financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Acha wivu mkuu, nani unamwita lijamaa sasa?😏Kalisalimie lile lijamaa lako[emoji855][emoji57]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha wivu mkuu, nani unamwita lijamaa sasa?😏Kalisalimie lile lijamaa lako[emoji855][emoji57]
Ndiyo mkuu ,kumbe ulikuwepo na wewe ? Hatushtuani dah[emoji851][emoji851][emoji851][emoji851] kumbe upo hapo ndio yule boooonge mweusiiii au?[emoji41]
[emoji34][emoji35]Acha wivu mkuu, nani unamwita lijamaa sasa?[emoji57]
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] karibu muhasibuNdiyo mkuu ,kumbe ulikuwepo na wewe ? Hatushtuani dah
Afu hujanijibu kwenye huo mnada wa nyama za kibamba, zinakua zimeshapikwa ama ni mbichi mkuu?[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] karibu muhasibu
Kama. Unaenda gongolamboto unakata njia panda segerea unatembea kama dakika4 kwa gari unaiona kuna Wanawake kibao na kumejaa kama beer zake zina sukari[emoji16]Ipo wapi mkuu na kuna ziada gani[emoji2957][emoji2957]
Mamaa zipo.mbichi.na.zilizoCHOMWAAfu hujanijibu kwenye huo mnada wa nyama za kibamba, zinakua zimeshapikwa ama ni mbichi mkuu?
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Kama. Unaenda gongolamboto unakata njia panda segerea unatembea kama dakika4 kwa gari unaiona kuna Wanawake kibao na kumejaa kama beer zake zina sukari[emoji16]
Ndioooo analeta zarau kwa sponsa akeeeee🤣Mitama tena😂😂😂🙌
Nakupa offer weekend ijayo
mkuu mimi nadhani ilikua katika hali ya utani tu kukwambia akupe offa ila umemchukulia serious sana mkuu
Kwanini[emoji848][emoji848][emoji848]
Leo msikeshe kesho kaziniTukutane kidimbwi aseee [emoji91]
[emoji1635]
Nenda Temboni LA COMIDA wana booonge la supu aseeleo nipo hapa perfect kimara
ila supu ni kitarasa
Utakuwa unapiga pombe kali.mi na washkaj zangu ni henkein na nyama tu