Upo mkakati wa wapinzani kutaka kuwagonganisha wanaccm!

Upo mkakati wa wapinzani kutaka kuwagonganisha wanaccm!

Sema Basi jingalao anamtongoza mke wa jinga lao ili wagombane wakwe na shemeji zake.

Sema Hilo tu huwezi utaendelea kuwa na kichwa kikubwa Kama Cha kondoo kisicho na lolote
Hebu weka comments zinazoeleweka acha taharuki
 
Inaelekea kuna mkakati maalumu wa wapinzani wa CCM kutaka kuwagonganisha vichwa wanaCCM mara baada ya kuona Rais Samia aneingia madarakani kwa njia ya amani.
Ni muhimu kuwakumbusha wapinzani kuwa CCM is there to exist till the true development of Tanzania is achieved.
CCM na Serikali yake inaenenda kwakufuata ilani yake sio zaidi ya hapo.

wanafiki wote wanajulikana na Wazalendo wanatambulika.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA

#Kaziinaendelea
Msitafute mchawi. Sukuma Gang ni genge ndani ya CCM ambalo haliko tayari kuongozwa na Rais Samia. Kundi hili lilianza harakati zake huko FB likitumia account ya Veronica France na Monica France na sasa limeingia kwa nguvu hapa JF. Hawa watu wanafahamika. Ni dhambi ile ile mliyoifanya kuhujumu wapinzani hadi kuwaua ndiyo inawatafuna. Mimi nasema uaneni tu kwani hii mbegu mliipanda wenyewe sasa imekomaa ni wakati wa mavuno.
FB_IMG_1617802576694.jpg
 
Msitafute mchawi. Sukuma Gang ni genge ndani ya CCM ambalo haliko tayari kuongozwa na Rais Samia. Kundi hili lilianza harakati zake huko FB likitumia account ya Veronica France na Monica France na sasa limeingia kwa nguvu hapa JF. Hawa watu wanafahamika. Ni dhambi ile ile mliyoifanya kuhujumu wapinzani hadi kuwaua ndiyo inawatafuna. Mimi nasema uaneni tu kwani hii mbegu mliipanda wenyewe sasa imekomaa ni wakati wa mavuno.View attachment 1746135
wewe u mmoja wa wale wanaotaka kutengeneza drama ili CCM ifarakane.
mmefeli kabla ya kuanza
 
wewe u mmoja wa wale wanaotaka kutengeneza drama ili CCM ifarakane.
mmefeli kabla ya kuanza
Kumbe wewe kilaza kama hujui kuwa mnatafunana wenyewe basi hata huo ukada wako ni wa uchochoroni.
 
Ccm Wana akil wewe ufipa hawato weza sababu ccm ikiwa inawachezea wao kwa vidole kwa garama ndogo wao Hua wanaona kua Ile ndio kik na huipa bajet kubwa ya kuendeleza
 
Inaelekea kuna mkakati maalumu wa wapinzani wa CCM kutaka kuwagonganisha vichwa wanaCCM mara baada ya kuona Rais Samia aneingia madarakani kwa njia ya amani.
Ni muhimu kuwakumbusha wapinzani kuwa CCM is there to exist till the true development of Tanzania is achieved.
CCM na Serikali yake inaenenda kwakufuata ilani yake sio zaidi ya hapo.

wanafiki wote wanajulikana na Wazalendo wanatambulika.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA

#Kaziinaendelea
Wewe na Bashiru nani anaijua ccm , Leo yuko wapi ?
 
Inaelekea kuna mkakati maalumu wa wapinzani wa CCM kutaka kuwagonganisha vichwa wanaCCM mara baada ya kuona Rais Samia aneingia madarakani kwa njia ya amani.

Hebu fafanua hapa kidogo. Kwani kuna aliyeingia kwa njia isiyo ya amani?
 
CCM ingeparaganyika kwa mtikisiko uliotokea 2015 kipindi magogo ya CCM Lowasa,Kingunge,Sumaye na wengine walipotoka.
Na kipindi hicho ndo ilikua nafasi hadhimu ya upinzani kushika dola lakini haikua hivyo.CCM wajipanga vyema na walioondoka wakarejea na moto ukaendelea kama kawa.
"Ukinizingua tutazinguana"
 
Ha ha ha ha ha ha haaaaaaaaa!!!!! Agwee Ongeza moto kidogo!
 
Inaelekea kuna mkakati maalumu wa wapinzani wa CCM kutaka kuwagonganisha vichwa wanaCCM mara baada ya kuona Rais Samia aneingia madarakani kwa njia ya amani.
Ni muhimu kuwakumbusha wapinzani kuwa CCM is there to exist till the true development of Tanzania is achieved.
CCM na Serikali yake inaenenda kwakufuata ilani yake sio zaidi ya hapo.

wanafiki wote wanajulikana na Wazalendo wanatambulika.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA

#Kaziinaendelea
Nyie misukule ya Magufuli mna shida kweli.
 
Back
Top Bottom