Upo uwezekano mkubwa mashabiki wa Yanga wakamzomea Haji Manara siku ya Mwananchi kutokana na mapenzi yao kwa Ally Kamwe

Upo uwezekano mkubwa mashabiki wa Yanga wakamzomea Haji Manara siku ya Mwananchi kutokana na mapenzi yao kwa Ally Kamwe

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Haji Manara leo amejikweza sana kwenye redio yao ya unafiki na umbea mwingi akidai kuwa yeye ndio msemaji wa Yanga na mkataba wake unasema hivyo, ametamba sana na kuitisha Simba isipeleke timu tarehe 8 akidai watafanya mauaji, akaahidi kuwa endapo Simba hatofungwa chini ya bao 4 atarudi pale kwenye redio yake ya unafiki kutoa milioni moja moja kwa watangazaji wake ili kutimiza ahadi.

Hata hivyo alikuwa anajaribu kunogesha na kuwaaminisha mashabiki na wanachama kuwa yeye ana ushawishi kuliko Ally Kamwe.

Kimsingi hakuja na jipya, watu wanamwelewa sana Ally Kamwe kuliko yeye.Yeye haaminiki kabisa kabisa ingawa yuko hapo kwa ajili ya GSM ambao ndio wanamfanya yeye na Zaylisa waende chooni.

Pamoja na kuwa siku hiyo kutakuwa na washambenga wenzake akina Kitenge na Zembwela lakini hiyo haiondoi ukweli kuwa wanayanga pamoja na kuwa sasa hivi ni kama 'wameolewa' na mdhamini kutokana na kukosa nguvu ya kumpinga kunakosababishwa na matokeo uwanjani na usajili wanaoufanya tofauti na msomi Magoma Shaaban bado wanayanga wanavutiwa sana na Ally Kamwe.

Siku ya mwananchi watu wamepanga kushika mabango kuuomba uongozi waendelee na Ally Kamwe, huyo Manara akaisemee GSM.
 
Haji Manara leo amejikweza sana kwenye redio yao ya unafiki na umbea mwingi akidai kuwa yeye ndio msemaji wa Yanga na mkataba wake unasema hivyo, ametamba sana na kuitisha Simba isipeleke timu tarehe 8 akidai watafanya mauaji, akaahidi kuwa endapo Simba hatofungwa chini ya bao 4 atarudi pale kwenye redio yake ya unafiki kutoa milioni moja moja kwa watangazaji wake ili kutimiza ahadi.

Hata hivyo alikuwa anajaribu kunogesha na kuwaaminisha mashabiki na wanachama kuwa yeye ana ushawishi kuliko Ally Kamwe.

Kimsingi hakuja na jipya, watu wanamwelewa sana Ally Kamwe kuliko yeye.Yeye haaminiki kabisa kabisa ingawa yuko hapo kwa ajili ya GSM ambao ndio wanamfanya yeye na Zaylisa waende chooni.

Pamoja na kuwa siku hiyo kutakuwa na washambenga wenzake akina Kitenge na Zembwela lakini hiyo haiondoi ukweli kuwa wanayanga pamoja na kuwa sasa hivi ni kama 'wameolewa' na mdhamini kutokana na kukosa nguvu ya kumpinga kunakosababishwa na matokeo uwanjani na usajili wanaoufanya tofauti na msomi Magoma Shaaban bado wanayanga wanavutiwa sana na Ally Kamwe.

Siku ya mwananchi watu wamepanga kushika mabango kuuomba uongozi waendelee na Ally Kamwe, huyo Manara akaisemee GSM.
Kujikweza siyo jambo jema. Katika harakati zake za kujikweza na kujipa umuhimu, Manara ameishia kuambulia kuwa mtu anayechukiwa zaidi pale Yanga kwa hivi sassa.
TFF waliisaidia sana Yanga kwa kumfungia.
Simba mchukueni tu mtu wenu, sihui mliwazaje kuishi naye, mnastahili pongezi kwakweli
 
Sisi wanayanga tuna imani nae pamoja na ALLY.Sanda mjipange tu tarehe 8 siyo mbali achanane na Propaganda
 
Back
Top Bottom