Tomaa Mireni
JF-Expert Member
- Sep 8, 2015
- 2,395
- 2,391
Baadhi ya watu wanaamini upole ni udhaifu.
Upole ni nini? Upole ni sifa muhimu inayomtafsiri mtu anaechukulia mambo kwa uzito bila kukurupuka. Mpenda haki, asiependa lawama.
Mungu mwenyewe ni mpole ndio maana hajachukua hatua ya kuwaondoa waovu mapema,amewapa muda wa kutafakari.
Musa alikua mwanadamu mpole zaidi duniani na hakujawahi kutokea tena. Upole sio udhaifu.
Upole ni nini? Upole ni sifa muhimu inayomtafsiri mtu anaechukulia mambo kwa uzito bila kukurupuka. Mpenda haki, asiependa lawama.
Mungu mwenyewe ni mpole ndio maana hajachukua hatua ya kuwaondoa waovu mapema,amewapa muda wa kutafakari.
Musa alikua mwanadamu mpole zaidi duniani na hakujawahi kutokea tena. Upole sio udhaifu.