Vichekesho
Member
- Jun 20, 2024
- 66
- 3,277
Nijuavyo mimi ma professional wakweli hawatakagi kupangiwa na wanasiasa hasa kama kinachopangwa ni kinyume na taaluma yao.
Kwanini polisi wakiambiwa kamata wanakamata kweli wakati wanajua wazi kuwa ni kinyume na maadili ya kazi yao? Ilibidi Mkuu wa Wilaya akiamuru kamata huyu weka ndani, askari aseme sikamati mpaka nijue kosa lake.
Halafu baada ya hapo uongozi wa polisi unafanya press conference kulaani wateule wanao jichukulia sheria mkononi na kuwapnya kuwa wakirudia watatiwa nguvuni.
Mwisho wa ndoto.
Kwanini polisi wakiambiwa kamata wanakamata kweli wakati wanajua wazi kuwa ni kinyume na maadili ya kazi yao? Ilibidi Mkuu wa Wilaya akiamuru kamata huyu weka ndani, askari aseme sikamati mpaka nijue kosa lake.
Halafu baada ya hapo uongozi wa polisi unafanya press conference kulaani wateule wanao jichukulia sheria mkononi na kuwapnya kuwa wakirudia watatiwa nguvuni.
Mwisho wa ndoto.