Hii mbeyaWanapaita kwa mwailubi hapa.
Ah.. mwailubi pub apo nshakaa sana kula vyombo..... nlikuja mby decembeWanapaita kwa mwailubi hapa.
Ndio mkuu.Hii mbeya
Karibu tena mkuu, japo kwa sasa full baridi bia hazipandi mpakaaa vikaliiAh.. mwailubi pub apo nshakaa sana kula vyombo..... nlikuja mby decembe
Niwakilishe mkuu.Ibungu Korogwe karibuni wadau
MwanzaThe Cask ni wapi Kinyerezi au...?
Mwanza
Twende US mipaka ikifunguliwa tukafanye yetu πππ kwa kina CharakeeeSabasaba Tanga hapa nakula mbuzi bia na misambwanda Kama yote [emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Saba saba kuna malaya balaa..... sema kwa tanga ni kiwanja flan iv kwa wanaSabasaba Tanga hapa nakula mbuzi bia na misambwanda Kama yote [emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app