Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
- Thread starter
-
- #21
Mungu atusaidie! Tumefanywa wajinga pakubwaThat's too serious.....
Muda huu nimepita nyumba ya jirani nimekuta kundi la WANAWAKE wa ushirika wa kidini wanafanya kikao chao....nilipowapita nilisikia mwongoza kikao akifafanua kuhusu CHANJO YA UVIKO na uwepo wa "666" ndani yake....nilipunguza mwendo....Yule mwanamke kiongozi alikuwa anaongea kwa kujiamini kabisa kuwa SERIKALI inataka KUWAFANYA mateka wa shetani huyo.....daah it's havoc kwa kweli......
Brainwashing yao si ya kitoto.....
Umetupa ushauri kuntu kabisa.....
Aaaamin Aaamin KomrediπMungu atusaidie! Tumefanywa wajinga pakubwa
Mods and Wachangiaji, ninachoandika hapa ni kitu kikubwa na nashauri tahadhari ichukuliwe mapema. It is very serious.
Siku ya Jana nikiwa kwenye majukumu yangu ya kutafuta riziki, nilipaswa kufika kwenye shule X huko kanda ya MAGHARIBI ili kuonana na Mkuu wa shule kwa akili issue Fulani.
Nilikua na kijana ambaye ndio aliyekua Mwenyeji wangu kwa eneo lile. Yule kijana alinipokea bag langu ambalo lilikua na laptop, kikoi cha kimasai na documents kadhaa hivyo kulifanya lionekane kutuna.
Wakati tunaingia eneo la shule ile, ni shule ya msingi ilikua ni muda wa SAA NNE asubuhi ambapo walikua mapumziko. Niseme ukweli, sikujua kitu, kumbe watoto walikua wakitimua mbio wakidhani tumeenda shuleni "kuwachanja" chanjo ya COVID-19.
Mwalimu mmoja wa kike alianza kucheka na kutujulisha kuwa watoto wale walikua wanakimbia wakidhani tumeenda pale kwa ajili ya chanjo na kwamba inaonekana Wazazi wao wamewaonya watoto wao kutokukubali kupata chanjo kwa madai kwamba watakufa.
Niliingia ofisni kwa Mkuu wa shule na nilimweleza masikitiko yangu, hata hivyo Mwalimu wa zamu aligonga kengele na kuwakusanya tena maana walishakimbilia porini.
Wakati tunaondoka pale shuleni, nje kidogo ya shule kuna Wenyeji wa pale vijana na watu wazima walikua wakippakia mizigo (nadhani ni magunia ya maharage au mahindi) basi waliitana wakaanza kuturushia maneno ya dhihaka na kejeli huku wakitutisha kwamba, Ole wetu kama tungewapa chanjo watoto wao.
Kumbe walikua wakifuatilia tukio lile kwa mbali na walikua wakiongea kilugha.
Wito wangu kwa serikali, HII BRAINWASH ni kubwa sana na huenda ikaja kuleta madhara kwa wahudumu wetu wa afya, serikali iwaelimishe watu wake na WAPOTOSHAJI wachukuliwe hatua.
Hiki nilichoandika ni serious na ni tukio halisi
Unakuta mzee wa miaka 70 anasema wanataka kutuchanja ili kutuharibu vizazi tusizae,unaishia kushangaa mzee wa miaka 70 anawaza kuzaa,Mods and Wachangiaji, ninachoandika hapa ni kitu kikubwa na nashauri tahadhari ichukuliwe mapema. It is very serious.
Siku ya Jana nikiwa kwenye majukumu yangu ya kutafuta riziki, nilipaswa kufika kwenye shule X huko kanda ya MAGHARIBI ili kuonana na Mkuu wa shule kwa akili issue Fulani.
Nilikua na kijana ambaye ndio aliyekua Mwenyeji wangu kwa eneo lile. Yule kijana alinipokea bag langu ambalo lilikua na laptop, kikoi cha kimasai na documents kadhaa hivyo kulifanya lionekane kutuna.
