Upo vipi ufanisi wa kutumia dawa hii katika kupunguza matumizi ya pombe...

Upo vipi ufanisi wa kutumia dawa hii katika kupunguza matumizi ya pombe...

Mwizukulu mgikuru

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2021
Posts
5,715
Reaction score
13,739
Nataka nirudi kama zamani , japo kazi ninayoifanya ni ya kutumia akili sana, kwa hiyo kuna muda nakuwa nahitaji utulivu ili kazi niifanye kwa ufanisi...nilijiingiza kwenye uraibu wa kutumia pombe Kali ( konyagi) kwangu Mimi nikinywa pombe nakuwa Na hamu ya kula Na hata kunenepa Huwa nanenepa sana, Ila napata lawama sana kutoka kwa watu wanaonipenda..
Screenshot_20241028-110003.png
17301040057501269376845.jpg
 
Nina zaidi ya miaka kumi tangu niache uraibu wa pombe, kuacha pombe hakuhitaji dawa wala any tricks, ni unafanya maamuzi magumu na uwe tayari kupambana na kila hali itakayoibuka, ikiwemo reactions za mwili, kutokupata usingizi na mateso mengine kwa miezi kama mitatu hivi.

Vijisababu vya unywaji wa pombe huwa vingi ikiwemo hiyo ya eti kusaka utulivu, ila deep inside yourself you know the truth.
Pombe ni shetani kabisa, huwa nashangaa dini zinazosema namna watalewa sana kule peponi huku wakigegeda mabikira, hayo ni mafundisho ya kishetani kabisa.

Pokeeni wokovu muache huo utumwa wa pombe.
 
Back
Top Bottom