The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
Sadaka gani ipo ngorongoro? Upunguani unakusumbua hakuna unachojuaNjia kuu ni sadaka uliza mkatoliki yeyote
Kanisa katoliki ni zaidi ya Mangi kwenye kudai pesa za sadaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sadaka gani ipo ngorongoro? Upunguani unakusumbua hakuna unachojuaNjia kuu ni sadaka uliza mkatoliki yeyote
Kanisa katoliki ni zaidi ya Mangi kwenye kudai pesa za sadaka
SOMA HII TAARIFA uelewe kama Dr. Kitima ni kipofu yeye au wewe. Upofu huo ni upofu wa akili, ubongo. Wewe ni kapuku tu.1. Padri Elipidius Rwegoshora wa Bukoba kashiriki kumuua Albino, Padri Charles Kitima hajamuona ila anaona Wamasai Ngorongoro.
2. Padri Bunda anaibia masista wa raia wa Kihispania kwenda kufungua baa na kamari, ila Padri Charles Kitima haoni kukemea anaona Wamasai Ngorongoro.
3. Padri Stanslaus Sala wa Jimbo la Moshi kalawiti hujamuona ila unaona nchi imekuwa mbaya kuishi.
Huu upofu wako mtumishi wa kanisa ni wa asili, wa ukubwani au wa kuamua au wa kulipiwa? 🤔
kwahiyo hayo masuala uloyaibua ambayo yanashughulikiwa na Askofu mahalia wa jimbo husika, hayajafanyiwa kazi ama umeamua tu kutia huruma ili mwingine achukiwe?🐒1. Padri Elipidius Rwegoshora wa Bukoba kashiriki kumuua Albino, Padri Charles Kitima hajamuona ila anaona Wamasai Ngorongoro.
2. Padri Bunda anaibia masista wa raia wa Kihispania kwenda kufungua baa na kamari, ila Padri Charles Kitima haoni kukemea anaona Wamasai Ngorongoro.
3. Padri Stanslaus Sala wa Jimbo la Moshi kalawiti hujamuona ila unaona nchi imekuwa mbaya kuishi.
Huu upofu wako mtumishi wa kanisa ni wa asili, wa ukubwani au wa kuamua au wa kulipiwa? 🤔
Wewe ndiyo empty head kabisa. Kwa hiyo kwa sababu kuna Mapadri wachache waovu, ndiyo kumfanye huyo Padri Kitima asiyakemee maovu yenu!!1. Padri Elipidius Rwegoshora wa Bukoba kashiriki kumuua Albino, Padri Charles Kitima hajamuona ila anaona Wamasai Ngorongoro.
2. Padri Bunda anaibia masista wa raia wa Kihispania kwenda kufungua baa na kamari, ila Padri Charles Kitima haoni kukemea anaona Wamasai Ngorongoro.
3. Padri Stanslaus Sala wa Jimbo la Moshi kalawiti hujamuona ila unaona nchi imekuwa mbaya kuishi.
Huu upofu wako mtumishi wa kanisa ni wa asili, wa ukubwani au wa kuamua au wa kulipiwa? 🤔
Comrade, Kuna mtu ameihack simu yako!! Au hufahamu kama aliyeiuza hiyo Wilaya yote kwa Waarabu ni mama yako kipenzi!kwahiyo hayo masuala uloyaibua ambayo yanashughulikiwa na Askofu mahalia wa jimbo husika, hayajafanyiwa kazi ama umeamua tu kutia huruma ili mwingine achukiwe?🐒
so,
unatamani baraza la maaskofu kukutana kila linapotokea tukio la mtumishi wa kanisa mahali, wakati kuna askofu muandamizi eneo husika 🐒
suala la ngorongoro ni la jumla waathirika ni specific ethnic group sio mtu binafsi ndio maana hata baraza la maaskofu linaweza kuketi chini na kuona kama ni sawa au sio sawa kinachoendelea huko....
baraza likikaa kimya, kesho inaweza kutokea kwa ethnic group nyingi na ikawa hatari zaidi, 🐒
so,
ni muhimu kuelewa vyema mambo haya....
Ona hili senge sasa.
ni muhimu sana maeneo asilia ya hifadhi yakatunzwa vyema. na huko ngorongoro kanuni za kisheria na kikatiba zimechukuliwa vyema, ni vizuri eneo hilo likabaki wazi kadiri ya sheria inavyoelekeza...Comrade, Kuna mtu ameihack simu yako!! Au hufahamu kama aliyeiuza hiyo Wilaya yote kwa Waarabu ni mama yako kipenzi!
Aondoe kwanza boriti iliyo kwenye jicho lake kabla ya kuona kibanzi kilicho kwenye jicho la mwenzake.Ulitaka afanyaje?
