financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Mkuu unamaanisha waliosingle ndiyo waotakiwa kuwepo kila sehemu😛 dahMkuu kila sehemu upo. Inaonesha upo single.
Nipo pub inferno ila nataka nichukue boda nihamie mrina annex nikakeshe
[emoji15][emoji15] acha matani ujueNakufahamu mkuu
Unaweza kukuta kadi ni ya Mr & Mrs!!Nikiwa glosari kajitokeza mdau kanipa kadi nimezamia sherehaa hata wahusika siwajui[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]View attachment 1816583
Okay [emoji41]Hii ni chugastan kiburudani
Duh wabongo tunajua kutohoa maneno😂 why senge na si sere?SERENGETI LITE; watoto wa mjini wanaiita senge lite!!!
We lala kesho kanisaniMkuu unamaanisha waliosingle ndiyo waotakiwa kuwepo kila sehemu[emoji14] dah
Wow upo ndani ama nje mkuu? Au ndiyo nyie mlikua na birthday full makelelenipo micasa club reverside
Mkuu ntapitia hapo soonTTG lounge Kimara Korogwe
Kweli mkuu nataka nilale sahivi, ibada ni saa 1 asubuhi. Kwahiyo nikuage? Basi usiku mwema mkuuWe lala kesho kanisani
[emoji851][emoji851][emoji851] unajifiiiicha utakosa offer mdada[emoji41]Inferno ile ya Taifa??
Yani wewe mdadaDar Es Salaam
Mtaa wangu.saana huo asee ila nlihamia kwangu Nje ya mjinipo micasa club reverside
Mambo ya mjini hayo huko mikoani ndio mngeiita "SERE"!!Duh wabongo tunajua kutohoa maneno😂 why senge na si sere?
[emoji41][emoji41][emoji41] umejuaje mkuu nipo na mwenyeji mdada mgumu balaa ila SPONSOR hasemwi vibaya[emoji851][emoji851]Unaweza kukuta kadi ni ya Mr & Mrs!!
Ipo wapi mkuu na kuna ziada gani[emoji2957][emoji2957]THE ANDROID
[emoji851][emoji851][emoji851][emoji851] kumbe upo hapo ndio yule boooonge mweusiiii au?[emoji41]Wow upo ndani ama nje mkuu? Au ndiyo nyie mlikua na birthday full makelele