Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msitafute mchawi. Sukuma Gang ni genge ndani ya CCM ambalo haliko tayari kuongozwa na Rais Samia. Kundi hili lilianza harakati zake huko FB likitumia account ya Veronica France na Monica France na sasa limeingia kwa nguvu hapa JF. Hawa watu wanafahamika. Ni dhambi ile ile mliyoifanya kuhujumu wapinzani hadi kuwaua ndiyo inawatafuna. Mimi nasema uaneni tu kwani hii mbegu mliipanda wenyewe sasa imekomaa ni wakati wa mavuno.Inaelekea kuna mkakati maalumu wa wapinzani wa CCM kutaka kuwagonganisha vichwa wanaCCM mara baada ya kuona Rais Samia aneingia madarakani kwa njia ya amani.
Ni muhimu kuwakumbusha wapinzani kuwa CCM is there to exist till the true development of Tanzania is achieved.
CCM na Serikali yake inaenenda kwakufuata ilani yake sio zaidi ya hapo.
wanafiki wote wanajulikana na Wazalendo wanatambulika.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
#Kaziinaendelea
wewe u mmoja wa wale wanaotaka kutengeneza drama ili CCM ifarakane.Msitafute mchawi. Sukuma Gang ni genge ndani ya CCM ambalo haliko tayari kuongozwa na Rais Samia. Kundi hili lilianza harakati zake huko FB likitumia account ya Veronica France na Monica France na sasa limeingia kwa nguvu hapa JF. Hawa watu wanafahamika. Ni dhambi ile ile mliyoifanya kuhujumu wapinzani hadi kuwaua ndiyo inawatafuna. Mimi nasema uaneni tu kwani hii mbegu mliipanda wenyewe sasa imekomaa ni wakati wa mavuno.View attachment 1746135
Kumbe wewe kilaza kama hujui kuwa mnatafunana wenyewe basi hata huo ukada wako ni wa uchochoroni.wewe u mmoja wa wale wanaotaka kutengeneza drama ili CCM ifarakane.
mmefeli kabla ya kuanza
Wewe na Bashiru nani anaijua ccm , Leo yuko wapi ?Inaelekea kuna mkakati maalumu wa wapinzani wa CCM kutaka kuwagonganisha vichwa wanaCCM mara baada ya kuona Rais Samia aneingia madarakani kwa njia ya amani.
Ni muhimu kuwakumbusha wapinzani kuwa CCM is there to exist till the true development of Tanzania is achieved.
CCM na Serikali yake inaenenda kwakufuata ilani yake sio zaidi ya hapo.
wanafiki wote wanajulikana na Wazalendo wanatambulika.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
#Kaziinaendelea
Inaelekea kuna mkakati maalumu wa wapinzani wa CCM kutaka kuwagonganisha vichwa wanaCCM mara baada ya kuona Rais Samia aneingia madarakani kwa njia ya amani.
ENDELEENI KUABUDU MIZIMU.Na kweli wanafiki wameonekana hata mwendazake hajamaliza 40 wameanza kuonesha makucha yao. Wanafiki wengi wamejaa ccm
Hilo jamaa ni punguani mkuuMabeberu je?Hawasingiziwi tena??
Nyie misukule ya Magufuli mna shida kweli.Inaelekea kuna mkakati maalumu wa wapinzani wa CCM kutaka kuwagonganisha vichwa wanaCCM mara baada ya kuona Rais Samia aneingia madarakani kwa njia ya amani.
Ni muhimu kuwakumbusha wapinzani kuwa CCM is there to exist till the true development of Tanzania is achieved.
CCM na Serikali yake inaenenda kwakufuata ilani yake sio zaidi ya hapo.
wanafiki wote wanajulikana na Wazalendo wanatambulika.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
#Kaziinaendelea
Ule mzimu wa chato unawasumbua jamaa kishenzi.ENDELEENI KUABUDU MIZIMU.
Hautafufuka kamweUle mzimu wa chato unawasumbua jamaa kishenzi.