Upotoshaji huweza kupelekea Wananchi kutofuata ushauri wa kitabibu hivyo kuathiri afya zao, Thibitisha Taarifa kabla ya kuiamini

Upotoshaji huweza kupelekea Wananchi kutofuata ushauri wa kitabibu hivyo kuathiri afya zao, Thibitisha Taarifa kabla ya kuiamini

JamiiCheck

Member
Joined
Nov 3, 2023
Posts
98
Reaction score
122
Uvumi wa Taarifa zisizo za Kweli kuhusu Afya unaweza kuwafanya Wananchi kupuuza ushauri wa wataalamu, hali inayoweza kusababisha madhara makubwa kwa afya za Watu.

Hakikisha Unathibitisha Taarifa zinazogusa Sekta ya Afya kabla ya kuziamini ili Kuhakikisha usalama wako na Jamii kwa ujumla
 
📌
how-to-spot-fake-news.jpg
 
Back
Top Bottom