Upinzani watangaza mapambano 2008

Babkubwa tu!
Na ndio maana na mimi nina MASHAKA kwasababu umefanikiwa kubadili mawazo kwa muda mfupi sana kiasi cha KUTISHA huku kukiwa hakuna kitu kilichofanyika cha kuweza kutu convince THE PEOPLE ADAWAIS!

achana nae huyu ! MTAMBO HUO !
 
Kazi ya kumpigia kifua Kikwete si ilikuwa ya KADA MPINZANI BEFORE?
NI LINI IMEBADILIKA KUWA YAKO WEWE ZITTO NA MKJJ?
sorry hii post was meant to answer Mwafrika wa kike!
 

Mushi,
Kilichosemwa hapo juu na waliotangulia ni tungo tata nyingi.
Hata mimi mara nyingi napata taabu sana kukusoma ktk baadhi ya mabandiko yako(si yote), unazungumzia vitu vingi kwa wakati mmoja ktk sentensi moja na sentensi huwa hazinyooki.Nashauri uwe unajaribu kuziweka ktk mtindo wa aya chache chache utasomeka vema.
 
Je ni makosa kutompondea Kikwete?

je akifanya hivi Kada ndio anakuwa ametumwa au ?

Hii sasa inadhihirisha kwamba wengi waliomo JF ni WANAFIKI, maana kitu akisema kada basi utasikia ooh katumwa huyo, hivi na vile.. fisadi huyo.!!

sasa waliokuwa wakiniita fisadi wako wapi ?
 
je akifanya hivi Kada ndio anakuwa ametumwa au ?

Hii sasa inadhihirisha kwamba wengi waliomo JF ni WANAFIKI, maana kitu akisema kada basi utasikia ooh katumwa huyo, hivi na vile.. fisadi huyo.!!

sasa waliokuwa wakiniita fisadi wako wapi ?

Kuna tofauti kati ya kumtetea kikwete (kumpigia debe Kikwete) na kutomtetea Kikwete (just being silent) kwenye anayofanya for a while.

Nikianza kumtetea Kikwete hapa, nitajiita fisadi mwenyewe.
 
Kuna tofauti kati ya kumtetea kikwete (kumpigia debe Kikwete) na kutomtetea Kikwete (just being silent) kwenye anayofanya for a while.

Nikianza kumtetea Kikwete hapa, nitajiita fisadi mwenyewe.
Are you sure you havent done that yet?
 
Kuna tofauti kati ya kumtetea kikwete (kumpigia debe Kikwete) na kutomtetea Kikwete (just being silent) kwenye anayofanya for a while.

Nikianza kumtetea Kikwete hapa, nitajiita fisadi mwenyewe.

tatizo sio kumtetea kikwete (hapo nadhani ndio wengi WENU MNASHINDWA KUELEWA)! hakuna anayepinga kwamba kuna mabaya yanatokea, lakini pia vile vile kuna mazuri yanatokea (ukitaka nitakupa, mengi sana) lakini kwa kuwa NYINYI mpo CHADEMA ORIENTED basi mnataka kuipiga bao ccm kwa machache maovu yanayotokea, kwani nani asiyejua goals za chadema 2010 ? kusimamisha njimbi zao mkoa wa dar-es-salaam na kugombea ubunge ?
but i understand that, thats the nature of politics, kuna RULING PARTY CRITICS (ambao ni majority yenu humu) na kuna wale wanaoitetea serikali kwa maslahi ya serikali na taifa (bila kuzingatia chama chochote) !!

NI KWELI KUNA MABYA LAKINI PIA VILE VILE KUNA MAZURI, NO MATTER HOW YOU ARE GOING TO SPIN IT BUT THAT A FACTS ! kama unabisha bisha, tupo hapa !
 

Huwa nasubiria sana kukuona ukisema haya "mazuri" ya serikali. Anzisha thread ya mazuri ya serikali ili yaonekane mkuu ili uthibitishe kauli yako.
 
Kikwete asipotoa ripoti kama inavyotegemewa na wengi hii issue itakuwa mpeleke mpeleke!

Welcome to my world!

Part ya strategy yangu ni kutoa breathing room kuona nini Kikwete atafanya kwa mwezi mmoja. Kuna wakati ninakuwa kwenye offensive too much na labda nashindwa kuona "mazuri" yanayoonwa na wengine.

Hii report alishakabidhiwa Kikwete na muda si mrefu siku zangu 30 zitakwisha na kisha libeneke litaendelea kama kawaida. By that time though nitakuwa nimejenga case nzuri na nitakuwa na ushahidi wa kutosha kumpondea Kikwete hapa JF na kwingineko.
 
Huwa nasubiria sana kukuona ukisema haya "mazuri" ya serikali. Anzisha thread ya mazuri ya serikali ili yaonekane mkuu ili uthibitishe kauli yako.

ahhh, kumbe ! tatizo lako ni kwamba upo katika kuangalia maovu ( na hapa nakuwa vere vere convinved kwamba wewe ni mpinzani ) maana ndio kazi yao kusubiri (maana kazi hawana) serikali ikosee then wao waongee (kama wewe)

Unadhani hali ya usalama (wa wananchi na mali zao) tanzania ikoje hadi hivi sasa ? je unadhani ipo hivyo just because ?

na hao walimu walioongezeka (angalau hawalipwi sana) lakini huoni hilo limesaidiwa kwa wale walioweza kujiendeleza masomo (waajiriwa ni wale waliomaliza form 4) na wakaweza kubenefit ajira ?

huoni kwamba serikali imeanza kutilia mkazo suala la mazao mfano, korosho, kahawa na kunufaisha wakulima ?

je huoni pia wajasiriamali wameanza kunufaika (angalau sio wote) kwa kuanzisha biashara ndogo ndogo !

je huoni kwamba watu jinsia ya kike wameweza kupewa kipaumbele zaidi katika awamu hii kuliko awamu yoyote ile ? (jinsia yako)

mengine meeengi tu, lakini kwa kuwa wewe mpinzani hautokubali chochote kile hata kiwe kizuri vipi ! but that doesnt stress me out CRITIC !
 
Finally.. naona umeona mwanga! good work.. why did it take you that long?
Ila wasiwasi wangu ni kuwa..Je tunayo tarehe kamili ya Kikwete kutoa ripoti?
Ama are we just hoping that atafanya tofauti na yale ambayo amekuwa akiyafanya kama vile kuzikalia ripoti zilizopita?
 

tatizo lako ni kwamba wewe una akili FINYU if not NOTHING AT ALL ! yaani kikwete aache kufanya mikakati aliyopanga na mambo yaliyopo kwenye ilani ya chama chake akusikilize wewe kama nani ? listen to you my a*ss !

let me deliver this to you, YOUR STRATEGY IS A DEAD ONE ! ni sawa sawa na kutaka kisima kitoe maji huku hakuna jitihada zozote unazofanya ili kisima kiweze kutoa maji !

Kama kumponda kikwete, haumpi shida hata kidogo, and keep it mind, JK haji jf kama mlivyokuwa mkidhani, labda alionyesha au kuambiwa kuhusu jf (tena zamani sana) but now, excuse me !

eti jk akusikilize wewe with that one month strategy ! anayo mengi sana ya kufanya, hata ukimpa akiba ya awamu yote iliyobakia na asipokusikiliza it will be better, kwanza huo ni UNAFIKI, HALAFU NAUPINGA KISHENZI !

endeleza ucritic wako hapa jf na kwingineko, na sio kujilamba kwa kikwete na ccm ! hatutaki watu wasio na msimamo kama wewe ! je ungekuwa umekula kiapo je ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…