Upinzani watangaza mapambano 2008

Upinzani watangaza mapambano 2008

Nimeshaweka wazi kuwa hapa marekani kama mtu akifa si SIRI!
Ama kufunga ndoa etc!
HIZO ZOTE NI PUBLIC INFORMATION AMABAZO TUKO ENTITLED TO! Huwa zinatolewa kwenye magazeti etc!
Na wewe si ulishaweka wazi kuwa ulikuwa ukimfuatilia?
Ama umesahau?
Tueleze basi kama unajua kafa!
Maana hapa si kijijini!

Hii si kweli mkuu... hakuna sheria hapa US inayolazimisha polisi au yeyote kutoa taarifa za waliokufa magazetini.
 
Mwanakiji naye amalize mjadala kwa kusema the same!!Kwa hiyo mnamtelekeza Zitto officially ama?
Halafu muniachie miye niwapashe ukweli!
 
ALAH!
Ishakuwa hivyo tena!

That's correct!

Soma nilichosema kwenye thread yangu.... niliahidi kutompondea Kikwete kwa muda wa mwezi mmoja kuanzia May 7th. Hii ni ahadi yangu binafsi ambayo sio ulazima kwa yeyote yule kuanzia Zitto, wewe, au wale vijana wa Pemba na Unguja wanaopigania haki zao wanaolazimishwa kuifuata.
 
Mimi sitaki nasema sitaki upinzani uuwawe kama ilivyofanywa na kina Marando,Lamwai na Kaborou!
Walioamua kujiunga na mafisadi in leu of THE PEOPLE'S trust!
Na sasa wanakula kuku lakini wananchi bado wanateseka!
NASEMA SITAKI UPINZANI UUWAWE WAKATI AMBAPO WANA NAFASI KUBWA YA KUCHUKUA NCHI!
 
Mimi sitaki nasema sitaki upinzani uuwawe kama ilivyofanywa na kina Marando,Lamwai na Kaborou!
Walioamua kujiunga na mafisadi in leu of THE PEOPLE'S trust!
Na sasa wanakula kuku lakini wananchi bado wanateseka!
NASEMA SITAKI UPINZANI UUWAWE WAKATI AMBAPO WANA NAFASI KUBWA YA KUCHUKUA NCHI!

Do something kama hutaki upinzani kuuwawa! unaweza pia ukajiunga na vyama hivyo na ukaongoza kimakini. Hizi generalizations na kumlinganisha Zitto na kina Marando ni very unfounded.

hata kama Zitto akiungana na ccm, sidhani kama huo ndio mwisho wa upinzani kwani upinzani wa ccm sasa hivi unatoka ndani ya mioyo ya watanzania waliochoshwa na mambo ya ccm na sio tu kufuata wanachosema viongozi wa upinzani.
 
Mimi sikubaliani na hii mada ya SHY!
Ila sasa we want something positive out of negative...That way we can straighting out the points!
 
Nimeshaweka wazi kuwa hapa marekani kama mtu akifa si SIRI!
Ama kufunga ndoa etc!
HIZO ZOTE NI PUBLIC INFORMATION AMABAZO TUKO ENTITLED TO! Huwa zinatolewa kwenye magazeti etc!
Na wewe si ulishaweka wazi kuwa ulikuwa ukimfuatilia?
Ama umesahau?
Tueleze basi kama unajua kafa!
Maana hapa si kijijini!


suala la Balali nenda kwenye ile mada; hapa tunazungumza kwenye kuahadaa jamii, na wewe umeamua kuonesha kuwa Zitto anaahadaa jamii kitu ambacho hadi hivi sasa umeshindwa kuthibitha kabisa.
 
Do something kama hutaki upinzani kuuwawa! unaweza pia ukajiunga na vyama hivyo na ukaongoza kimakini. Hizi generalizations na kumlinganisha Zitto na kina Marando ni very unfounded.

hata kama Zitto akiungana na ccm, sidhani kama huo ndio mwisho wa upinzani kwani upinzani wa ccm sasa hivi unatoka ndani ya mioyo ya watanzania waliochoshwa na mambo ya ccm na sio tu kufuata wanachosema viongozi wa upinzani.

Sasa hapa nachokifanya ni kipi?
Mbona hujajibu kama Zitto ana mwelekeo waki MARANDO MARANDO AMA WA KI KABURU KABURU..AMA KI LASWAI LASWAI?
 
