Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Yeah wako wengi kinoma si tunatazama tu hawatuhusu nimefata mbuzi na bia hapaSaba saba kuna malaya balaa..... sema kwa tanga ni kiwanja flan iv kwa wana
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah wako wengi kinoma si tunatazama tu hawatuhusu nimefata mbuzi na bia hapaSaba saba kuna malaya balaa..... sema kwa tanga ni kiwanja flan iv kwa wana
Rock city mallThe Cask ni wapi Kinyerezi au...?
Sema wanachoma mbuzi kuna dogo mmoja wa kigogo apo ni sheedahYeah wako wengi kinoma si tunatazama tu hawatuhusu nimefata mbuzi na bia hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Yuko upande gani huyoSema wanachoma mbuzi kuna dogo mmoja wa kigogo apo ni sheedah
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hio Ni inshu ingine acha tule mbuzi kwanzaTwende US mipaka ikifunguliwa tukafanye yetu [emoji3][emoji3][emoji3] kwa kina Charakeee
Tulikua tunamkuta apo sehem ya kuingilia kwa pemben... sijajua km kuna utaratib mwingine skikuiz
Atakuwa ashahama huyoTulikua tunamkuta apo sehem ya kuingilia kwa pemben... sijajua km kuna utaratib mwingine skikuiz
Kwa tumboUpo kiwanja gani ( SEHEMU YA BURUDANI SHANGWE ) mwana JF .. tujumuike kuinuana 😇
Bila shaka songea hiiNiko mpitimbi juu
Wanapaita kwa mwailubi hapa.
Hebu jitahidi upige picha mkuu halafu uirushe hapa [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]Atakuwa ashahama huyo
Ila pananoga pande hizi hapa tunashusha mbuzi kilo,ugali ,kachumbari na bia zako Kilimanjaro 3 maisha yanataka Nini zaidi
Kuna misambwanda inakatiza katiza kwa kujipitisha kwenda chooni inanitega Ila hawanipata ng'oo usawa huu wa kulenga kwa manati[emoji3][emoji3][emoji123]
Sent using Jamii Forums mobile app
Iko maeneo gani hii mkuu?Mi nipo "Nasoma - Pub" huku
Mama john nyuma za stand yakwenda mjiniIko maeneo gani hii mkuu?
Poa poa.Mama john nyuma za stand yakwenda mjini
Tulikuwa location moja Aiseeee. Ningekujua masihara yangekuhusuIbungu Korogwe karibuni wadau
Tanga pazuri hapajachoka tu?Sabasaba Tanga hapa nakula mbuzi bia na misambwanda Kama yote [emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app