kiamangwana
Senior Member
- Feb 28, 2015
- 175
- 89
Hahahahaha! Ungechelewa sekunde tu angeshakuwa kwenye nafasi yakeKwani nani anayesema Samata ni bora kwa wachezaji wote
wakutoka Afrika?.
Samahani joseverest,nimechukua nafasi yako kwa muda tu!!.
Joseverest vp leo unachungulia pilau kwanza?Kwani nani anayesema Samata ni bora kwa wachezaji wote
wakutoka Afrika?.
Samahani joseverest,nimechukua nafasi yako kwa muda tu!!.
Na Samara sio mtanzania wa kwanza kucheza ulaya. Wapo kina Sunday Manara nk.Sio siri samata yuko juu ki mpira,lkn sio kweli kuwa samata ni bora kwa kuwa mchezaji bora wa afrika kuliko wanyama,ukweli ni huu, SAMATA ni mchezaji bora wa afrika kwa wachezaji wanaocheza ligi za ndani (afrika)na sio mchezaji bora wa afrika kwa wachezaji wote wa kiafrika,na ushindi wa SAMATA hauhusishi nguli wa soka afrika kama AUBEMAYANG,MOHAMED SALAH nk,
Kama unaamini kila kilicho bora kiko England basi kagombee uongozi FA ya huko! TFF wafuata nini????Samata mchezaji wa kawaida tu
Angekuwa anajua zaidi angekuwa ameahasogea hata scotland kidogo kuelekea EPL
Ni aibu kwa mtanzania mzima kujivunia mchezaji anayechezea lig ya ubelgiji,
Najisikia aibu
One day nitagombea urais TFF,
Kila wilaya nitaweka academy,
Kila shule za msing nitaweka ligi
Nitaweka lig za secondary had chuo,
After 5yrs nitapata vipaji ving vitakavyofuta aibu hii
NARUDIA NI AIBU KUSIMAMA MBELE ZA WATU NA KUJISIFIA SAMATA,
Na ndo maana katajwa kwenye wimbo maarufu sasa wa Acha maneno weka muziki. Niambie kama pana mwanamuziki hapa katika wimbo wake wowote kamtaja Wanyama.Samatta ni mchezaji bora wa kitanzania
Sijasema bora kipo englandKama unaamini kila kilicho bora kiko England basi kagombee uongozi FA ya huko! TFF wafuata nini????
Hana bundle nini leo!!!Joseverest [emoji23][emoji23][emoji23]