Samiaagain2025
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 3,626
- 3,869
Acha kupotosha.Hakuna mkataba kama huo, otherwise wewe ni mkulima au mfanya biashara, unataka kudandia mada.Gts,
Inasikitisha sana tena sana jamii inapoendelea kupotosha kauli ya Rais juu daktari aliyegeuka mkataba.
Wizara ya afya toeni ufafanuzi.
Inavyofahamika, ukiwa kazini halafu ukasomeshwa na Serikali huwa kuna mkataba wa kufanya kazi Serikalini kwa muda maalumu baada ya hapo mhusika huwa huru.
Hivyo tamko la Rais lipo sahihi.