Upo tayari kuvumilia mateso kiasi gani usimwambie rafiki yako msaliti sehemu ulipoficha shilingi bilioni 2

Upo tayari kuvumilia mateso kiasi gani usimwambie rafiki yako msaliti sehemu ulipoficha shilingi bilioni 2

Sasa mpaka ananifunga kamba na mimi namuangalia tu????
Si kasema anakuekea kilevi kwenye kinywaji au anakuvizia anakupiga na kitu kizito unapoteza faham unaamka teari ameshakufunga kamba??.....someni kabla ya ku comment
 
Si kasema anakuekea kilevi kwenye kinywaji au anakuvizia anakupiga na kitu kizito unapoteza faham unaamka teari ameshakufunga kamba??.....someni kabla ya ku comment
Na wewe usiwe kiherehere kama uharo. Hivyo vilevi vime editiwa baada ya hizo comment.

Halafu ukute ndio wewe mwenyewe muanzisha uzi umekuja kivingine😂😂
 
sijasoma uzi nimeona tu bilion 2 ni ivi nikishakuwa na bilion 2 lazima niwe mafia hakuna atakayenisumbuaa!
 
Ni vitu vinavyotokea kwenye maisha ya kweli, sio kwenye muvi tu.

Umepata kiasi cha jumla ya shilingi bilioni 2, ni pesa za kubadilisha maisha yako kwa kiasi kikubwa sana.

Hio ni siri yako ambayo rafiki yako anaijua kwa juu juu hajui ulipozificha pesa.

Ghafla rafiki anaingiwa tamaa ya usaliti anataka pesa hizo zote ziwe zake.

Anakuja nyumbani kwako kirafiki wala huwezi kumdhania yupo na mawazo yapi, anaweza tumia mbinu kibao kama kukuwekea dawa ya usingizi mzito kwenye kinywaji, kuzuga anaenda chooni kisha anakupiga na kitu kizito kisogoni unapoteza fahamu, n.k.

unaamka ukiwa umefungwa na kamba kwenye kiti.

Huamini unachokiona, uliemdhania rafiki anakuuliza "NAHITAJI HIZO PESA SHILINGI BILIONI 2 ZIPO WAPI ?"

Kuna mateso kama kupigwa vibao vizito, ngumi za usoni, viboko, mikanda, n.k.

Upo tayari kuvumilia mateso kiasi gani kufumba mdomo
Mm nkzpata mzee baba ubest sna na kuku yeyote any way 🤣🤣🤣 vboko mkanda nitaje b2 bdo sjasema labda nikiona kama anataka kuni P dydd ndyo nitamdanganya nmezfcha ndani chn ya sofa ili nilinde kwanza tako langu kiuwanaume kwanza
 
Hapo bora nife kuliko kutoa siri,2b=milion elfu mbili,ni parefu mzee,hapo nakufa na tai yangu shingoni
 
Na wewe usiwe kiherehere kama uharo. Hivyo vilevi vime editiwa baada ya hizo comment.

Halafu ukute ndio wewe mwenyewe muanzisha uzi umekuja kivingine😂😂
Profile picha yako inasema yote mkuu imeanza balbu ukafata ubongo....
 
Zamani kuna mangi mmoja alikuwa anaendesha piki piki daladala likamsukuma pale karibu na DIT basi watu wakaanza kumsaidia kila wanavo jaribu kumsaidia kumuinua analia iiih iiih subirini kaka angu aje akasaidiwa kushikiwa cm akaongea na kaka ake akasema anakuja hayupo mbali, kitendo bila kuchelewa kaka mtu akafika faster na boda basi bwana majeruhi akatia mkono katika koti lake akatoa mabahasha yamejaa pesa akampa kaka ake ndio taratibu za kwenda hospital zikafuata.
 
Back
Top Bottom