Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 60
Hakuna anayejali kuwa ana nguvu serikalini or not!
Kwani si anamtetea Kikwete?
Hivi nyie mnafikiri watu ni pumbavu?
Mnakwepa kwepa!
Kwanza we unayesema Balali kafa labda umemficha nyumbani wewe!
Bunge at least linaongozwa na sheria na ni uwakilishi wa wananchi!Kama hajanuka shombo kuingia kwenye bunge ambalo pia limejaa mafisadi basi it is too late kunuka shombo leo.
Bunge at least linaongozwa na sheria na ni uwakilishi wa wananchi!
KAMATI PIA?
acheni dana dana!
Kwani kukutana na Zitto ndo uspecial?
Kwani hakutoa namba yake wazi hapa JF?
Ningekuwa nataka kujifanya special si ningevuta waya tu?
Naona mnaanza kuingiza hasira na madudu hapa!
Halafu ni kivipi asinuke shombo na kulikuwa na mfisadi nadani yakamati?
Sina shida kihivyo MKJJ naona hujui hilo!sasa wenzio wanapojikomba, hawajikombi hivi!! yaani unauma halafu unapuliza!? kwikwikwi!
Hakuna anayejali kuwa ana nguvu serikalini or not!
wapi, lini, na kwa namna gani?Kwani si anamtetea Kikwete?
pumbavu is as pumbavu does.. sasa hili la upumbavu limetoka wapi?Hivi nyie mnafikiri watu ni pumbavu?
Mnakwepa kwepa!
Kwanza we unayesema Balali kafa labda umemficha nyumbani wewe!
wewe unawekuwa wanuka zaidi kwa sababu hata kujaribu kugombea ubunge hukujaribu,wewe ni mbaya zaidi ya zitto anayaweza kusimama mbere yetu tunamwona kwa macho na kumpa kura. Wewe ni fisadi kwa sababu hujachukua hatua yoyote kuwaongerea mafisadi hadharani, maswari UNATAKA ujibiwe na hata ujasiri wa kutoa jina halisi huna.
Sina shida kihivyo MKJJ naona hujui hilo!
Sijikombi!
kwa hiyo unaweza kujikomba!Ningetaka kufanya hivyo ningeweza!
Lakini una uwezo wa kujikomba ni suala la kutaka tu...Nimeshakwambia mimi sina haja ya kujikomba!
wapi hapo?Namba ya simu si ilikuwa wazi hapa JF?
Mura jina langu ni halisi mkuu wa Marwa!
Sina shida kihivyo MKJJ naona hujui hilo!
Sijikombi!
Ningetaka kufanya hivyo ningeweza!
Nimeshakwambia mimi sina haja ya kujikomba!
Namba ya simu si ilikuwa wazi hapa JF?
I hope not
kwa hiyo unaweza kujikomba!
Lakini una uwezo wa kujikomba ni suala la kutaka tu...
wapi hapo?
ungefanya ramaana kumpigia, urikuwa unamwereza hapa iri tujue unaconfidence ya kumwataki mheshimiwa, hata private message ungerimwachia angekujibu naamini.
Hivi MKJJ unataka kusabotage hii conversation?
Je una nia na agenda ya siri?
Ama na wewe umeshapewa mafao ya Kifisadi kupitia kwa mjumbe wake Zitto? We unafiri everybody is like that huh?
MJKK si anajifanya kichaa na kusema namba haikuwa hapa!
Then lets just assume haikuwa maana naona wanacheza gere!
Mhhh..
kujifanya kichaa tena?!!?!
Si nimemwambia namba ya Zitto iliwekwa wazi hapa na yeye anabisha?
Sasa mi nilitaka kumwambia kuwa sijikombi na i will never do that! Ningetaka kufanya hivyo ningeweza!
Hivi MKJJ unataka kusabotage hii conversation?
Je una nia na agenda ya siri?
Ama na wewe umeshapewa mafao ya Kifisadi kupitia kwa mjumbe wake Zitto?
We unafikiri everybody is like that huh?
ungefanya ramaana kumpigia, urikuwa unamwereza hapa iri tujue unaconfidence ya kumwataki mheshimiwa, hata private message ungerimwachia angekujibu naamini.