Upinzani watangaza mapambano 2008

Rabda anataka kumuingiza mwenzie mkenge; Baadae atakuja sema ooh, kwa nini hakufuata sheria na bra bra kibao. Zitto anajua anachokifanya so far so good
Ofcourse anajua anachokifanya!
Nani kabisha hapo?
 
1)Ni lini utaidai kutoka kwa Kikwete?Nyie watu msitake nizimie hapa nilipo!

Kwa kadri muda wangu utakavyoruhusu.

Sasa huyu MKJJ naye si alisema Rais hakuna wa kummuliza?Sasa na yeye anatuchanganya tu hapa!

Wewe unaweza kumuuliza raisi kuhusu hili, kwani wewe si mtanzania?

2)Huwezi kumtaka Zito afanye lolote kuhusu ukamatwaji wa mafisadi?
kuna tofauti kati ya kufanya lolote na kushinikiza lolote lifanyike

3)Najua huwezi kufanya kile ninanchotaka ufanyae!
Thats just next to impossible! Iam aware on that..However sijui ni vigezo gani ulivyotumia kuona kwamba eti baada ya mwezi muungwana will do something!

Kutoa muda kwa mategemeo kuwa kitu kitafanyika ni tofauti na actually kuona kinachotegemewa kikifanyika.

Naona sasa unakuja na maswali mazuri na yanajibiwa accordingly.

Next....
 
Ofcourse anajua anachokifanya!
Nani kabisha hapo?

usimvutevute hovyo, jamani watu bwana, sijui arikuja kukuomba ushauli wa kugombea ubunge, maana unasema utadhani una ubia kwenye ubunge wake na unataka umpangie wewe cha kufanya. Viumbe wazito original.
 
OOkay!
Kwa hiyo sasa Kikwete ndio ana ushawishi na wapinzani?
Aliwashawishi vipi wapinzani wakamwacha Zitto ashirikiane na MAFISADI?

Ama kweli sasa unachekesha... Kikwete aliwashauri wapinzani wakamwacha Zitto ashirikiane na mafisadi? Next utasema nini, kuwa Kikwete amewashawishi wapinzani kuingia bungeni kushirikiana na mafisadi?
 
usimvutevute hovyo, jamani watu bwana, sijui arikuja kukuomba ushauli wa kugombea ubunge, maana unasema utadhani una ubia kwenye ubunge wake na unataka umpangie wewe cha kufanya. Viumbe wazito original.
Ubunge ni dhamana aliyopewa na wananchi na pia yuko under public scrutiny hapa accordingly! And yes ana ubia na wananchi kwenye ubunge
Politics na jeshi ni tofauti marwa!
 
Ubunge ni dhamana aliyopewa na wananchi na pia uko under public scrutiny hapa accordingly!
Politics na jeshi ni tofauti!

kama amepewa na wananchi una uhakika gani kama wananchi wengi wanamkubali na hawamlazimishi afanye mambo hovyo hovyo bila kufata sheria,kanuni, na uataratibu uliweka. Demokrasia ni rule of law na asiyefata laws ni fisadi.

Sasa kama kuscrutinise kwako ndio huku, punguza kutapatapa na kujichanganya
 
Halafu naomba usibadilishe hii mada Marwa!
Maana unataka ku imply kuwa mimi nina issues personal na Zitto!
The answer hapa ni NO!
Zitto kama viongozi wengine atakosolewa!
 
Jmushi, najua ni shida kidogo kwa wewe kukaa chini na kufikiria majibu ya maswali yanayoingia kichwani mwiko kwa mwendo wa kesi. Hivyo nimeona nirudie hapa pamoja na maelekezo ya kukusaidia. Huhitaji kunishukuru.

Nitarudia tena ili angalau ujifunze kujibu maswali badala ya kujibu swali kwa kwa swali.

1. ni nani mwenye mamlaka ya mwisho ya kutoa ripoti ya Kamati ya Madini? (kwenye swali hili unatakiwa kusema ni nani mwenye mamlaka ya mwisho ya kutoa ripoti, wajumbe wa kamati au Rais au mtu yeyote?)

2. Je Zitto ana ushawishi gani kwa Rais hadi Rais amsikilize na kufanya analotaka yeye Zitto? (katika sehemu hii ya swali unatakiwa ueleze ni kwa ushawishi gani Zitto anaweza kumuambia Rais afanye jambo fulani?)