Mimi sitaki nasema sitaki upinzani uuwawe kama ilivyofanywa na kina Marando,Lamwai na Kaborou!
Walioamua kujiunga na mafisadi in leu of THE PEOPLE'S trust!
Na sasa wanakula kuku lakini wananchi bado wanateseka!
NASEMA SITAKI UPINZANI UUWAWE WAKATI AMBAPO WANA NAFASI KUBWA YA KUCHUKUA NCHI!


Mara "unataka" mara "sitaki" hivi kwanini watu wajali kile unachotaka au usichotaka wewe?
 
Niliwahi kuona tangazo katika mtandao wakati Fulani , mmoja wa wabunge wa upinzani Tanzania ameacha namba yake ya simu atakayotumia atakapofika marekani , kwa wale ambao hawako busy wanapenda kuonana nae na vijana wengine wengi wenye muelekeo wa kipinzani .

Sitaki kubisha inaonekana wapinzani wamewashika sana vijana wa kitanzania walio nchi za nje haswa marekani kiasi kwamba zitto anapokanyaga huko wanaona mwokozi wao kafika watu wanasongamana wanataka kumwona kupiga nae picha na vitu kama hivyo .

Pamoja na kuacha hizo namba za simu na watanzania kujitokeza kuonana nae , sera na mambo anayoongea katika mikutano hii ni zile zile , za ufisadi ambazo sasa hivi ni zilipendwa , yale yale ya epa na mambo mengine ambayo kwa hakika sio ya kujenga upinzani sio ya kujenga nchi ni ya kupasua hadhi ya nchi na watu wake nje ya mipaka yake .

Namheshimu Nyepesi na Wenzake wengi kama watanzania lakini siwezi kuheshimu na kuendelea kusikiliza watu wenye mawazo ya kuvuruga wananchi wakiwa nje ya mipaka yao huwa nashangaa kama hawana masuala mengine ya kuongea zaidi ya haya .

Hao ni chadema ndio wameshikilia Epa , Ufisadi na Usalama wa Taifa , ukirudi kwa upande wa baba zako chama cha wananchi CUF , ningekuwa mimi ni mwanachama wa CUF ningehoji kwanini hao viongozi wawili wa CUF wako pale walipo mpaka sasa hivi

Tangia upinzani umeanzishwa ni viongozi wale wale wa CUF wanaowashika masikio baadhi ya wanachama wao , ni viongozi wale wale wakorofi wako madarakani katika chama hicho mpaka sasa hivi , sijui CUF hawana viongozi wengine ni lazima wawe hawa hwaw ?

Mtihani wao wa kwanza wameshaushindwa wa kuleta maelewano huko visiwani , kwa sababu wameshashindwa jaribio hilo , sioni sababu ya kwanini wasiache nafasi hizo wazi waje watu wengine wenye utashi zaidi yao , watu wanaopenda kukaa mezani na kumaliza tofauti zao .

Niliangalia hata wakati wa maandamano ya CUF visiwani wiki iliyopita mmoja wa washairi aliposema kwamba anaweza kujilipua kama mambo yataendelea kuwa hivyo , wengine wakawaambia wenzao wasipeleka bidhaa katika kisiwa kingine wakipeleka basi wao ni halali yao .

Yote hayo yanasemwa viongozi wa CUF wamekaa katika viti wanasinzia wengine wanacheka na kufurahia kwa madaha kama vile ile ni halali yao kusema vile na hakuna chochote kile mbele yake .

Nilitegemea mmoja wa viongozi hawa au msemaji wa CUF aje mbele na kusema kile kilichosomwa na yule mshairi sio msimamo wa CUF lakini hakikutokea kitu kama hicho kwahiyo tuchukulie basi kuanzia sasa hivi na mpaka hapo viongozi wa CUF watakapoamua baadaye

Kwamba sera za CUF kuanzia sasa hivi ni KUJILIPUA , KUKATAZA BIASHARA NA UNGUJA NA KUPUNGUZA UNDUGU WAO kwa sababu hawa wengine sio wanachama wao , wao ni CCM.

Vibaraka wa mafisadi utawajua tu. Wao badala ya kuangalia jinsi nchi inavyofanyiwa ufisadi wa hali ya juu, wanataka kupotosha ukweli ili ionekane upinzani ndio unaohadaa jamii! Watanzania kidogo kidogo wanafungua macho na kujua ukweli umelalia wapi na muda si mrefu chama cha mafisadi kitabaki kuwa ni history katika anga za siasa za Tanzania.
 
