Habari wadau,
JF member ebu sema ni mkoa gani unapatikana kwa sasa labda upo hapo kikazi au labda ndio umezaliwa hapo na kukulia hapo au labda upo hapo kwa kusafisha macho kwa muda tu!
Mimi kwasasa nipo dar hapa nimekuja kumsalimu bro wangu, nakata matonge ya bure mwezi wa nne huu sasa! nikaribisheni Dar jamani,
JF member ebu sema ni mkoa gani unapatikana kwa sasa labda upo hapo kikazi au labda ndio umezaliwa hapo na kukulia hapo au labda upo hapo kwa kusafisha macho kwa muda tu!
Mimi kwasasa nipo dar hapa nimekuja kumsalimu bro wangu, nakata matonge ya bure mwezi wa nne huu sasa! nikaribisheni Dar jamani,