Tunza beach Iko maeneo ganiKwa Tunza Beach
Napata upepo mwnana wa Victoria
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunza beach Iko maeneo ganiKwa Tunza Beach
Napata upepo mwnana wa Victoria
Huko ndo mnakotimiza zile takwimu za wanawake kuongea maneno 20,000 kwa sikuMimi nipo saloon naburudika na maumbea tu hapa.
Yeah,na nimeikanda kabisa mkuu ...maana niliingia choo cha kiume😪Kwahiyo engine inapigwa upepo tu sasa hivi
Sawa,nicall utasikia utulivu wa sauti yangu ndiyo yatakuwa majibu tosha mkuuHongera
Tuone akili na mwili vilivyotulia😁
kabsa kabsaKikubwa huvunji sheria ni hak yako kutoa maoni
Wakujipa furaha mwenyew,hakuna atakaekupa furaha,pamoja mkuuuNimetulia zangu home nashushia wine taratibuu... huku naangalia tv shows mbalimbali [emoji1635][emoji1635] , ila tuache utani maisha mafupi sana tusiache kujipenda na kukumbuka kuishi...
Hii tumeenda sawa mkuu✊Nipo home navuta muda jf nikachek gem ya man utd vs totenham
Pamoja mkuu, man utd atashinda?Hii tumeenda sawa mkuu✊