RoadLofa
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 1,509
- 3,313
Imekuwa ni utaratibu wa chuo cha uhasibu Arusha kukata kiasi cha pesa cha chakula na matumizi mengine(Boom) kwa wanufaika wake kila mara wanapotakiwa kuwapa kwa muda wa kila baada ya miezi miwili, ambacho ni kiasi cha tsh 500,000 kwa kila baada ya miezi miwili.
Lakini wamekuwa wanawacheleweshea kwa kuvusha siku zaidi ya miezi miwili na wanapokuja kuwapa, huwapa kwa kuhesabu siku zilizobaki kumaliza miezi miwili, bila kujali kama wamewacheleweshea Boom zao na kuna muda wameishi kwa pesa zao.
Kwa mfano kwa mwezi huu Boom wametoa leo kwa kuwakata 70,000 Tsh kila mwanafunzi kwenye 500,000 Tsh ambazo alitakiwa kupewa kwahiyo kila mwanafunzi amepewa 433,000.
Kwanini wanashindwa kuwapa wanafunzi pesa zao wakati ni pesa za walipa kodi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Na haijulikani ni maagizo kutoka juu au wanakata pesa za students kwa ajili ya Projects zao za ujenzi chuoni.
Naomba wanafunzi wasaidiwe kupaza sauti ili taarifa iwafikie watu wanaoweza kuwatetea wanafunzi dhidi ya uonevu🙏
Lakini wamekuwa wanawacheleweshea kwa kuvusha siku zaidi ya miezi miwili na wanapokuja kuwapa, huwapa kwa kuhesabu siku zilizobaki kumaliza miezi miwili, bila kujali kama wamewacheleweshea Boom zao na kuna muda wameishi kwa pesa zao.
Kwa mfano kwa mwezi huu Boom wametoa leo kwa kuwakata 70,000 Tsh kila mwanafunzi kwenye 500,000 Tsh ambazo alitakiwa kupewa kwahiyo kila mwanafunzi amepewa 433,000.
Kwanini wanashindwa kuwapa wanafunzi pesa zao wakati ni pesa za walipa kodi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Na haijulikani ni maagizo kutoka juu au wanakata pesa za students kwa ajili ya Projects zao za ujenzi chuoni.
Naomba wanafunzi wasaidiwe kupaza sauti ili taarifa iwafikie watu wanaoweza kuwatetea wanafunzi dhidi ya uonevu🙏