Upo kiwanja gani ( Sehemu ya burudani shangwe ) mwana JF

Kibwagizo hichoooooh chaliiiiiih, hebu kaaaah kwa kutulia. Waleleeeeeeeeeeeeeeeeeh [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Leo ntakuwepo sinza board room... Nataka nikasahahu kidogo Shida.
 
Hapo Mpitimbi Mission kuna Grocery Moja ipo karibu na Hospital ndio raia wanapiga maji mpaka saa 7 usiku.
Uwiiiiiiiiiih sema me nliondoka muda kidogo huko, hiyo grocery sijaijua hata, ila ntauliza nimjue mmliki wake. Uwiiiiiiih
 
now nipo ndani ya cape town Dodoma.

mwana JF aliyepo hapa muda huu tuonane nina kreti ya serenget light..... na asubuh narudi DSM. Anayetaka lift
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…