Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 60
Hakuna anayejali kuwa ana nguvu serikalini or not!
Kwani si anamtetea Kikwete?
Hivi nyie mnafikiri watu ni pumbavu?
Mnakwepa kwepa!
Kwanza we unayesema Balali kafa labda umemficha nyumbani wewe!
Mnakwepakwepa na nani? Hata wewe si unaweza kupata hizo habari zote?
Umemwajiri nani hapa akufanyie kazi hii?