DOKEZO Upo uhalifu unaofanywa ndani ya kanisa la Roma jimboni Geita

DOKEZO Upo uhalifu unaofanywa ndani ya kanisa la Roma jimboni Geita

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

tofyo

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2013
Posts
2,755
Reaction score
764
Habari wakuu,

Samahani kwa kuchelewesha habari, kwasababu za kiusalama.

Lakini Taarifa hii iende kwa askofu mkuu wa Jimbo la Geita na mamlaka zingine za serikali. Nyuma ya eneo la kanisa jimboni ipo njia ya mkato kwa wenyeji wa Geita kukatiza kutokea Nyankumbu mbugani kutokea Geita mjini.

Hio njia imekuwepo kwa mazoea kwa miaka mingi Sana, lakini hivi karibuni Kama mwezi hivi umepita, kanisa limeweka walinzi wenye bunduki katika hio njia na wala Hakuna tangazo lolote linalokataza au kuzuia hio njia,

Uhalifu ulipo
Ikitokea ukapita kwanza unaelekezewa mtutu wa bunduki na kuambiwa kaa chini, unaambiwa hii njia hairuhusiwi kupita, na wanakwambia wewe ni mvamizi, na hivyo unatakiwa kulipa Laki tatu(300,000)

Ukishindwa kabisa wanakuomba elfu hamsini 50,000 na ukishindwa unapata kipigo ambacho hujawahi kukutana nacho. Hio haina mahusiano yoyote na uharibifu uliotokea hivi majuzi since kwamba huo ulinzi imekuwepo zaidi mwezi mmoja Sasa. Na walinzi wanasema wapo hapo kwaajili ya kulinda mahindi.

Na Leo nimeweka hii kwasababu tayari muhalifu alieharibu Mali za kanisa amepatikana. Ningeweka kabla ingeonekana kunakitu nataka nihalalishe.

Uhalifu huo wa uharibifu Mimi nimetafsiri Kama LAANA ya kile kinachoendelea kule nyuma ya Jimbo, kanisa lime deploy manyang'anyi badala ya walinzi. Uhalifu huo upo na watu wanalia Sana Kama hamtaki watu wapite, wekeni Bango la tangazo ili watu wawe na Taarifa, na atakae kaidi Basi hatua za kisheria zifuatwe, na sio kulazimisha utoe rushwa ya 50,000 na zaidi au kipigo.

Bila ya shaka Jamii forums ipo kwa ajili ya kufichua uovu.

🤚Naapa ya kwamba ushuhuda ninao utoa NI kweli tupu. Ee Mwenyezi Mungu nisaidie.
 
Habari wakuu,

Samahani kwa kuchelewesha habari, kwasababu za kiusalama.

Lakini Taarifa hii iende kwa askofu mkuu wa Jimbo la Geita na mamlaka zingine za serikali. Nyuma ya eneo la kanisa jimboni ipo njia ya mkato kwa wenyeji wa Geita kukatiza kutokea Nyankumbu mbugani kutokea Geita mjini.

Hio njia imekuwepo kwa mazoea kwa miaka mingi Sana, lakini hivi karibuni Kama mwezi hivi umepita, kanisa limeweka walinzi wenye bunduki katika hio njia na wala Hakuna tangazo lolote linalokataza au kuzuia hio njia,

Uhalifu ulipo
Ikitokea ukapita kwanza unaelekezewa mtutu wa bunduki na kuambiwa kaa chini, unaambiwa hii njia hairuhusiwi kupita, na wanakwambia wewe ni mvamizi, na hivyo unatakiwa kulipa Laki tatu(300,000)

Ukishindwa kabisa wanakuomba elfu hamsini 50,000 na ukindwa unapata kipigo ambacho hujawahi kukutana nacho. Hio haina mahusiano yoyote na uharibifu uliotokea hivi majuzi since kwamba huo ulinzi imekuwepo zaidi mwezi mmoja Sasa. Na walinzi wanasema wapo hapo kwaajili ya kulinda mahindi.

Na Leo nimeweka hii kwasababu tayari muhalifu alieharibu Mali za kanisa ameptikana. Ningeweka kabla ingeonekana kunakitu nataka NI halalishe.

Uhalifu huo wa uharibifu Mimi nimetafsiri Kama LAANA ya kile kinachoendelea kule nyuma ya Jimbo, kanisa lime deploy manyang'anyi badala ya walinzi. Uhalifu huo upo na watu wanalia Sana Kama hamtaki watu wapite, wekeni Bango la tangazo ili watu wawe na Taarifa, na atakae kaidi Basi hatua za kisheria zifuatwe, na sio kulazimisha utoe rushwa ya 50,000 na zaidi au kipigo.

