni mwa masikini, wananchi wana uwezo wa kubadilisha maisha yao, na kuikosoa serikali kwa kudumu katika hali ya umasikini licha ya rasilimali nyingi zinazopatikana nchini. Pia, alitoa kauli kuhusu umri wa kiongozi nguli, Stephane Wasira, akieleza kwamba ni haki yake kupumzika kwa kuwa umri wake umefika.

Katika kauli za viongozi wa CHADEMA, kuna uwepo wa mtindo wa kuzungumza bila kutafakari kina juu ya masuala ya msingi. Badala ya kutoa suluhisho, mara nyingi wanatoa kauli za kukatisha tamaa na zinazochochea migawanyiko. Wanaonekana kujikita zaidi katika kutafuta madaraka na kuunda vita za kisiasa badala ya kujenga mabadiliko halisi kwa jamii. Hii inadhihirisha ukosefu wa mikakati ya kimaendeleo, na badala yake, wanaweka mbele siasa za kisasi.

Katika hali ya kawaida, vyama vya upinzani vinapaswa kuwa na ajenda ya kitaifa, ikiwemo mipango ya maendeleo ya uchumi, afya, elimu, na ajira. Badala yake, CHADEMA inajikita zaidi katika kupinga CCM.

Kauli ya John Heche ni mfano wa upungufu mkubwa wa kifikra na mtindo wa siasa za kupinga kwa lengo la kujiinua bila kutoa suluhisho la maana. Mzee Wasira, licha ya umri wake, ameendelea kuwa na mchango mkubwa kwa taifa hili. CCM inaendelea kutekeleza miradi ya maendeleo ambayo inawawezesha wananchi kupata huduma bora. Hivyo, vyama vya upinzani kama CHADEMA vinaposhindwa kuonyesha ajenda yenye mwelekeo wa maendeleo, wanajikuta wakikosa umaarufu na uwezo wa kuwa na kiongozi wa taifa hili.

View attachment 3234708
Ikiwa Makamu wa Rais katika umri wa miaka 68 anatumia busara na hekima na kuona mantiki kubwa kupisha vijana watumike katika nafasi za juu zaq uongozi, inakuwaje mzee wa miaka 80 haioni mantiki hoyo.

Umri wa uzee zaidi ya miaka 70 huku ukiwakatika utumishi wa umma ni aibu. Kutumika kwa wazee wa umri wa miaka 70 katika nyanja za kiimani na kidini huwa ni jambo sahihi, kwa kuwa umri huu huwafanya kuwa "conservative" na misingi ya kiimani, hivyo huwa ni nguvu thabiti katika kuilinda, kuidumisha, na kuiimarisha.

Mzee hawezi kuhimili mikikimiiki ya kusafiri mara kwa mara na kwa umbali mrefu, mzee hawezi kubadirika kwa haraka kutokana na matakwa ya wakati, hupoteza kumbukumbu hata kwa mambo muhimu yenye kuhitaji "rational decision", hukumbwa mara kwa mara magonjwa nyemelezi kurokana "senility"

Chunguza kwa makini watu wote waliowahi kushikilia nafasi hito aliyonayo, linganisha na matendo na kauli zake, hakika utaona bayana kuwa amepwelea sana. Akili na mwili wake vimechoka sana.

Shauri zake, mficha maradhi, kifo kitamuumbua.
 
Back
Top Bottom