Wakati tunaingia eneo la shule ile, ni shule ya msingi ilikua ni muda wa SAA NNE asubuhi ambapo walikua mapumziko. Niseme ukweli, sikujua kitu, kumbe watoto walikua wakitimua mbio wakidhani tumeenda shuleni "kuwachanja" chanjo ya COVID-19.
Mwalimu mmoja wa kike alianza kucheka na kutujulisha kuwa watoto wale walikua wanakimbia wakidhani tumeenda pale kwa ajili ya chanjo na kwamba inaonekana Wazazi wao wamewaonya watoto wao kutokukubali kupata chanjo kwa madai kwamba watakufa.
Niliingia ofisni kwa Mkuu wa shule na nilimweleza masikitiko yangu, hata hivyo Mwalimu wa zamu aligonga kengele na kuwakusanya tena maana walishakimbilia porini.
Wakati tunaondoka pale shuleni, nje kidogo ya shule kuna Wenyeji wa pale vijana na watu wazima walikua wakippakia mizigo (nadhani ni magunia ya maharage au mahindi) basi waliitana wakaanza kuturushia maneno ya dhihaka na kejeli huku wakitutisha kwamba, Ole wetu kama tungewapa chanjo watoto wao.
Kumbe walikua wakifuatilia tukio lile kwa mbali na walikua wakiongea kilugha.
Wito wangu kwa serikali, HII BRAINWASH ni kubwa sana na huenda ikaja kuleta madhara kwa wahudumu wetu wa afya, serikali iwaelimishe watu wake na WAPOTOSHAJI wachukuliwe hatua.
Hiki nilichoandika ni serious na ni tukio halisi
ππππ Pole mkui,Jiwe aliharibu Sana hii nchi ,pole Sana mkuu..hao ni kuwaacha hivyo hivyo siku wakigongwa na Mdude wataitafuta tuu chanjo.Mods and Wachangiaji, ninachoandika hapa ni kitu kikubwa na nashauri tahadhari ichukuliwe mapema. It is very serious.
Siku ya Jana nikiwa kwenye majukumu yangu ya kutafuta riziki, nilipaswa kufika kwenye shule X huko kanda ya MAGHARIBI ili kuonana na Mkuu wa shule kwa akili issue Fulani.
Nilikua na kijana ambaye ndio aliyekua Mwenyeji wangu kwa eneo lile. Yule kijana alinipokea bag langu ambalo lilikua na laptop, kikoi cha kimasai na documents kadhaa hivyo kulifanya lionekane kutuna.
Wakati tunaingia eneo la shule ile, ni shule ya msingi ilikua ni muda wa SAA NNE asubuhi ambapo walikua mapumziko. Niseme ukweli, sikujua kitu, kumbe watoto walikua wakitimua mbio wakidhani tumeenda shuleni "kuwachanja" chanjo ya COVID-19.
Mwalimu mmoja wa kike alianza kucheka na kutujulisha kuwa watoto wale walikua wanakimbia wakidhani tumeenda pale kwa ajili ya chanjo na kwamba inaonekana Wazazi wao wamewaonya watoto wao kutokukubali kupata chanjo kwa madai kwamba watakufa.
Niliingia ofisni kwa Mkuu wa shule na nilimweleza masikitiko yangu, hata hivyo Mwalimu wa zamu aligonga kengele na kuwakusanya tena maana walishakimbilia porini.
Wakati tunaondoka pale shuleni, nje kidogo ya shule kuna Wenyeji wa pale vijana na watu wazima walikua wakippakia mizigo (nadhani ni magunia ya maharage au mahindi) basi waliitana wakaanza kuturushia maneno ya dhihaka na kejeli huku wakitutisha kwamba, Ole wetu kama tungewapa chanjo watoto wao.
Kumbe walikua wakifuatilia tukio lile kwa mbali na walikua wakiongea kilugha.
Wito wangu kwa serikali, HII BRAINWASH ni kubwa sana na huenda ikaja kuleta madhara kwa wahudumu wetu wa afya, serikali iwaelimishe watu wake na WAPOTOSHAJI wachukuliwe hatua.