Bila ya shaka jamii forum ipo kwa ajili ya kufichua uovu.

🤚Naapa ya kwamba ushuhuda ninao utoa NI kweli tupu. Ee Mwenyezimungu nisaidie.
Quote ReplyReport
 
Usishangae, historian inaonyesha wakati wa Zama za giza , Roman Catholic iliua Watu Milion na mamilioni waloifia Dini na kumpenda Yesu Kwa Moyo wao.

Kipindi hiko Rumi ndio Mtawala wa Dunia, mateso hayo yalikua kukomeshwa mwaka 1798 baada ya Papa, kukamatwa na majeshi ya Ufaransa na kuuwawa.
 
Mtoa mada kama upo honestly na mada yako ,nini wenzio na waathiriwa wengine wamefanya to remedy the situation?

Kwani hiyo njia inapita kwenye private property? Kama sio why walinzi wazuie wananchi kupita hapo? Kama njia ipo nje ya private property kinachotakiwa ni push push push back, including kuchoma moto hayo mahindi, ni lazima na wao wa feel pressure kinyume chake ni kulalama humu
 
Umetoa ushauri mzuri. Waweke tangazo rasmi la kuzuia watu kupita hilo eneo, badala ya kuvizia wapita njia ili wawapige na pia kuwatoza faini kandamizi.
 
Usishangae, historian inaonyesha wakati wa Zama za giza , Roman Catholic iliua Watu Milion na mamilioni waloifia Dini na kumpenda Yesu Kwa Moyo wao.

Kipindi hiko Rumi ndio Mtawala wa Dunia, mateso hayo yalikua kukomeshwa mwaka 1798 baada ya Papa, kukamatwa na majeshi ya Ufaransa na kuuwawa.
Bro ni utawala wa RUMI au RC ndio walifanya huo uhuni!?
 
Bro ni utawala wa RUMI au RC ndio walifanya huo uhuni!?
Haohao RC ndo Rumi wenyewe hao !!

Kilichofanyika Leo hii.. Ile Rumi ya Kipagan, iliamua kuingia mkataba na baadhi ya Wakirsto ili iendane na wananchi wanaosali na Wasosali.


Kwani, Hujiulizi kwann PAPA anawakilisha Mamlaka ya Dini na Mamlaka ya Kiserikali??.

Hujiulizi kwann RC Wana Mabalozi wao Dunia nzima?
 
Si ungeenda kushtaki kwa paroko labda hana hizo taarifa
 
Haohao RC ndo Rumi wenyewe hao !!

Kilichofanyika Leo hii.. Ile Rumi ya Kipagan, iliamua kuingia mkataba na baadhi ya Wakirsto ili iendane na wananchi wanaosali na Wasosali.


Kwani, Hujiulizi kwann PAPA anawakilisha Mamlaka ya Dini na Mamlaka ya Kiserikali??.

Hujiulizi kwann RC Wana Mabalozi wao Dunia nzima?
Bado unang'ang'aniza jambo.Jiweke huru na kweli kimtazamo.
 
Habari wakuu,

Samahani kwa kuchelewesha habari, kwasababu za kiusalama.

Lakini Taarifa hii iende kwa askofu mkuu wa Jimbo la Geita na mamlaka zingine za serikali. Nyuma ya eneo la kanisa jimboni ipo njia ya mkato kwa wenyeji wa Geita kukatiza kutokea Nyankumbu mbugani kutokea Geita mjini.

Hio njia imekuwepo kwa mazoea kwa miaka mingi Sana, lakini hivi karibuni Kama mwezi hivi umepita, kanisa limeweka walinzi wenye bunduki katika hio njia na wala Hakuna tangazo lolote linalokataza au kuzuia hio njia,

Uhalifu ulipo
Ikitokea ukapita kwanza unaelekezewa mtutu wa bunduki na kuambiwa kaa chini, unaambiwa hii njia hairuhusiwi kupita, na wanakwambia wewe ni mvamizi, na hivyo unatakiwa kulipa Laki tatu(300,000)

Ukishindwa kabisa wanakuomba elfu hamsini 50,000 na ukishindwa unapata kipigo ambacho hujawahi kukutana nacho. Hio haina mahusiano yoyote na uharibifu uliotokea hivi majuzi since kwamba huo ulinzi imekuwepo zaidi mwezi mmoja Sasa. Na walinzi wanasema wapo hapo kwaajili ya kulinda mahindi.