Sasa hapa nachokifanya ni kipi?
Mbona hujajibu kama Zitto ana mwelekeo waki MARANDO MARANDO AMA WA KI KABURU KABURU..AMA KI LASWAI LASWAI?

Hilo si swali langu kujibu maana hili ni la kimtazamo zaidi ya facts. SO far mi naona zitto anafanya kazi nzuri sana na hajafanya chochote cha kufikia kina Marando.

Bado sijaona wewe ulichofanya.
 
Niliwahi kuona tangazo katika mtandao wakati Fulani , mmoja wa wabunge wa upinzani Tanzania ameacha namba yake ya simu atakayotumia atakapofika marekani , kwa wale ambao hawako busy wanapenda kuonana nae na vijana wengine wengi wenye muelekeo wa kipinzani .

Sitaki kubisha inaonekana wapinzani wamewashika sana vijana wa kitanzania walio nchi za nje haswa marekani kiasi kwamba zitto anapokanyaga huko wanaona mwokozi wao kafika watu wanasongamana wanataka kumwona kupiga nae picha na vitu kama hivyo .

Pamoja na kuacha hizo namba za simu na watanzania kujitokeza kuonana nae , sera na mambo anayoongea katika mikutano hii ni zile zile , za ufisadi ambazo sasa hivi ni zilipendwa , yale yale ya epa na mambo mengine ambayo kwa hakika sio ya kujenga upinzani sio ya kujenga nchi ni ya kupasua hadhi ya nchi na watu wake nje ya mipaka yake .

Namheshimu Nyepesi na Wenzake wengi kama watanzania lakini siwezi kuheshimu na kuendelea kusikiliza watu wenye mawazo ya kuvuruga wananchi wakiwa nje ya mipaka yao huwa nashangaa kama hawana masuala mengine ya kuongea zaidi ya haya .

Hao ni chadema ndio wameshikilia Epa , Ufisadi na Usalama wa Taifa , ukirudi kwa upande wa baba zako chama cha wananchi CUF , ningekuwa mimi ni mwanachama wa CUF ningehoji kwanini hao viongozi wawili wa CUF wako pale walipo mpaka sasa hivi

Tangia upinzani umeanzishwa ni viongozi wale wale wa CUF wanaowashika masikio baadhi ya wanachama wao , ni viongozi wale wale wakorofi wako madarakani katika chama hicho mpaka sasa hivi , sijui CUF hawana viongozi wengine ni lazima wawe hawa hwaw ?

Mtihani wao wa kwanza wameshaushindwa wa kuleta maelewano huko visiwani , kwa sababu wameshashindwa jaribio hilo , sioni sababu ya kwanini wasiache nafasi hizo wazi waje watu wengine wenye utashi zaidi yao , watu wanaopenda kukaa mezani na kumaliza tofauti zao .

Niliangalia hata wakati wa maandamano ya CUF visiwani wiki iliyopita mmoja wa washairi aliposema kwamba anaweza kujilipua kama mambo yataendelea kuwa hivyo , wengine wakawaambia wenzao wasipeleka bidhaa katika kisiwa kingine wakipeleka basi wao ni halali yao .

Yote hayo yanasemwa viongozi wa CUF wamekaa katika viti wanasinzia wengine wanacheka na kufurahia kwa madaha kama vile ile ni halali yao kusema vile na hakuna chochote kile mbele yake .

Nilitegemea mmoja wa viongozi hawa au msemaji wa CUF aje mbele na kusema kile kilichosomwa na yule mshairi sio msimamo wa CUF lakini hakikutokea kitu kama hicho kwahiyo tuchukulie basi kuanzia sasa hivi na mpaka hapo viongozi wa CUF watakapoamua baadaye

Kwamba sera za CUF kuanzia sasa hivi ni KUJILIPUA , KUKATAZA BIASHARA NA UNGUJA NA KUPUNGUZA UNDUGU WAO kwa sababu hawa wengine sio wanachama wao , wao ni CCM.

mawazo mazuri SHY ! keep it up !
 
Si manaona Kada naye kaja?
Ngoja sasa niwaachie Kada!
 
Back
Top Bottom