Mbona hii argument yako ya sadaka iko very low, ndio uwezo wako wa kuchakata mambo ulivyo?Waislamu ngorongoro masai wapo ila sababu huwa wauslamu hawakusany9 sadaka misikitini ndio maana hujaskia Mufti akiongea .Katoliki waathirika wa sadaka nfio wanaongea
Huyo ni kampeni meneja wa CHADEMA Uchaguzi wa 2020 siku zote ni mzee wa pingapinga hawezi kuona hayo yanayolihusu kanisa anakimbilia kunyooshea kidole yanayotekelezwa na serikali.1. Padri Elipidius Rwegoshora wa Bukoba kashiriki kumuua Albino, Padri Charles Kitima hajamuona ila anaona Wamasai Ngorongoro.
2. Padri Bunda anaibia masista wa raia wa Kihispania kwenda kufungua baa na kamari, ila Padri Charles Kitima haoni kukemea anaona Wamasai Ngorongoro.
3. Padri Stanslaus Sala wa Jimbo la Moshi kalawiti hujamuona ila unaona nchi imekuwa mbaya kuishi.
Huu upofu wako mtumishi wa kanisa ni wa asili, wa ukubwani au wa kuamua au wa kulipiwa? 🤔
Huyu jamaa hates establishments1. Padri Elipidius Rwegoshora wa Bukoba kashiriki kumuua Albino, Padri Charles Kitima hajamuona ila anaona Wamasai Ngorongoro.
2. Padri Bunda anaibia masista wa raia wa Kihispania kwenda kufungua baa na kamari, ila Padri Charles Kitima haoni kukemea anaona Wamasai Ngorongoro.
3. Padri Stanslaus Sala wa Jimbo la Moshi kalawiti hujamuona ila unaona nchi imekuwa mbaya kuishi.
Huu upofu wako mtumishi wa kanisa ni wa asili, wa ukubwani au wa kuamua au wa kulipiwa? 🤔
1. Padri Elipidius Rwegoshora wa Bukoba kashiriki kumuua Albino- Charles Kitima afanye nini hapa ikiwa padri tayari amekamatwa na polisi?Aondoe kwanza boriti iliyo kwenye jicho lake kabla ya kusoma kibanzi kilicho kwenye jicho la mwenzake.
Sijaelewa unataka kipi kielezewe kinyooke?1. Padri Elipidius Rwegoshora wa Bukoba kashiriki kumuua Albino- Charles Kitima afanye nini hapa ikiwa padri tayari amekamatwa na polisi?
2. Padri Bunda anaibia masista wa raia wa Kihispania kwenda kufungua baa na kamari- Wakatoliki hawana shida na Bar au kamari, kwao pombe au betting sio dhambi. Hao masista raia wa Hispania wameibwaje kufungua Bar? Ni wahadumu wa Bar ya padri? Hiyo Bar inaitwaje?
3. Padri Stanslaus Sala wa Jimbo la Moshi kalawiti- Huyo padri aliyelawiti hajakamatwa na polisi? Kama hajakamatwa upande wa waliolawitiwa wanasema Kanisa linamkingia huyo padri dhidi ya mkono wa sheria wa Jamuhuri
Elezeni mambo yanyooke kama suala la Wamasai kwa sababu sio wote hapa ni Wakatoliki au sio wengi wana habari za makanisa yote ya Kikatoliki nchi hii.
Na Mandojo kauwawa akiwa kaenda kusali kanisa Katoliki Dodoma, kauwawa na waumini na Padri.1. Padri Elipidius Rwegoshora wa Bukoba kashiriki kumuua Albino, Padri Charles Kitima hajamuona ila anaona Wamasai Ngorongoro.
2. Padri Bunda anaibia masista wa raia wa Kihispania kwenda kufungua baa na kamari, ila Padri Charles Kitima haoni kukemea anaona Wamasai Ngorongoro.
3. Padri Stanslaus Sala wa Jimbo la Moshi kalawiti hujamuona ila unaona nchi imekuwa mbaya kuishi.
Huu upofu wako mtumishi wa kanisa ni wa asili, wa ukubwani au wa kuamua au wa kulipiwa? 🤔
Kwa taarifa Yako pale ngorongoro ni walutheran wale na wengi wamekuwa walokoleSadaka kanisa katoliki parokia ngorongoro zimepungua baada ya masai kuhamishwa
Lazima apige yowe
Ina maana hao waliobaki wakiondoka makanisa katoliki yanatakiwa kufungwa ngorongoro
Conflict of interest
Hana hoja.Jibu hoja zake kwanza. Hayo mambo mengine Kanisa katoliki lina namna ya kuyasolve ndani ya majimbo yao.
Huyu ni katibu wa baraza maaskofu anawakilisha maaskofu Taifa.
Hayo ya mapadre individual ni ya maaskofu wa majimbo husika na wanajua jinsi ya kuyasolve.
Kanisa ni moja takatifu katoliki na mitumee