Hiki nilichoandika ni serious na ni tukio halisi
Awali walikuwa wanafundisha eti kuvaa barakoa ni kukosa imani kwa Mungu,That's too serious.....
Muda huu nimepita nyumba ya jirani nimekuta kundi la WANAWAKE wa ushirika wa kidini wanafanya kikao chao....nilipowapita nilisikia mwongoza kikao akifafanua kuhusu CHANJO YA UVIKO na uwepo wa "666" ndani yake....nilipunguza mwendo....Yule mwanamke kiongozi alikuwa anaongea kwa kujiamini kabisa kuwa SERIKALI inataka KUWAFANYA mateka wa shetani huyo.....daah it's havoc kwa kweli......
Brainwashing yao si ya kitoto.....
Umetupa ushauri kuntu kabisa.....
ππππππ Yaani hii nchi inachekesha Sana,chanjo ya mzungu inaleta vituko ,dini ya mzungu inashadidiwa haaaaaThat's too serious.....
Muda huu nimepita nyumba ya jirani nimekuta kundi la WANAWAKE wa ushirika wa kidini wanafanya kikao chao....nilipowapita nilisikia mwongoza kikao akifafanua kuhusu CHANJO YA UVIKO na uwepo wa "666" ndani yake....nilipunguza mwendo....Yule mwanamke kiongozi alikuwa anaongea kwa kujiamini kabisa kuwa SERIKALI inataka KUWAFANYA mateka wa shetani huyo.....daah it's havoc kwa kweli......
Brainwashing yao si ya kitoto.....
Umetupa ushauri kuntu kabisa.....
πππππ Huu Uzi nau subskraibu asubuhi naamka nao kwa kichekoNimecheka mpaka machozi yanitoka
Hii hbr ya chanjo huko vijijini huwambii kitu haawataki kabisa hii kitu chanjo
Wanakwambia ukichanjwa unakuwa zombi yaani zezeta unatoka udenda tu muda wotee
Jipe muda wa kupata elimu ya chanjo ni nini,na inafanya nini,ubishi hautkufanya ujue kweliKumbe hata ukichanjwa bado uwezekano wa kuambukizwa corona upo na barakoa utaendelea kuvaa...kwa hali kama hiyo umuhimu chanjo ni UPI? Bado haijangia akilini...tusiwe watu wakuletewa na kupokea kila kitu kunaumuhimu pia wa kuvifanyia tathmini..pia tusiwakejeli wenye maono tofauti na chanjo kilamtu na mtazamo wake na anahaki ya kutoa maoni yake.
Waambie kuna chanjo ya malaria pia itakuja,Jamaa zangu wawili wamezuia watoto wao kwenda shule eti watachanjwa[emoji3]
We acha tu mkuu....tunaonekana KITUKO....π€£ππππππ Yaani hii nchi inachekesha Sana,chanjo ya mzungu inaleta vituko ,dini ya mzungu inashadidiwa haaaaa
Hapa ni kweli watu waliopinga njia za kisayansi inawezekana vipi leo wanadai chanjo ni sahihi? Hawa walipotosha watuWaziri wa Afya ilibidi ajiuzuru wadhifa wake....
Kwasababu zifuatazo
1. Yeye na jopo lake ndio waliuaminisha umma kuwa nyungu ndio tiba enzi za mwendazake
2. Huyo huyo leo anawaaminisha watu kuwa chanjo ni Bora kuliko nyungu
RAISI SAMIA TUONDOLEE WATU VIGEUGEU KWENYE IDARA ZAKO, Mnawapa mtihani watoa huduma za afya katika kuirejesha jamii kwenye mstari sahihi
Si mambo ya Jiwe,Gwaji nae kashadidia eti kama kanisa halitoi ufumbuzi wa kiroho ni la kazi gani ?Awali walikuwa wanafundisha eti kuvaa barakoa ni kukosa imani kwa Mungu,
Halafu hawana self quilt kwa roho walizopotezaHapa ni kweli watu waliopinga njia za kisayansi inawezekana vipi leo wanadai chanjo ni sahihi? Hawa walipotosha watu