Upo mkakati wa wapinzani kutaka kuwagonganisha wanaccm!

Upo mkakati wa wapinzani kutaka kuwagonganisha wanaccm!

Wazalendo wekeni ule mkataba na Barick hadharani Mama anasema kuna shida mle. Mererani nako mnapigwa. Mmemaliza tofali na cement ya bure kujenga ukuta usiozuia wezi...
Ule ni mkataba binafsi wa jiwe,kabudi na barrick
Jamaa alikuwa jizi level za juu kabisa
 
Inaelekea kuna mkakati maalumu wa wapinzani wa CCM kutaka kuwagonganisha vichwa wanaCCM mara baada ya kuona Rais Samia aneingia madarakani kwa njia ya amani.
Ni muhimu kuwakumbusha wapinzani kuwa CCM is there to exist till the true development of Tanzania is achieved.
CCM na Serikali yake inaenenda kwakufuata ilani yake sio zaidi ya hapo.

wanafiki wote wanajulikana na Wazalendo wanatambulika.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA

#Kaziinaendelea
Hayo yenu wenyewe wezi wa kura. Huko hata mkishindwa kutia mimba wake zenu mtaisingizia Chadema, tuondoleeni upumbavu wenu hapa.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
 
Chizi akitoa wazo wewe mpe tu "benefit of doubt" kumbumbuka kuwa hata saa mbovu kuna wakati mishale yake huonyesha usahihi wa wakati.
 
Chizi akitoa wazo wewe mpe tu "benefit of doubt" kumbumbuka kuwa hata saa mbovu kuna wakati mishale yake huonyesha usahihi wa wakati.
Naendelea kupita tu
 
Tundu hawezi kuomba Urais akashinda, wekeni mtu mwingine mwenye akili timamu. Huyu naona kalewa sifa.
 
Back
Top Bottom