Ule ni mkataba binafsi wa jiwe,kabudi na barrickWazalendo wekeni ule mkataba na Barick hadharani Mama anasema kuna shida mle. Mererani nako mnapigwa. Mmemaliza tofali na cement ya bure kujenga ukuta usiozuia wezi...
Kwa nini?Binafsi niliipenda CCM ila kwa sasa sina imani nayo tena
Hayo yenu wenyewe wezi wa kura. Huko hata mkishindwa kutia mimba wake zenu mtaisingizia Chadema, tuondoleeni upumbavu wenu hapa.Inaelekea kuna mkakati maalumu wa wapinzani wa CCM kutaka kuwagonganisha vichwa wanaCCM mara baada ya kuona Rais Samia aneingia madarakani kwa njia ya amani.
Ni muhimu kuwakumbusha wapinzani kuwa CCM is there to exist till the true development of Tanzania is achieved.
CCM na Serikali yake inaenenda kwakufuata ilani yake sio zaidi ya hapo.
wanafiki wote wanajulikana na Wazalendo wanatambulika.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
#Kaziinaendelea
Hii kauli ya kinafki ya uzalendo mcharwa huku upo kwenye v8 na kila kitu mkigawana bure mnakera sanahamtaweza kuhujumu na hamtaweza kuua wzalendo wote.mkimuua mmoja maelfu wanazaliwa
Tundu hawezi kuomba Urais akashinda, wekeni mtu mwingine mwenye akili timamu. Huyu naona kalewa sifa.Tundu Lissu: Mwl. Nyerere alizoea kuishi kwa uongo na udanganyifu
Wakuu. Hivi majuzi rais Kikwete ameingia kwenye mtego wa propaganda na kujikuta naye anaingia kwenye kundi la kumsulubu Mheshimiwa Tundu Lissu kwa madai kuwa amewatukana waasisi wa Taifa letu, Jana tena kwenye hotuba yake amerudia yaleyale! cha kushangaza na kustaajabisha ni kwamba wote wanao...www.jamiiforums.com