Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
- Thread starter
-
- #41
Hahahaha tuna wakati mgumu sana kama taifa tunapitaUnakuta mzee wa miaka 70 anasema wanataka kutuchanja ili kutuharibu vizazi tusizae,unaishia kushangaa mzee wa miaka 70 anawaza kuzaa,
Taaaabu sana
🤣🤣Duuh hataree sana....Awali walikuwa wanafundisha eti kuvaa barakoa ni kukosa imani kwa Mungu,
Shukrani sana MpwaPole sana Mkuu.
🤣🤣🤣Hahahaha tuna wakati mgumu sana kama taifa tunapita
Balaa[emoji1787][emoji1787]Duuh hataree sana....
Jamii yetu inasikitisha mno....miaka ya nyuma ilipokuja chanjo ya MABUSHA NA MATENDE ,mamwinyi wakadai itapunguza nguvu ya kiume na kizazi....ha ha ha
Ila hayakuanza leo. Shida hii ni ya kihistoria. Ninakumbuka miaka ile tukiwa mashuleni, watu wa afya wakija kutoa chanjo inakuwa balaa. Nishawahi kuishia mwituni kukimbia hawa watu, eti, tunakimbia wanyonya damu, chinjachinja, waumiani. Kha!Mods and Wachangiaji, ninachoandika hapa ni kitu kikubwa na nashauri tahadhari ichukuliwe mapema. It is very serious.
Siku ya Jana nikiwa kwenye majukumu yangu ya kutafuta riziki, nilipaswa kufika kwenye shule X huko kanda ya MAGHARIBI ili kuonana na Mkuu wa shule kwa akili issue Fulani.
Nilikua na kijana ambaye ndio aliyekua Mwenyeji wangu kwa eneo lile. Yule kijana alinipokea bag langu ambalo lilikua na laptop, kikoi cha kimasai na documents kadhaa hivyo kulifanya lionekane kutuna.
Wakati tunaingia eneo la shule ile, ni shule ya msingi ilikua ni muda wa SAA NNE asubuhi ambapo walikua mapumziko. Niseme ukweli, sikujua kitu, kumbe watoto walikua wakitimua mbio wakidhani tumeenda shuleni "kuwachanja" chanjo ya COVID-19.
Mwalimu mmoja wa kike alianza kucheka na kutujulisha kuwa watoto wale walikua wanakimbia wakidhani tumeenda pale kwa ajili ya chanjo na kwamba inaonekana Wazazi wao wamewaonya watoto wao kutokukubali kupata chanjo kwa madai kwamba watakufa.
Niliingia ofisni kwa Mkuu wa shule na nilimweleza masikitiko yangu, hata hivyo Mwalimu wa zamu aligonga kengele na kuwakusanya tena maana walishakimbilia porini.
Wakati tunaondoka pale shuleni, nje kidogo ya shule kuna Wenyeji wa pale vijana na watu wazima walikua wakippakia mizigo (nadhani ni magunia ya maharage au mahindi) basi waliitana wakaanza kuturushia maneno ya dhihaka na kejeli huku wakitutisha kwamba, Ole wetu kama tungewapa chanjo watoto wao.
Kumbe walikua wakifuatilia tukio lile kwa mbali na walikua wakiongea kilugha.
Wito wangu kwa serikali, HII BRAINWASH ni kubwa sana na huenda ikaja kuleta madhara kwa wahudumu wetu wa afya, serikali iwaelimishe watu wake na WAPOTOSHAJI wachukuliwe hatua.
Hiki nilichoandika ni serious na ni tukio halisi
Na mbaya zaidi, kuna jitihada ndogo sana kutoka serikalini kuelimisha watuIla hayakuanza leo. Shida hii ni ya kihistoria. Ninakumbuka miaka ile tukiwa mashuleni, watu wa afya wakija kutoa chanjo inakuwa balaa. Nishawahi kuishia mwituni kukimbia hawa watu, eti, tunakimbia wanyonya damu, chinjachinja, waumiani. Kha!
Sasa hii ya UVIKO ni mbaya zaidi maaana baadhi ya watu wenye influence ndiyo wanapotosha balaa
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifaHapa kwangu nimeshawishi watu wangu tukachomwe hizo sindano...majibu nimeambiwa kuwa niende mwenyewe Mimi msaliti wa JPM...kuwa leo nimebadilika na nijiandae kuganda damu na kufa...🤣🤣
Wanaongea hadi wasomi...unashangaa sana....
Swadaktaa....👍Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa
Mimi na ka elimu kangu haka,chanjo sitaki na wala sihusianishi na dini wala nani.Hapa kwangu nimeshawishi watu wangu tukachomwe hizo sindano...majibu nimeambiwa kuwa niende mwenyewe Mimi msaliti wa JPM...kuwa leo nimebadilika na nijiandae kuganda damu na kufa...[emoji1787][emoji1787]
Wanaongea hadi wasomi...unashangaa sana....
Huyu aliyewa-brainwash alaaniwe popote pale alipo awe hai au amekufaJana nimeshuhudia mzazi aliyemtandika viboko mwanaye na kumrudisha shule. Alitoroka na wenzake eti shuleni kwao wanachomwa sindano za chanjo.
Akiwa anamuelezea mwenyekiti wa mtaa, naye alimsistiza wazazi kuwaondoa hofu watoto maana hilo suala amelisikia kwa wengine pia.
Shida ipo kubwa.
Sent from my Nokia 3.1 using JamiiForums mobile app
Basi mkae kimya don't brainwash wengine kwa misimamo yako binafsiBora nibakie hivi hivi na niendelee kuchukua tahadhari za corona na sio kudungwa vitu ambavyo hata serikali haitahisika nikidhurika.
Sawa mkuu.....Mimi na ka elimu kangu haka,chanjo sitaki na wala sihusianishi na dini wala nani.
Ishu ni kwamba hii chanjo ni propaganda na haina impact kubwa katika kuratua tatizo,
Yani mtu unapigwa chanjo harafu barakoa unaendelea kuvaa,na unaweza pata ugonjwa,sasa hapo kuna maana gani ya chanjo?
Bora nibakie hivi hivi na niendelee kuchukua tahadhari za corona na sio kudungwa vitu ambavyo hata serikali haitahisika nikidhurika.
Nyie wasomi na waelewa chanjeni tu
gwaji boy hana power yoyote, yule ni tapeli wa dini tu.Mnafiki mkubwa yuleNashukuru umenusulika mkuu, kweli Gwaji boy ana power.
Kwani ukimwi wametoa chanjo?Sawa mkuu.....
Ila......
Ni wapi pale Wataalam wa afya wakashauri kuwa MTU ANAPOKUWA NA VVU(UKIMWI) asitumie tena MIPIRA YA KIUME(condoms) kwa kuwa tu ameshaathirika na ANATUMIA DAWA(ARVs)?!!
Hii ni sawa na KUPATA CHANJO NA kutotumia kinga(barakoa + kunawa maji tiririka + kukaa mbali mtu na mtu).........
#TujitokezeniKuchanjwa