3. Je, Rais asipotaka kutoa ripoti ya Kamati aliyounda hadharani wewe utafanya nini? na Zitto anatakiwa kufanya nini? (Swali hili lina sehemu mbili; a. ueleze ambacho wewe utafanya kama Rais hatotangaza hiyo ripoti hadharani. b. Unafikiri Zitto afanye nini kama Rais hatotangaza ripoti hiyo.)

4. Kamati ya Madini ina wajumbe wengi tu zaidi ya Zitto, kwanini umemkomalia Zitto badala ya Mwenyekiti wa Kamati hiyo Jaji Bomani? (Katika swali hili la mwisho unatakiwa utoe sababu za kwanini Zitto ndiyo atoe habari na kufuatilia suala hili la Kamati na siyo Mwenyekiti wa Kamati hiyo)

Natumaini umeelewa namna ya kujibu hayo maswali kama itakuwa vigumu nitajaribu kurudia tena kwa namna ya taratibu zaidi. Usipoweza kufikiria majibu yake unaweza kuniandikia ili nikutafute maswali zaidi ambayo ni mepesi.
 
Najua wenye maslahi ni wengi!
Lakini NO INTIMIDATION WILL EVER MAKE ME RETREAT!
 
Najua wenye maslahi ni wengi!
Lakini NO INTIMIDATION WILL EVER MAKE ME RETREAT!

Acha vilio sasa... nani ameku-intimidate....

Na kama unaretreat au utakaa hapa hadi siku ya kiyama hiyo ni juu yako ila hoja zako zitakutana na hoja hadi kieleweke.
 
Najua wenye maslahi ni wengi!
Lakini NO INTIMIDATION WILL EVER MAKE ME RETREAT!

kubari yaishe tuu, huu sio mtihani kusema utakosa maksi, ni hoja na katika hoja kuna kushinda na kushindwa kutegemeana na hoja yako ina nguvu na iko straight kiasi gani
 
kubari yaishe tuu, huu sio mtihani kusema utakosa maksi, ni hoja na katika hoja kuna kushinda na kushindwa kutegemeana na hoja yako ina nguvu na iko straight kiasi gani

Muache aendeleze rants tu hapa .... as longer as haanzi kulialia kuwa anaonewa na kutishwa na visivyoonekana.
 
Wewe kazi yako ya kujikombakomba kwa polisi na kufuatilia wana JF ni mbaya zaidi ya huyo mtenzi wa CUF ambaye hana uwezo wowote wa kufanya kile alichosema wakati wewe unashirikiana na polisi wanaowasakama wana JF.

Snitch mkubwa....
DU HAYA KWELI MWAFRIKA KWANI WHEN TEMPER CLOUDED YOUR REASONIG IS A DISTROYER
 

1)Mwenye mamlaka ya mwisho ni Rais!
Hili lilikuwa wazi kabla hata Zitto hajaingia kwenye kamati!
Na ndio haswa kisingizio cha kisiasa kuwa hana nguvu zaidi ya rais!

2)Kama Kikwete alikuwa na mamlaka na ushawishi wa kumwingiza Zitto kwenye kamati iliyoundwa pia na baadhi ya watuhumiwa wa ufisadi..What did he then do?

3)Zitto awe na ama nia ya kuendelea kumshawishi mh rais aitoe ripoti ama ikifikia too much kusubiri then afanye something!

4)Nimemkomalia Zitto kwasababu mimi ni mmojawapo niliyekuwa nikimtaka atafakari kabla hajaamua kufanya kazi na mafisadi kamatini!
 
kubari yaishe tuu, huu sio mtihani kusema utakosa maksi, ni hoja na katika hoja kuna kushinda na kushindwa kutegemeana na hoja yako ina nguvu na iko straight kiasi gani
Nikubali nini kiishe?
Kuwa UPINZANI UNA HADAA?!
OKAY... DEAL!
 
Halafu we marwa usijikombe kombe hapa!
We uanfikiri kuna mtu anataka maslahi hapa!
Watu tunayo gazabu na nchi yetu kama anybody else!
Hakuna ambaye yuko entitled to this and the other not!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…