Upo mkoa gani?

Upo mkoa gani?

Habari wadau,
JF member ebu sema ni mkoa gani unapatikana kwa sasa labda upo hapo kikazi au labda ndio umezaliwa hapo na kukulia hapo au labda upo hapo kwa kusafisha macho kwa muda tu!

Mimi kwasasa nipo dar hapa nimekuja kumsalimu bro wangu, nakata matonge ya bure mwezi wa nne huu sasa! nikaribisheni Dar jamani,
Dar ipi maana hapa Tanzania kuna

Dar es Salaam na Dareda ile ya Babati zote ni Dar.
 
PORT ELIZABETH..... YO' WELCOME.... nasikia MO anakula tembele Dasalama huko..
 
Hahahaaaaa. Hivyo niko wapi mdogo wangu?
sifahamu ulipo lakini lazima uelewe kuwa kama upo mtwara basi upo nje ya Eneo husika ulilotaja au haupo kabisa mkoa husika!
 
Habari wadau,
JF member ebu sema ni mkoa gani unapatikana kwa sasa labda upo hapo kikazi au labda ndio umezaliwa hapo na kukulia hapo au labda upo hapo kwa kusafisha macho kwa muda tu!

Mimi kwasasa nipo dar hapa nimekuja kumsalimu bro wangu, nakata matonge ya bure mwezi wa nne huu sasa! nikaribisheni Dar jamani,
Kama ni mdada toa namba zako
 
Habari wadau,
JF member ebu sema ni mkoa gani unapatikana kwa sasa labda upo hapo kikazi au labda ndio umezaliwa hapo na kukulia hapo au labda upo hapo kwa kusafisha macho kwa muda tu!

Mimi kwasasa nipo dar hapa nimekuja kumsalimu bro wangu, nakata matonge ya bure mwezi wa nne huu sasa! nikaribisheni Dar jamani,
Nipo safarini
 
Back
Top Bottom