Na Leo nimeweka hii kwasababu tayari muhalifu alieharibu Mali za kanisa amepatikana. Ningeweka kabla ingeonekana kunakitu nataka nihalalishe.

Uhalifu huo wa uharibifu Mimi nimetafsiri Kama LAANA ya kile kinachoendelea kule nyuma ya Jimbo, kanisa lime deploy manyang'anyi badala ya walinzi. Uhalifu huo upo na watu wanalia Sana Kama hamtaki watu wapite, wekeni Bango la tangazo ili watu wawe na Taarifa, na atakae kaidi Basi hatua za kisheria zifuatwe, na sio kulazimisha utoe rushwa ya 50,000 na zaidi au kipigo.

Bila ya shaka Jamii forums ipo kwa ajili ya kufichua uovu.

🤚Naapa ya kwamba ushuhuda ninao utoa NI kweli tupu. Ee Mwenyezi Mungu nisaidie.
uhalifu uliofanywa kanisani, report inasema alikuwa mlevi wa kawaida. safi sana
Kanisa linahamasisha watu kunywa, wacha lione matokeo kidogo ya ulevi. shenzi zao
 
Habari wakuu,

Samahani kwa kuchelewesha habari, kwasababu za kiusalama.

Lakini Taarifa hii iende kwa askofu mkuu wa Jimbo la Geita na mamlaka zingine za serikali. Nyuma ya eneo la kanisa jimboni ipo njia ya mkato kwa wenyeji wa Geita kukatiza kutokea Nyankumbu mbugani kutokea Geita mjini.

Hio njia imekuwepo kwa mazoea kwa miaka mingi Sana, lakini hivi karibuni Kama mwezi hivi umepita, kanisa limeweka walinzi wenye bunduki katika hio njia na wala Hakuna tangazo lolote linalokataza au kuzuia hio njia,

Uhalifu ulipo
Ikitokea ukapita kwanza unaelekezewa mtutu wa bunduki na kuambiwa kaa chini, unaambiwa hii njia hairuhusiwi kupita, na wanakwambia wewe ni mvamizi, na hivyo unatakiwa kulipa Laki tatu(300,000)

Ukishindwa kabisa wanakuomba elfu hamsini 50,000 na ukishindwa unapata kipigo ambacho hujawahi kukutana nacho. Hio haina mahusiano yoyote na uharibifu uliotokea hivi majuzi since kwamba huo ulinzi imekuwepo zaidi mwezi mmoja Sasa. Na walinzi wanasema wapo hapo kwaajili ya kulinda mahindi.

Na Leo nimeweka hii kwasababu tayari muhalifu alieharibu Mali za kanisa amepatikana. Ningeweka kabla ingeonekana kunakitu nataka nihalalishe.

Uhalifu huo wa uharibifu Mimi nimetafsiri Kama LAANA ya kile kinachoendelea kule nyuma ya Jimbo, kanisa lime deploy manyang'anyi badala ya walinzi. Uhalifu huo upo na watu wanalia Sana Kama hamtaki watu wapite, wekeni Bango la tangazo ili watu wawe na Taarifa, na atakae kaidi Basi hatua za kisheria zifuatwe, na sio kulazimisha utoe rushwa ya 50,000 na zaidi au kipigo.

Bila ya shaka Jamii forums ipo kwa ajili ya kufichua uovu.

🤚Naapa ya kwamba ushuhuda ninao utoa NI kweli tupu. Ee Mwenyezi Mungu nisaidie.
Huko hakuna OCS , OCD ?..

Nao wanasemaje, hakuna Mwenyekiti wa kijiji, hakuna Diwani?, Je ofisi ya Kanisa nayo..

Ni vyema wafikiwe hao kwani ni rahisi , OTHERWISE KUNA MENGINE ZAIDI YA HAYO.

AU HILO NI ENEO LA KANISA NA MNALAZIMISHA KUPITA WAKATI WENYEWE HAWATAKI. Maana umesema mna mazoea ya kupita hapo huko Nyuma
 
Usishangae, historian inaonyesha wakati wa Zama za giza , Roman Catholic iliua Watu Milion na mamilioni waloifia Dini na kumpenda Yesu Kwa Moyo wao.

Kipindi hiko Rumi ndio Mtawala wa Dunia, mateso hayo yalikua kukomeshwa mwaka 1798 baada ya Papa, kukamatwa na majeshi ya Ufaransa na kuuwawa.
Acha uongo,huo uongo kawaambie wajinga wenzako,sisi waerevu huwezi kutudanganya.
 
Back
Top Bottom